WEMA SEPETU AKIFUNGUKA JUU YA MAHUSIANO YAKE YA KIMAPENZI KWA SASA.


Wema Sepetu amechoka uhusiano wa boyfriend na girlfriend. Muigizaji hiyo wa filamu amesema anataka kuolewa.
Wema alisema hayo jana kwenye reality show yake, In My Shoes baada ya meneja wake Martin Kadinda kumuuliza kwanini hana ‘kiki’ kwa sasa.


Miss Tanzania huyo wa mwaka 2006 alisema kuna vitu vingi anataka kuvifanya ikiwemo kuwa na hamu ya kutulia na kuwa mke wa mtu.
Hata hivyo Wema alisita kumweka wazi mwanaume anayetaka kumweka ndani na kumtaka meneja wake kuwa na subira

0 comments:

HUYU NDIYE MREMBO ALIYE SHINDA TAJI LA MISS RWANDA 2015 NI BALAAAAA


Doriane Kundwa, 19years old and student from the Northern Province of Rwanda, was crowned as the MISS RWANDA 2015 beating 14 other contestants. She was given a Suzuki Swift and will receive a monthly salary of $1000 during her reign. She also became brand ambassador for telecommunications company Airtel. Eish!! Here are the photos of the beautiful young lady
Doriane Kundwa, 19years old and student from the Northern Province of Rwanda, was crowned as the MISS RWANDA 2015 beating 14 other contestants. She was given a Suzuki Swift and will receive a monthly salary of $1000 during her reign. She also became brand ambassador for telecommunications company Airtel.
Eish!! Here are the photos of the beautiful young lady……




0 comments:

MZAZI MWENZA WA MBUNGE MAARUFU WA CHADEMA MH. SUGU APOST TENA PICHA YA UTATA INSTAGRAM ONA NA ALICHOSEMA LIVE!!



"Napenda kukaa uchi- kabisa yaani # Kama ni tatizo au kilema ninacho - nimekubali#"


0 comments: