PICHA: WEMA SEPETU NA VAN VICKER WAFANYA MOVIE GHANA, INAITWA ‘DAY AFTER DEATH’ INGIA HAPA


Wema Sepetu amesafiri hadi jijini Accra, Ghana kwenda kushoot filamu mpya na msanii mashuhuri nchini humo, Van Vicker.

Filamu hiyo inaitwa ‘Day After Death’, na inaongozwa na  Vicker mwenyewe. Pia mtoto wa kike wa msanii huyo ataigiza kwenye filamu hiyo ambayo Vicker anaiita kitu chake kikubwa kijacho.

Kupitia Instagram, muigizaji huyo wa Ghana amemsifia Wema kwa jinsi anavyojituma kwenye filamu hiyo na anafurahi kufanya naye kazi.
 
“#MyNextBigThing I am excited abt our Ghana Tanzania collaboration. You finally landed. Today was day 1. Good stuff. I love the way you are passionate abt what you want and u get it done. Enjoy workin with you. watch for Day After Death (D.A.D) #DayAfterDeath starring Wema @wemasepetu and me van vicker. I am directing again ya’ll and acting. It’s challenging but I love the challenge. Hey it’s my daughter’s j’dyl debut in films as an actor,” ameandika Van Vicker.
  

“Watch out for #DayAfterDeath (D.A.D) starring @wemasepetu and myself..#DirectorMode Tanzania and Ghana goin on the map for this award winning thriller,” ameongeza kwenye picha nyingine.

0 comments:

Dunia na maajabu yake… Hii ni ya gari kutembea kwa tairi mbili tu! Itazame HAPA VIDEO

6fc
Huenda wewe ukawa mmoja ya watu ambao wanaogopa michezo ya hatari.
Ipo michezo ambayo hata ukiona mtu anaifanya nafsi yako inakiri kwamba kamwe hauwezi kuifanya.
Hii nmeikuta Youtube, jamaa wa Saudi Arabia wanaendesha gari kwa kutumia tairi mbili peke yake, na kali zaidi ni kwamba wengine wanajiamini na hata kubadilisha tairi za gari wakati ikiwa inatembea.
Video nimekuwekea hapa halafu nitafurahi kuona comment yako mtu wangu.

0 comments: