Picha, Kim Kardashian mtupu kwenye photoshoot nyingine na ushirikiano aliopewana Kanye West.


Screen Shot 2015-03-16 at 3.47.49 PM Screen Shot 2015-03-16 at 3.47.59 PM Screen Shot 2015-03-16 at 3.48.16 PM Screen Shot 2015-03-16 at 4.07.27 PM

0 comments:

Picha,Sheta anajitayarisha kutoa kitu kingine kikubwa Afrika.


shetta
Sheta anajitayarisha kutoa video mpya hivi karibuni, kufuatia single yake ya Kerewa ft Diamond Platnumz iliyofanya vizuri Afrika kwa kuwa na video bora, Sheta ameonekana kuwa karibu na msanii Kcee huku pakiwa na uvumi kuwa anafanya naye kazi mpya inayotoka muda wowote sasa.
Hizi ni baadhi ya picha kuhusu hii kazi mpya.
sheta na kcee
Sheta na Kcee
shetta 2
Sheta na phyno
shetta na godfathe na kcee
Sheta, GodFather na Kcee

0 comments:

THAMAHANI KWA PICHA IZI ZA AJALI YA IRINGA LEO: BASI LAUA ZAIDI YA ABIRIA 40 BAADA YA KUANGUKIWA NA KONTENA

Ajali mbaya yatokea maeneo ya Mafinga Iringa
sehemu kunaitwa Changarawe ambapo gari
aina lori lilokuwa likitokea Dar kwenda Mbeya
ambapo lilikuwa likikwepa shimo kubwa lililopo
katikati ya barabara na kugongana na gari la
abiria la Kampuni ya Majinja lililokuwa likitoka
Mbeya kwenda Dar. Hii ni maelezo ya trafki
aliyepo hapa.
Kontena la lori limelalia kabisa basi, na watu
wengine wamelaliwa na wengine
wameporomokea korongoni, mpaka sasa
hakuna majeruhi ni maiti tu, wala hakuna mtu
ambaye inadhaniwa amepona.




 
 

0 comments:

CHADEMA YAMBWAGA ZITTO MAHAKAMANI SOMA HAPA KWA HABARI KAMILI



Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe.

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, leo imetupilia mbali shauri lililofunguliwa na Zitto Zubeir Kabwe mwaka jana, akipinga kikao cha Kamati Kuu ya Chadema kumjadili, kujadili uwanachama wake na cheo chake ndani ya Chadema, akikitaka chombo hicho cha sheria kwa kuweka zuio la muda, kusubiri kwanza rufaa yake aliyokuwa amekata katika Baraza Kuu la Chadema.
Mahakama Kuu iliyoketi chini ya Jaji Richard Mziray, ilikubaliana na hoja za mawakili wa Chadema waliosema kuwa ufunguaji wa kesi hiyo ulikosewa baadhi ya vifungu vya sheria na hivyo kumtaka mbunge huyo wa Kigoma Kaskazini kulipa gharama zote za kesi hiyo. Zitto hakufika mahakamani badala yake alituma mawakili wake.
Wakati Zitto akifungua kesi hiyo Januari mwaka jana, tayari Chadema ilikuwa imewafukuza uanachama Dr. Kitilya Mkumbo na Samson Mwigamba ambao pamoja na Zitto, walituhumiwa kupanga njama za kufanya mapinduzi ya uongozi ndani ya chama hicho. Zitto alikuwa akitetewa na wakili Albert Msando wakati Chadema iliwakilishwa na Tundu Lissu, Peter Kibatala na John Mallya.


0 comments:

SOMA HAPA Chanzo cha Usagaji kwa Wanawake Bongo ?

Heshima kwenu mabibi na mabwana.

Nimekua nikijiuliza mara kwa mara kuhusiana na suala la usagaji kwa wasichana bila kupata jibu stahiki.

Baadhi ya wasichana wanadai kwamba kuachwa na wapenzi wao mara kwa mara kunachangia kwa kiasi kikubwa wao kujiingiza katika mapenzi ya jinsia moja,

wengine wanadai kwamba shule za boarding zinawasababishia kujiingiza katika mambo haya kwani muda mwingi wanakua wao wenyewe tu bila kujichanganya na wavulana.

Nini maoni yako wewe mwanajamvi,karibuni wakinadada muweze kutupa ukweli wa hili jambo,wavulana pia mnaruhusiwa kuchangia chochote ili tupate mawazo tofauti tofauti.

Asanteni

0 comments:

Linah na Recho Wanaswa Wakifanya Mambo ya Aibu Mbele ya Watu


Masistaduu wa Bongo Fleva, Estelina Sanga ‘Linah’ na rafiki yake, Winfrida Josephate ‘Recho’, wamefanya mambo ya aibu mbele ya kadamnasi.

 
Tukio hilo la aibu lilijiri hivi karibuni usiku kwenye bwawa la kuogelea (swimming pool) ndani ya Hoteli ya Regency-Mikocheni jijini Dar ambapo kulikuwa na ‘bethidei’ ya Recho.
 
Awali, mastaa hao walianza kwa kulishana keki kwa staili ya njiwa (kwa mdomo), jambo lililoibua minong’ono mahali hapo.

Kama haitoshi, baada ya tukio hilo, wawili hao waliweka mapozi tata wakipiga picha zilizowaonesha nusu utupu huku vinguo walivyovaa vikiacha wazi sehemu kubwa ya maumbile yao nyeti.

0 comments:

Wauza madini watatu wauawa kinyama


ENEO la Mjohororoni wilayani Hai, mkoa wa Kilimanjaro jirani na uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) kando ya barabara ya Moshi/Arusha, linazidi kuwa na rekodi mbaya ya matukio ya mauaji.

Hapa ndipo aliuawa mfanyabiashara bilionea wa madini aina ya Tanzanite Erasto Msuya (43) kwa kupigwa risasi zaidi ya 10 kifuani mwaka juzi- na sasa miili mitatu ya watu wanaodhaniwa kuwa wachimbaji wa madini hayo mkoani Arusha, imeokotwa ikiwa na michubuko midogo na wengine damu ikitoka Puani.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro, Geofrey Kamwela, amethibitisha tukio lakini akaahidi kutoa taarifa kamili baadaye.
Paparazi limeelezwa kuwa tukio hilo limetokea leo asubuhi  majira ya 2:000 katika eneo hilo maarufu kama kwa Wasomali.
Vijana hao wanaodaiwa kuwa na umri kati ya miaka 28 na 32 walikutwa katika eneo hilo na msamaria mwema ambaye baadaye alitoa  taarifa kituo cha Polisi Bomang’ombe.
Mtoa taarifa wetu, amesema kuwa miili hiyo baada ya kuondolewa eneo hilo na polisi, ilipelekwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa ya Mawenzi kwa ajili ya kuhifadhiwa lakini ilishindikana kutokana na chumba cha kuhifadhia maiti kujaa.

0 comments:

Na hili ndio jibu la Fid Q kwa mashabiki waliohisi kapaka lip bum kwenye video yake mpya

Fid q 3
Kwanza ni video iliyovunja rekodi kwenye line ya Fid Q kwa kupata views zaidi ya elfu 20 ndani ya saa 24 huku zaidi ya watu 500 wakilike na 20 wakidislike kwenye mtandao wa YouTube.
Kwenye headlines za hii video mpya pia kumekua na maswali ya mashabiki kwa Fid Q ambapo baadhi yao walitaka kujua kama ni kweli Fid kapaka lip bum mdomoni wakati wa kushoot video hiyo.
Jibu la Fid lilikua hili >>> ‘Sijapaka lip bum wala stick.. zile ni lips zangu baada ya kupigwa na effects kwenye editing.. cheki kwenye screen kubwa
Fid Q 1

0 comments: