ROLENE STRAUSS WA AFRIKA KUSINI ASHINDA TAJI LA MISS WORLD 2014



Miss World 2014, Rolene Strauss wa Afrika Kusini.
Rolene Strauss wa Afrika Kusini ameshinda taji la Miss World 2014 jijini London usiku huu, Edina Kulcsar wa Hungary akishika nafasi ya pili na Elizabeth Safrit wa Marekani akichukua nafasi ya tatu.

0 comments:

Hii Sasa Kali Check Video ya Mfanyakazi wa hoteli alivyonaswa akipekua vitu vya mteja chumbani Ingia Hapa Kwa Habari Kamili

Screen Shot 2014-11-12 at 8.46.26 PM
Ni jinsi mfanyakazi wa hoteli alivyorekodiwa na camera ya Laptop ya mteja alieiacha kwenye chumba cha hoteli na kuacha funguo reception, baada aliporudi akajionea jinsi mfanya usafi huyo alivyopekua na kugusagusa vitu vyake.

     VIDEO IPO HAPO CHINI CLICK KUITAZAMA


0 comments:

Ni Happiness Watimanywa… Tanzania kwenye rekodi nyingine kubwa Miss World 2014 Soma Hapai Kwa Habari Kamili


Happyz iiiWatanzania wameamua kwamba tukiamua tunaweza, good news kutoka London Uingereza, ambako yanafanyika mashindano ya Miss World mwaka 2014.
Happiness Watimanywa, mwakilishi wa Tanzania kwenye mashindano hayo ameshare na sisi taarifa nyingine nzuri kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Happiness kaandika hivi; Hey guys. Siwezi amini kuwa tumefika namba 2. Tuongeze bidii maana nchi nyingine pia wako bize na kura. Lets do this Tanzania!!!! Naamini pamoja tutafika. #votevotevote #PigaKuraSasa#DownloadTheApp#HuuNiMwakaWetu“– @happinesswatimanywa
Happyz

Happyz II Happyz IIii

Zoezi la upigaji wa Kura litasitishwa leo December 14, jioni ambapo Fainali hizo zitakuwa zinafanyika London, Uingereza.
Unaweza kuendelea kumpigia kura mshiriki huyo ili arudi na Taji la Miss World 2014.

0 comments:

Jamani Jamani Hivi ndivyo Whatsapp imevunja ndoa ya wawili hawa…


whatsapp2 
Wiki chache baada ya WhatsApp kutambulisha mfumo mpya ambapo iwapo unamtumia message mtu inakuonyesha alama ya tick mbili za kijani na pia inaonyesha muda ambao mtu uliyemtumia message hiyo ameisoma, tayari kuna ndoa ambayo imeingia matatizoni kutokana na hilo.
Mwanaume mmoja Saudi Arabia ametoa talaka kwa mkewe kutokana na kitendo cha mwanamke huyo kutokujibu message aliyomtumia WhatsApp.
Mwanaume huyo amesema kitendo kilichomkasirisha zaidi ni pale aliporudi nyumbani na kumkuta mke wake akiwa busy anachat na marafiki zake kupitia mtandao huo wakati message aliyomtumia yeye hakuijibu.
dreamstime_s_36639295-600x399
Jamaa huyo ameona kama kitendo hicho ni dharau kubwa na hakuwa tayari kuendelea na ndoa hiyo ambayo imedumu kwa miaka miwili tangu ifungwe.

0 comments: