Showing posts with label STREET NEWS. Show all posts

CHECK THESE IMAGES boards ................... Pictures of New View Huddah Monroe Going After Breast Reduction him.

0 comments



Socialite Huddah Monroe from Kenya after getting skendo that am a girl prostitute who cost more being a story submitted by Rich from Uganda popularly known as King Lawrence, there are itchy from said haunt her instagrama after leakage have to reduce her breast that appears as a child and at the same comment was reads 
nadine_bottom: Love the new friends you have therehuddahthebosschick 
mitchellemoon: Two new friends from Thailand !! Their names are What ?? 
paletralina: You got your boobs done I can tell and you look amazing #huddahthebosschick 
these other wallpaper below

Read More »

SOMA HAPA Chanzo cha Usagaji kwa Wanawake Bongo ?

0 comments
Heshima kwenu mabibi na mabwana.

Nimekua nikijiuliza mara kwa mara kuhusiana na suala la usagaji kwa wasichana bila kupata jibu stahiki.

Baadhi ya wasichana wanadai kwamba kuachwa na wapenzi wao mara kwa mara kunachangia kwa kiasi kikubwa wao kujiingiza katika mapenzi ya jinsia moja,

wengine wanadai kwamba shule za boarding zinawasababishia kujiingiza katika mambo haya kwani muda mwingi wanakua wao wenyewe tu bila kujichanganya na wavulana.

Nini maoni yako wewe mwanajamvi,karibuni wakinadada muweze kutupa ukweli wa hili jambo,wavulana pia mnaruhusiwa kuchangia chochote ili tupate mawazo tofauti tofauti.

Asanteni

Read More »

Linah na Recho Wanaswa Wakifanya Mambo ya Aibu Mbele ya Watu

0 comments

Masistaduu wa Bongo Fleva, Estelina Sanga ‘Linah’ na rafiki yake, Winfrida Josephate ‘Recho’, wamefanya mambo ya aibu mbele ya kadamnasi.

 
Tukio hilo la aibu lilijiri hivi karibuni usiku kwenye bwawa la kuogelea (swimming pool) ndani ya Hoteli ya Regency-Mikocheni jijini Dar ambapo kulikuwa na ‘bethidei’ ya Recho.
 
Awali, mastaa hao walianza kwa kulishana keki kwa staili ya njiwa (kwa mdomo), jambo lililoibua minong’ono mahali hapo.

Kama haitoshi, baada ya tukio hilo, wawili hao waliweka mapozi tata wakipiga picha zilizowaonesha nusu utupu huku vinguo walivyovaa vikiacha wazi sehemu kubwa ya maumbile yao nyeti.

Read More »

Na hili ndio jibu la Fid Q kwa mashabiki waliohisi kapaka lip bum kwenye video yake mpya

0 comments
Fid q 3
Kwanza ni video iliyovunja rekodi kwenye line ya Fid Q kwa kupata views zaidi ya elfu 20 ndani ya saa 24 huku zaidi ya watu 500 wakilike na 20 wakidislike kwenye mtandao wa YouTube.
Kwenye headlines za hii video mpya pia kumekua na maswali ya mashabiki kwa Fid Q ambapo baadhi yao walitaka kujua kama ni kweli Fid kapaka lip bum mdomoni wakati wa kushoot video hiyo.
Jibu la Fid lilikua hili >>> ‘Sijapaka lip bum wala stick.. zile ni lips zangu baada ya kupigwa na effects kwenye editing.. cheki kwenye screen kubwa
Fid Q 1

Read More »

Nuhu mziwanda aomba radhi kwa picha ya Ngono

0 comments

Shilole na Nuhu Mziwanda katika pozi.
Mwanamuziki Nuhu Mziwanda ambae ni mchumba wa mwanamuziki Shilole (Shishi baby) ameomba radhi jana kupitia ukurasa wake wa Intragram baada ya kupost picha ambayo inaonyesha maungo ya ndani ya mpenzi wake huyo walipokuwa wakioga,picha hiyo ilimuonyesha Shilole akiwa kifua wazi.Kwa mujibu wa Nuhu Mziwanda amesema kuwa alipost picha hiyo ili apate Kiki kwa ajiri ya video yake mpya ya Zimataa ambayo bado haijatoka mpaka.

Baada ya juzi usiku Nuhu mziwanda kupost picha hiyo kwenye ukurasa wake mashabiki zake walionyesha kutofurahishwa na kitendo hicho na wengihne kufikia hatua ya kutukana huku wengine wakidai kuwa amemdharirisha mpenzi wake huyo ambae ni mama wa watoto wawili.lakini baada ya hapo Nuhu aliifuta picha hiyo alipogundua hali ya upepo imekuwa tofauti na vile ambavyo yeye alidhania.
Anapenda mwenyewe kuzalilishwa huyo @shilolekiuno kwani ni picha yake ya kwanza???? ... nawapenda lakini wameniuziii toka wapost ule ujinga,na kujisahaulisha kama wee ni mama wa mabinti wakubwa tu sijui wanajifunza nini wakiona hizo picha..."Kapost mpenz wake yuko maziwa wazi yale sio mapenzi unaitwa uzalilishaji Wa wanawake Hao ni baadhi ya mashabiki waliotoa yao ya moyoni baada ya kuiona ile picha ya Nuhu wakiwa pamoja na Shilole.
"Naomba niombe radhi kwa waliochukizwa na picha niliopost usiku wa jana.Lakini naweza sema pia ile ilikuwa ni video yangu mpya ya wimbo wangu wa Zimataa.So ilikuwa ni promotion picture.Ila mwisho wa maneno yangu ni kuomba radhi kwa lililotokea."
Hata baada ya kuomba radhi hali ya mashabiki bado ilikuwa ileile ni watu walionyesha kukerwa na kitendo kile bado waliendelea kutukana na kusababisha hata post ya kuomba radhi pia kuifuta katika Accouny yake hiyo ya Instragram.

Read More »

Shilole na Mchumba Wake Nuh Mziwanda Wachafua Hali ya Hewa Mtandaoni baada ya Kutupia Picha za Uchi

0 comments
Mwigizaji na mwanamziki,  Zuwena Mohammed ‘Shilole’ ambae ni mama wa watoto wawili wa kike , akiwa na mchumba wake Nuh wamechafua hali ya hewa baada ya kutupia picha yaowakiwa uchi.
  
Nuh Mziwanda ndio alioibandika picha hiyo kwenye ukursa wake kwenye mtandao wa instagram na baada ya kuona watu wengi wanamshabulia aliamua kuibandua. 

Wapo walioona kuwa kitendo  alichokifanya Mziwanda labda ni kutokana na umri wake hivyo hayo ni baadhi ya matokeo ya kuwa na mahusiano  na mtu mtoto.
  
 Lakini pia wapo walioona kuwa wawili hawa wanatafuta KIKI tu ili media za hapa Bongo ziwazungumzie kama Zari na Diamond, ila pia wapo amabo wanaona hii iko poa  na haina tatizo.

Read More »

MZAZI MWENZA WA MBUNGE MAARUFU WA CHADEMA MH. SUGU APOST TENA PICHA YA UTATA INSTAGRAM ONA NA ALICHOSEMA LIVE!!

0 comments



"Napenda kukaa uchi- kabisa yaani # Kama ni tatizo au kilema ninacho - nimekubali#"


Read More »

Unaletwa karibu zaidi na video mpya ya Izzo Bizness Ft Shaa ‘Kidawa’ INGIA HAPA KUITAZA

0 comments
izzo b
Hii video mpya ya Izzo Bizness amefanya wimbo na Shaa, unaitwa ‘Kidawa’ Video imeongozwa na Nick Dizzo wa Focus Films,Tanzania . Audio imetayarishwa na Dupy wa Uprise Music na kuwa Mastered na Master J pale MJ records Dar es Salaam, Tanzania.
BONYEZA HAPA CHINI KUITAZAMA VIDEO

Read More »

ANT EZEKEL ASHUSHA MANENO MACHAFU

0 comments
Mrembo na mwigizaji wa filamu za kibongo, Aunt ezekiel amejikuta akitoa maneno makali baada ya mashabiki wake kumshabulia kwa maneno baada ya kuweka mtandaoni picha ikimuonyesha amevalia kinguo ambacho kwa maoni ya mashabiki hao hakistahili kuvaliwa na mwanamke mjamzito na kibaya zaidi alionekana mkononi ameshika shupa ambao wengi waliiona kama niyakilevi.

Aunty Ezekiel alibandika picha hiyo hapo juu hivi juzi kati akiwa na jamaa kwenye ukurasa wake mtandaoni na kuandika maneno “My best friend,my love,my kimoko I love him so much”
 
Baada ya kubandika ujumbe huo baadhi ya mashabiki wake walionyeshwa kukera na mavazi na sehemu alikokuwepo nalumtaka atulie nyumbani alee mimba yake kwani kwasasa inaonekana kuwa na ya zaidi ya miezi nane na wiki kadhaa.


“Ungetulia  tu nyumbani ukasubirikujifungua salamamjamzito kuzurura namna hiyo na mijanaume sio poakabisa tena na kilaji mkononi harafu pia hata hayo mavazi mmmh!!” alisema mmoja wa shabiki na kuungwa mkono na wengine wengi.
 
Baada ya muda kidogo aunty ezekel akaibuka na  kuandika ; “Plz msiwe bac mnaongea kitu kabla ujajua undani wake, ni vizuri kuuliza kuliko kuandika tu ilimradi na wewe uonekane umeongea hiyo nguo ni special kwa mama mjamzito na hapo juu inampira wakutosha tu na mapajani ndio inabana sasa”
Lakini majibu hayo yalionekana kuamsha maneno zaidi ya kumponda Aunty ambae nae mwishoni  alionekana kushindwa kuvumilia na kutoa maneno machafu ambayo sio busara kuyabandika hapa.

Wewe je umeionaje picha hiyo ya Aunty?

Read More »

WAPI TUNAELEKEA BINTI ATUPIA PICHA TATA MTANDAONI WAKUBWA TU

0 comments

00Ps!! ladies have gone crazy to seek attention! They will do anything to win men who will say they are hot or try to engage them in talks.A lady cannot believe she is hot unless she has several who are trying to win her.They will do anything on social media to attract men.This is a Kenyan lady posting n’ude pics on social media to seek men who will appreciate her beauty.This is crazy






Read More »

Nay Wa Mitego na Diamond Platnumz studio tena,ni collabo nyingine

0 comments
tru b
Wasanii waliofanya #VituAmazing na wimbo wao wa Muziki Gani wamekutana tena studio kwaajili ya rekodi nyinine. Ni Diamond na Nay wa Mitego. Diamond kwa sasa anang’ara na rekodi ya Ntampata wapi ambayo inapewa muda mkubwa wa hewani kwenye vitui vya kimataifa ka Trace Tv huku Nay akifanya vizuri na rekodi na video yaAkadumba
nay 1 nay


Read More »

Na Producer wa collabo nyingine ya Diamond Platnumz na Nay wa Mitego ni..

0 comments
Studio
Tudd Thomas ndiye producer atakaye simamia kazi mpya ya wasanii Diamond Platnumz na Nay wa Mitego, Walikesha usikuwa wa kuamkia 19 Feb 2015. Wimbo utafanyika Surround Studios.
thomas 2 thomas


Read More »

Jibu la Amber Baada ya Kanye West kusema alibidi aoge mara 30 ili kuwa na Kim Kardashian baada ya kuwa na Amber Rose.

0 comments
amber-responds-to-kanye__oPt
Kwenye mahojiano na kipindi cha ‘BreakFast Club’ Kanye West alimkejeli mpenzi wake wa zamani Amber Rose kwa kusema alibidi aoge mara 30 baada ya kuwa naye ili Kim kardashian awe naye.
Kanye West alisema “Kim k angekubali kuwa na mimi kabla ya Amber basi nisinge kuwa na Amber Kabisa, ni ngumu kwa mwanamke kuwa na mwanaume aliyewahi kuwa na mahusiano na Amber, nilibidi nioge mara 30 ili Kim K anikubali”.
Amber amejibu kupitia twitter yake nakusema …
amber jibu


Read More »

Home » Ent. » Jinsi mitandao ya Nigeria ilivyoshindwa kutafsiri jina la wimbo wa Iyanya ft Diamond ‘Nakupenda’ kwa kingereza January Makamba - Tanzania Mpya Jinsi mitandao ya Nigeria ilivyoshindwa kutafsiri jina la wimbo wa Iyanya ft Diamond ‘Nakupenda’ kwa kingereza

0 comments
.
.


Mitandao hiyo ilikuwa ikitafsiri jina la wimbo huo unaoitwa Nakupenda kwa lugha ya Kingereza kama Marry Me, Remember, ambapo tafsiri sahihi la neno Nakupenda ni I LOVE YOU.
Hii ni baadhi ya mitandao ambayo imeonekana kushindwa kutafsiri jina la wimbo huo kwa lugha ya kingereza  ikiwemo, Uncova.com, audiomack.com, Feva tv.com, tooxclusive.com, jaguda.com, naijaurban.com na mengineyo.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

Read More »

SIASA: Aliyetemwa ukuu wa wilaya ya Igunga ageukia ubunge

0 comments
Aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Igunga, Elibariki Kingu. 
Siku moja baada ya uteuzi wake kutenguliwa na Rais Jakaya Kikwete, aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Igunga, Elibariki Kingu amesema sasa anageukia ubunge katika Jimbo la Singida Magharibi.
Kingu alisema siku nyingi alikuwa na shauku ya kugombea ubunge katika jimbo hilo, kwamba kuondolewa katika wadhifa huo kutampa nafasi ya kujipanga na kuhakikisha anashinda jimbo hilo linaloongozwa na Mohamed Hamisi Missanga (CCM).
“Unajua kwa muda sasa akili yangu ilijikita zaidi katika ubunge ili niweze kuwasaidia wananchi kwa ukaribu zaidi. Wananchi wa Jimbo la Singida Magharibi wamekaa muda mrefu bila kupata mtu wa kutatua matatizo yanayowakabili,” alisema.    
Alifafanua kuwa Februari 28, mwaka huu atafanya mkutano mkubwa wa hadhara katika jimbo hilo, ataitumia siku hiyo kutangaza rasmi nia yake ya kugombea ubunge.
“Nitakachokifanya sasa ni kuwa karibu zaidi na wananchi na kuhakikisha matatizo yanayowakabili ninayajua kiundani ili niweze kuyatatua kwa urahisi,” alisema.
Aliongeza, “Namshukuru Rais Kikwete kwani aliniamini na kazi aliyonipa niliifanya kwa uaminifu na uzalendo wa hali ya juu, kufanikiwa kuleta mabadiliko katika sekta ya kilimo, afya, mifugo, uvuvi na maendeleo kwa vijana,” alisema Kingu (pichani).
 “Rais ameamua nipumzike na ninamshukuru kwa uzalendo wake mkubwa naamini bado ana imani kubwa  na mimi.”
Akitoa ushauri wa wakuu wapya wa wilaya alisema, “Wanatakiwa kuhakikisha wanamsaidia kazi Rais Kikwete na kutekeleza ilani.”
Wakati Kingu akieleza hayo, aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, Zelothe Stephen ambaye ameteuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Musoma.
Alisema:  “Sina maneno mengi kwa sasa nitasema kauli tatu; Asante kwa pongezi yako, namshukuru Mwenyezi Mungu, namshukuru sana Rais Kikwete kwa kuniteuwa kushika wadhifa huu.”
Kwa upande wake Martha Umbulla aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kiteto, alipotafutwa siku nzima ya jana alisema kuwa yupo katika kikao na kuahidi kuzungumzia uteuzi huo baada ya kumalizika kwa kikao, jambo ambalo hakulitekeleza.

Wilaya ya Kiteto ni moja kati ya wilaya zilizokithiri migogoro ya ardhi kati ya wakulima na wafugaji, iliyosababisha watu zaidi ya 10 kuuawa na wengine kujeruhiwa.
Akizungumzia uteuzi huo Naibu Katibu Mkuu wa Chadema- Bara, John Mnyika alisema unadhihirisha kuwa  nchi ina mifumo legelege ya kupima wanaopendekezwa kuteuliwa kabla ya uteuzi.
“Uteuzi huu unapaswa kuibua mjadala wa haja ya kufuta wadhifa wa ukuu wa wilaya. Watanzania wanatakiwa kuikataa Katiba Inayopendekezwa kwa sababu imependekeza vyeo vya wakuu wa wilaya ambavyo vipo kwa ajili ya kufanya hujuma na kuiba kura katika chaguzi,” alisema.
Hata hivyo, mkurugenzi wa masomo ya shahada ya kwanza kutoka Chuo cha Usimamaizi wa Fedha (IFM), Dk Shaban Ngole alisema kuwa mabadiliko yaliyofanywa kwa wakuu wa wilaya yanalenga kukiimarisha chama tawala baada ya tathmini ya matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
“Ndiyo maana unaweza ukaona kuwa wapo baadhi ya watu ambao wanazua maswali katika jamii, mfano, uteuzi wa Paul Makonda hauna kitu kingine zaidi ya kuongeza ushawishi wa chama katika Wilaya ya Kinondoni. Chama kimeona kuwa anaweza kuhimili mikikimikiki ya hapa mjini,” alisema Dk Ngole.
Alifafanua kuwa Makonda anaeleweka kuwa ni kada wa CCM ambaye hajifichi kutokana na utekelezaji wa majukumu mbalimbali ya chama hicho, hivyo kuteuliwa kwake hakuwezi kuwa na maana nyingine.
Licha ya kukiimarisha chama, Dk Ngole alisema kuwa Serikali ina dhamira ya kuongeza ufanisi katika utendaji wake. Hilo limeisukuma kufanya mabadiliko ya msingi ili kujiongezea nafasi ya ushawishi miongoni mwa wananchi.

Read More »

MZEE MAJUTO NA WASANII WENZAKE WAMTEMBELEA MAMA ALIYEPOKONYWA MTOTO ALBINO NA KISHA KUUWAWA KIKATILI

0 comments



Read More »

Picha: Huddah Monroe achefua tena, atupia picha akiwa uc*i kitandani! WAKUBWA TU

0 comments
10982337_501544039986956_8689538412124604069_nHuddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa.


Mrembo huyo wa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti.
Mashabiki wake hawakusita kumchana.

“Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed.

“Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme.

WAKUBWA TU...BOFYA PICHA HAPA CHINI AKIWA AMEPANUA MAPAJA

Read More »

Mwanamke Amuua Mwanamke Mwenzake kwa Kummwagia Mafuta ya taa na Kumchoma Moto baada ya Kumfumania na Mumewe

0 comments


Mkazi wa kijiji cha Ibosa, kata ya Nyakato, Bukoba Vijijini, Amelia Richard (50) anatuhumiwa kumuua mwanamke mwenzake kwa kummwagia mafuta ya taa na kumchoma moto baada ya kumfumania na mumewe.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kagera,  Henry Mwaibambe  alitaja tukio hilo ni  la Februari 15, mwaka huu saa 3 usiku katika kijiji cha Ibosa kata ya Nyakata Bukoba vijijini.
  Alimtaja aliyeuawa ni  Pelagia Martin (46) aliyeunguzwa mwili mzima. Kamanda alisema mwanamke huyo alicheleweshwa kufikishwa Hospitali ya Mkoa hadi kesho yake; Februari 16 baada ya wanafamilia kuomba wayamalize bila kwenda Polisi.
  Makubaliano ya wanafamilia hao yalitokana na kile kilichoonekana kwamba  Amelia alimfumania Pelagia akiwa na mumewe,  Richard Bulebo (57) ndani ya nyumba yao.
  Kwa mujibu wa Kamanda, Februari 16 walipoona hali ya majeruhi inazidi kuwa mbaya, ndipo walifika katika Kituo cha Polisi mjini Kati wakiomba msaada.
  Polisi walimpeleka majeruhi huyo Hospitali ya Mkoa lakini alifariki kabla ya kupatiwa matibabu. Polisi inamshikilia Amelia na Bulebo kwa tuhuma za kuhusika na mauaji hayo.


Read More »

HUYU NDIO MSANII WA NIGERIA ALIYEFANYA MAPENZI NA MBWA NA KUWEKA VIDEO MTANDAONI...CHEKI HAPA

0 comments

Anaitwa Cossy Orjiakor, ni msanii wa Nigeria aishie nchini Italy, amekuwa akijulikana sana kwa kutokua na haya na kufanya mambo ya ajabu na ya kikubwa hadharani. Sasa hv kaamua kutoa video akiwa anafanya mapenzi na mbwa. Inasikitisha sana kwani wanaume wapo wengi tena hawana wanawake halafu mtu anaamua kufanya mapenzi na mbwa

ANGALIZO HIZI PICHA NA VIDEO NI CHAFU SANA KWAHIYO WATOTO AWATAKIWI KUANGALIA

BOFYA HAPO CHINI KUANGALIA PICHA NA VIDEO ZA HUYU MDADA

 BOFYA HAPA PICHA YA KWANZA

Read More »

Wakubwa tu WATOTO MWIKO HAPA : PICHA ZA UCHI ZAVUJISHWA.. tizama hapa live!! ONYO WAKUBWA TU

0 comments



MSICHANA HUYO AMBAYE JINA LAKE TUNALO AMEFANYA KITU KIBAYA SANA KWARAFIKI YAKE, TAARIFA KAMILI NI KWAMBA MSICHANA HUYU AMENYANG'ANYWA MPENZI WAKE NA RAFIKI YAKE TENA WAKARIBU.
SABABU HALISI NI KWANINI AMEMUACHA MSICHANA HUYU NA KUANZA MAHUSIANO NA RAFIKI YAKE, LABDA RAFIKI YAKE HUYU MSICHANA NI MZURI ZAIDI AU MSICHANA HUYU ALIKUWA ANAMPA
ori rafiki yake juu ya mambo ya chumbani anayofanyiwa msichana huyu kama wengine wafanyavyo.

Kwa hiyo dawa aliona ni kuexpose picha za rafiki yake. Hebu zione mwenyewe ndiyo utajua kama ni mzuri zaidi au laa!

WAKUBWA TU KUONA PICHA HIZI....NI AIBU TENA LAANA. HII INAITWA WEKA MBALI NA WATOTO.






Read More »