Penzi la Wema na Ommy Dimpoz lipo Wazi, wapiga picha wakiwa bafuni usiku.

 
 
Ukiona manyoa?!!! Hatimaye zile tetesi na hisia za kwamba mwaigizaji Wema Sepetu na msanii wa muziki Ommy Dimpoz kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi zime kuwa kweli kwa zaidi ya asilimia 99, hii kutona na picha waliopiga jana usiku wakiwa bafuni huku wema akiwa amevalia taulo “flan amazing” huku kijana Ommy akionekana kwa mbaliii kama ananawa mikono.
Picha hii iliamsha watu kibao usiku wa jana hasa wale Team Wema kindakindaki..kwani comments na likes zilivyo tiririka utazana picha imewekwa saa sita mchana, kumbe ni usiku wamamane.
Haya jamani sisi tunawatakia kila la kheri, kwani wengi wamesema hii ni couple flan amazing....

0 comments:

MBUNGE MAARUFU WA BUNGE LETU LA JAMHURI YA MUUNGANO AKANUSHA KUWA NA UKIMWI ONA NI NANI LIVE!!



SINA UKIMWI, HATA SPIKA ANAJUA :MREMA
Mbunge wa Vunjo Mhe.Augustino Lyatonga Mrema amedai kuwa hana maambukizi ya virusi vya UKIMWI hata Spika wa bunge Anne Makinda anajua.

Mrema aliyasema hayo bungeni juzi akidai kuwa anakanusha uvumi uliosambazwa na Mbunge wa Taifa Mhe.James James Francis Mbatia jimboni kwake Vunjo kuwa ameathirika na VVU.

"Mimi sina UKIMWI hata Spika anajua. Kwa hiyo mwambieni Mbatia aache kunipakazia. Mimi nipo fit na mwakani nagombea".. Alinukuliwa Mrema bungeni.

Swali ambalo watu wengi wanajiuliza ni kivipi Mrema aseme Makinda anaweza kudhibitisha kuwa hana IKIMWI, wakati suala la afya ni issue binafsi.?

0 comments:

HII SASA NI HATARI BUSU LA MWANAUME KWA MWANAUME KWENYE TELEVISION YA TAIFA LAZUA KIZAA ZAA


 
Watu wa jinsia moja wakipigana busu
Waandaaji wa kipindi maarufu cha tamthilia nchini Angola wameomba radhi baada ya sehemu ya Tamthilia hiyo iliyoonyesha wapenzi wa jinsia moja wakibusu kuamsha ghadhabu miongoni mwa watazamaji.
Televisheni ya Taifa imesema imesitisha Matangazo ya Tamthilia ya Jikulumessu kwa sababu za kiufundi.
Watazamaji wengi wanaona kuwa kipindi hicho kilivuka mipaka kwa kuonyesha wanaume wakibusu, ingawa haijatangazwa kuwa mahusiano ya mapenzi ya jinsia moja nchini Angola ni haramu.
Kipindi hicho kilikuwa kinatengenezwa na Kampuni moja inayomilikiwa na Mtoto wa Rais.
Jose Eduardo Paulino dos Santos,Msanii maarufu nchini humo amekuwa akishutumiwa kunadi vitendo vya mahusiano ya jinsia moja miongoni mwa Jamii ambayo imekuwa katika misingi ya kuheshimu maadili na dini.


Kampuni yake,imesema inapitia tena vipindi vyake na imeomba radhi kwa kuwakera Watazamaji.


Kipindi cha Jikulumessu huangazia maswala yanayogusa jamii kama vile ndoa za mitara, mahusiano ya jinsia moja, biashara ya ngono kwa ajili ya kuzua mjadala kwenye jamii.

0 comments: