HUYU NDIO MSANII WA NIGERIA ALIYEFANYA MAPENZI NA MBWA NA KUWEKA VIDEO MTANDAONI...CHEKI HAPA


Anaitwa Cossy Orjiakor, ni msanii wa Nigeria aishie nchini Italy, amekuwa akijulikana sana kwa kutokua na haya na kufanya mambo ya ajabu na ya kikubwa hadharani. Sasa hv kaamua kutoa video akiwa anafanya mapenzi na mbwa. Inasikitisha sana kwani wanaume wapo wengi tena hawana wanawake halafu mtu anaamua kufanya mapenzi na mbwa

ANGALIZO HIZI PICHA NA VIDEO NI CHAFU SANA KWAHIYO WATOTO AWATAKIWI KUANGALIA

BOFYA HAPO CHINI KUANGALIA PICHA NA VIDEO ZA HUYU MDADA

 BOFYA HAPA PICHA YA KWANZA

0 comments:

Wakubwa tu WATOTO MWIKO HAPA : PICHA ZA UCHI ZAVUJISHWA.. tizama hapa live!! ONYO WAKUBWA TU




MSICHANA HUYO AMBAYE JINA LAKE TUNALO AMEFANYA KITU KIBAYA SANA KWARAFIKI YAKE, TAARIFA KAMILI NI KWAMBA MSICHANA HUYU AMENYANG'ANYWA MPENZI WAKE NA RAFIKI YAKE TENA WAKARIBU.
SABABU HALISI NI KWANINI AMEMUACHA MSICHANA HUYU NA KUANZA MAHUSIANO NA RAFIKI YAKE, LABDA RAFIKI YAKE HUYU MSICHANA NI MZURI ZAIDI AU MSICHANA HUYU ALIKUWA ANAMPA
ori rafiki yake juu ya mambo ya chumbani anayofanyiwa msichana huyu kama wengine wafanyavyo.

Kwa hiyo dawa aliona ni kuexpose picha za rafiki yake. Hebu zione mwenyewe ndiyo utajua kama ni mzuri zaidi au laa!

WAKUBWA TU KUONA PICHA HIZI....NI AIBU TENA LAANA. HII INAITWA WEKA MBALI NA WATOTO.






0 comments:

Picha,majibu ya video Queen Tunda kuhusu picha za utupu na mchekeshaji Stan Bakora.


haya 2
Video Queen maarufu Tanzania Tunda amehojiwa hivi karibuni kuhusu picha zilizosamba mitandaoni akiwa na mchekeshaji maarufu Stan Bakora,
Tunda anasema hajaona picha zozote, hajaziona na ila akiziona ndio ataongelea hilo jambo hilo.
Je kuhusu  Jose Chameleone? Tunda akasema Chameleone alikuwa Boy Friend wake, hakujua kama Chameleona ana mke na hataki kuongelea mambo hayo.
Je  Jose Chameleone, akiona Picha ? Tunda akasema Siwezi kusema lolote sababu picha sijaziona.

0 comments:

Picha, Range Rover anayotembelea Msanii Ay na comments za mashabiki kuhusu usiri wa mali.

ay 12 

Msaani Daz Baba Amesema Ay ni mfano wa kuigwa, Ni baada ya kumuona na Gari yake aina ya Range Rover. Asema anampango wa kufanya naye wimbo. AY Alionekana na Gari yake wakati anaondoka kwenye mazishi ya baba mzazi wa Dully Sykes ‘Mzee Ebby Sykes’. Hizi ni baadhi ya comment za watu kutoka instagram


IMG_0481 
 IMG_0489
Screenshot_2015-02-17-20-28-49 Screenshot_2015-02-17-20-29-14 Screenshot_2015-02-17-20-29-36 Screenshot_2015-02-17-20-29-52 Screenshot_2015-02-17-20-31-06 Screenshot_2015-02-17-20-31-22 Screenshot_2015-02-17-20-31-34

0 comments:

Mzee Yusuph Kuoa Tena Mke wa Tatu, Wake Zake Watupiana Vijembe Mtandaoni!



Mwimbaji mahiri wa muziki wa Taarab nchini ambaye pia ni mkurugenzi wa kundi la Jahazi Modern Taarabu,Mzee Yusuph anatarajia kuoa tena mke wa tatu hivi karibuni huku wake zake wawili wakiwa kwenye bifu zito wakitupiana vijembe mtandaoni. 
Akipiga stori na paparazi alisema kuwa anatarajia kuoa mke huyo ambaye anaishi huko visiwani Pemba,na kwamba mipango ikiwa tayari kila kitu kitakuwa hadharani. 

Hivi karibuni wake zake wawili ambao ni Malkia Leila Rashid ambaye pia ni mwimbaji wa kundi hilo na mke wake mdogo aitwaye Chiku wamekuwa wakirushiana vijembe kwenye mtandao wa kijamii wa ‘WathsAAp’ kwa kuandikiana ‘Status’ za vijembe.
 Mzee Yusuph akiwa na mke wake pili,Chiku.
Habari zinasema kuwa wake hao wamekuwa kama chui na paka na mzee Yusuph hana mpango wa kuwapatanisha kwa kuwa hakuna hata mmoja aliyeonyesha chuki kwa mwenzake akiwa na nao. 

‘’Waache tu warushiane vijembe tena ndiyo vizuri na dawa yao nawaletea mke wa tatu na wala sina mpango wa kuwapatanisha,’alisema Mzee Yusuph.

0 comments:

MAMA KANUMBA AGEUKA MBOGO..NI BAADA YA KUULIZWA HATMA YA KAMPUNI YA Kanumba The Great KUFUNGWA

Mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba, 'Kanumba The Great', Flora Mtegoa.
KUFUATIA kufungwa kwa ofisi ya aliyekuwa msanii nyota wa filamu marehemu Steven Kanumba ya Kanumba The Great, mama mzazi Flora Mtegoa amegeuka mbogo baada ya kuulizwa kuhusu hatima ya kikazi ya taasisi hiyo.
Muonekana wa Ofisi ya Kanumba The Great wakati ikiwa inafanya kazi.
Watu wamezidi kunifuatilia mambo yangu, sitaki kabisa nimechoka, hii kampuni haimhusu mtu yeyote, hili ni jambo langu siyo lazima niliweke wazi, kama kampuni imekufa au itaendelea haiwahusu, wanaoamini imekufa waamini hivyo, maana hata Yesu walisema atarudi hadi leo mbona hajarudi?” aliuliza kwa hasira mama huyo.
Ofisi ya mkali huyo wa filamu za Kibongo, aliyefariki ghafla miaka mitatu iliyopita, ilikuwa eneo la Sinza Mori na ilifungwa wiki mbili zilizopita, baada ya mama huyo kudaiwa kushindwa kumudu kodi mpya ya pango ambayo ilipandishwa.

0 comments:

Chenge: Mimi ni ‘nyoka wa makengeza’..kwa kuwa mimi ni mjanja wa kutafuta fedha



Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge.

Asema ni yule mwenye makengeza, Asisitiza kuwa ni mtafuta fedha

Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge, ‘amefunguka’ kuhusu kashfa inayomkabili ya kupata mgawo wa Sh. bilioni 1.6 kutoka kwenye fedha zilizochotwa kifisadi katika akaunti ya Tegeta Escrow, iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), akisema hastahili kuitwa mwizi, bali anapaswa kuitwa ‘nyoka wa makengeza’.
Amesema anapaswa kuitwa ‘nyoka wa makengeza’ kwa kuwa yeye ni mjanja wa kutafuta fedha kwa ajili ya wananchi wa jimbo lake, ambao wanapaswa kupuuza madai ya wizi yanayoelekezwa kwake, badala yake wamwamini zaidi.
Chenge, ambaye ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) mstaafu, alisema hayo wakati akihutubia wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kijiji cha Mahaha kata ya Bunamala, Wilaya Bariadi mkoani Simiyu juzi.
Alisema kwa muda mrefu amekuwa kimya, lakini ameshangazwa na kitendo cha kuandamwa kuhusiana na kashfa ya akaunti hiyo.
“Wanasema Chenge na Escrow…Pale nimeenda kutafuta kwa ajili ya wananchi wa jimbo langu wala sikwenda kubomoa duka. Bali tunatumia akili kutafuta pesa kwa ajili yenu,” alisema Chenge.
Chenge alitoa kauli hiyo wiki chache baada ya kusimama bungeni na kusema amelazimika kufanya hivyo baada ya kumvumilia Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee, aliyetaka wabunge wachunguzwe kuhusiana na kashfa ya akaunti hiyo na wa kwanza kuchunguzwa awe Chenge.
Alisema kama Mdee ana ushahidi wa tuhuma anazozielekeza kwake, aupeleke bungeni kama kanuni za Bunge zinavyotaka au tuhuma hizo akaziseme nje ya ukumbi wa Bunge.
“Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi ningelipenda Bunge hili liendelee kuwa na heshima yake. Pili, naomba sana hayo wanayoyasema wawe na ujasiri wa kwenda kuyasema nje ya ukumbi huu wa Bunge, wasijifichie katika immunity (kinga) ya Bunge,” alisema Chenge.
Alisema anayo mengi ya kusema, lakini kwa sababu alisimama kuhusu utaratibu, kumtaja yeye kwa jina moja kwa moja, anaomba aweke ushahidi mezani.
Mdee alitoa pendekezo hilo wakati akichangia mjadala kuhusu taarifa ya PAC na ile ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), bungeni, Januari 30, mwaka huu.
Alisema Chenge amekuwapo katika kashfa mbalimbali za ufisadi, kuanzia ile inayohusu mikataba mibovu.
Kashfa nyingine za ufisadi ambazo alisema Chenge ameshiriki ni pamoja na inayohusu kampuni ya kufua umeme ya Independent Tanzania Limited (IPTL).
Nyingine alisema ni ya hivi karibuni ambayo alipata mgawo wa Sh. bilioni 1.6 zilizochotwa kifisadi katika akaunti hiyo.
“Tuanze kuchunguzana wabunge, tuanze na Chenge,” alisema Mdee.
 Kauli hiyo ya Mdee ndiyo iliyoonyesha kumkera Chenge na kulazimika kusimama bungeni siku hiyo na kutoa kauli hizo.
Kwa mujibu wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), fedha zinazodaiwa kuchotwa kutoka akaunti hiyo, ni zaidi ya Sh. bilioni 300 wakati kwa mujibu wa Rais Jakaya Kikwete, ni Sh. bilioni 202.9.
Chenge alitajwa kupata mgawo huo kutoka katika fedha hizo na taarifa maalum ya PAC iliyowasilishwa kwa nyakati tofauti na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Zitto Kabwe na Makamu wake, Deo Filikunjombe, bungeni Novemba 26, mwaka huu.
Taarifa hiyo ya PAC, ilimtaja Chenge kupata mgawo wa Sh. bilioni 1.6 kutoka kwenye fedha zilizochotwa kutoka katika akaunti hiyo.
Wengine waliotajwa na taarifa hiyo ya PAC kupata mgawo kutoka katika fedha hizo, ni pamoja na aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka (Sh. bilioni 1.6), Mbunge wa Sengerema (CCM), William Ngeleja (Sh. milioni 40.4) na Mbunge mstaafu wa Sumbawanga Mjini (CCM), Paul Kimiti (Sh. milioni 40.4).
 Pia wamo aliyewahi kuwa Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona (Sh. milioni 40.4); aliyekuwa mjumbe wa Bodi ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Dk. Enos Bukuku (Sh. milioni 161.7), Jaji Profesa John Ruhangisa (Sh. milioni 404.25), Jaji Aloysius  Mujulizi (Sh. milioni 40.4) pamoja na Mkurugenzi mstaafu wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (Rita), Philip Saliboko (Sh. milioni 40.4).
Wengine ni aliyekuwa Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji (TIC), Emmanuel Ole Naiko (Sh. milioni 40.4), Ofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Lucy Appollo (Sh. milioni 80.8); Askofu Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Bukoba, Dk. Methodius Kilaini (Sh. milioni 80.9); Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Eusebius Nzigilwa (Sh. milioni 40.4) na Padri Alphonce Twimannye Simon (Sh. milioni 40.4).
Kutokana na taarifa hiyo ya PAC iliyohusu ukaguzi maalum wa malipo yaliyofanyika katika akaunti hiyo, Novemba 29, mwaka jana, Bunge lilipitisha maazimio nane dhidi ya wote waliohusika na kashfa hiyo.
Ukaguzi huo ulifanywa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) pamoja na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru).
 Taarifa hiyo ya PAC, ilieleza kuwa mmiliki wa kampuni ya Pan African Power Solutions Ltd (PAP), Harbinder Singh Sethi, mmiliki wa kampuni ya VIP Engineering & Marketing (VIP), James Rugemalira, walihusika kwa namna moja au nyingine katika kufanikisha kufanyika miamala haramu ya fedha katika akaunti hiyo kwenda kwa kampuni hizo.
 Wengine waliotajwa na taarifa hiyo ya PAC kuhusika katika kashfa hiyo ni Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini aliyesimamishwa kazi, Eliakim Maswi na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo, aliyejiuzulu.
Prof. Muhongo alitajwa na taarifa hiyo ya PAC kuwa alikuwa dalali kati ya Rugemalira na Sethi kufanikisha uchotwaji wa fedha hizo kutoka katika akaunti hiyo.
 Wengine waliotajwa na taarifa hiyo ya PAC kuhusika katika kashfa hiyo, ni pamoja na aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema na waliokuwa wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco).
 Hivyo, Bunge likaazimia kuwa Jeshi la Polisi na vyombo vingine husika vya ulinzi na usalama viwachukulie hatua stahiki za kisheria kwa mujibu wa sheria za nchi watu wote waliotajwa na taarifa hiyo ya PAC kuhusika na vitendo vyote vya kijinai kuhusiana na miamala ya akaunti hiyo na wengine watakaogundulika kuhusika katika vitendo hivyo.
 Kwa mujibu wa taarifa hiyo ya PAC, vitendo vilivyofanywa na watu hao vinaashiria makosa mbalimbali ya jinai, kama vile uzembe, wizi, ubadhirifu, kutakatisha fedha haramu, matumizi mabaya ya madaraka, rushwa na kupokea mali ya wizi.
 Tayari Prof. Muhongo na Jaji Werema walikwishajiuzulu nafasi zao serikalini, huku Maswi, ambaye amesimamishwa kazi akiendelea kuchunguzwa.
 Pia tayari Prof. Tibaijuka ameshatimuliwa kazi na Rais Kikwete kwa kupokea fedha hizo kupitia akaunti yake binafsi iliyoko benki ya Mkombozi, kinyume cha maadili.
Pia kutokana na kashfa hiyo, Chenge, ambaye alikuwa ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, alijiuzulu nafasi hiyo kutekeleza moja ya maazimio ya Bunge yaliyotaka yeye na waliokuwa wenyeviti wenzake wa kamati za Bunge; Ngeleja (Katiba, Sheria na Utawala) na Victor Mwambalaswa (Nishati na Madini), wavuliwe nyadhifa hizo. Wote walijiuzulu nyadhifa hizo.
Mbali na kujiuzulu, Februari 2, mwaka huu, Baraza la Maadili lilitangaza kuwaita kwa nia ya kuwahoji wabunge hao, akiwamo Prof. Tibaijuka, Ngeleja, Mwambalaswa na Chenge, kutokana na tuhuma za kashfa ya akaunti hiyo zinazowakabili.
Wabunge hao watafika mbele ya Baraza hilo, kuanzia Februari 23, mwaka huu.
 Ofisa Habari wa Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Johanither Barongo, alisema mahojiano hayo yatafanyika kwa wiki tatu na yataongozwa na Jaji mstaafu, Hamisi Msumi na wajumbe wengine wawili, Hilda Gondwe na Celina Wambura.
MIRADI MAENDELEO JIMBONI
Akizungumzia suala la wananchi na miradi ya maendeleo jimboni mwake, Chenge alisema mtaji wa maendeleo ni kila mwananchi kujituma katika kuchangia miradi mbalimbali na kushirikiana na viongozi na serikali kwa manufaa yao.
“Ndugu zangu, ni bora miradi tunayoileta vijijini mwenu mkaitunza ili tuendelee kuwatumikia kwa muda mrefu…na tufanye kazi ya kuilinda miradi hiyo na kuisimamia miradi yote iliyo ndani ya kata hii,” alisema Chenge.
Mbunge huyo alitembelea maabara ya Shule ya Sekondari Sapiwi kuangalia maendeleo ya ujenzi wake baada ya Mfuko wa Jimbo kutoa mabati 300 kwa ajili ya kuezekea maabara.
Shilingi milioni 36 zimetumika kugharimia ujenzi huo, huku wananchi wakichangia Sh. milioni 10 na Sh. milioni 74 zikihitajika.
Awali, Ofisa Mtendaji wa kata ya Sapiwi, Telen Nhandi, alisema zipo changamoto zinazoikabili kata hiyo ikiwamo upotoshaji wa watu katika michango ya kuchangia maabara, ukame na kusababisha mazao mengi kuanza kuathirika.
Alisema hali hiyo imesababisha baadhi ya wananchi kushindwa kuchangia katika miradi ya maendeleo.

0 comments:

FUNDI SAA APOKEA KICHAPO AKIDAIWA KUMLAWITI MWANAFUNZI WA KIUME WA DARASA LA 3 - ARUSHA

NJEMBA mmoja ambaye ni fundi saa maeneo ya Stendi Kuu jijini Arusha leo amepokea kipigo cha mbwa mwizi baada ya kudaiwa kumlawiti mwanafunzi wa kiume wa darasa la tatu wa shule moja jijini humo.

0 comments:

ANGALIA UNYAMA ALIOFANYIWA YULE MTOTO ALIBINO ALIYEIBWA

 
Mwili wa mtoto (Albino) Yohana Bahati aliyeporwa juzi Geita umekutwa umekatwa miguu na mikono na kufukiwa kwenye msitu wa Biharamulo.Mtoto
Yohana S/O Bahati Mwenye Umri wa mwaka 1 aliyetekwa huko Chato,Geita akutwa amekatwa mikono na miguu ktk Pori la Biharamulo.Ukatili huu umezidi hata ule wa Shetani R.I.P Yohana 

0 comments:

MTOTO WA FLORA SASA JIPU LAPASUKA PWAA!...KILA KITU HADHARANI

Flora Mbasha wakati wa kujifungua.
BAADA ya utata wa uhalali wa baba wa mtoto wa Mwimba Injili maarufu Bongo, Flora Mbasha kutawala kwenye magazeti mbalimbali na mitandao ya kijamii, hatimaye jipu limepasuka baada ya baba mdogo wa Flora, aliyejitambulisha kwa jina moja la Kisekwa kufunguka kwamba mtoto huyo ni damu halali ya Mbasha. Kisekwa alifunguka hayo juzikati katika Mahakama ya Ilala jijini Dar alipokuwa amekwenda kusikiliza kesi ya aliyekuwa mume wa Flora, Emmanuel Mbasha kudaiwa kumbaka shemeji yake ambapo alisema anamshangaa Mbasha kushindwa kukiri ukweli ulio wazi kwamba mtoto ni damu yake wakati moyoni anautambua. 
TUJIUNGE NA KISEKWA
“Inakuwaje Mbasha anashindwa kukubali ukweli kwamba mtoto ni wake wakati anatambua fika kwamba ujauzito ni mali yake kabla hata ya mgogoro wao? Ndugu wote tulikuwa tunajua hilo, upande wetu na hata kwao. Mbona hakuikataa tangu kipindi hicho?
Mgogoro wao ulikuwa wa mambo ya kawaida ya kifamilia, haukuhusiana hata kidogo na Flora kuchepuka wala nini, tangu mwanzoni mwa mgogoro wao wakiwa wanaishi pamoja wameshaitwa mara tatu katika ofisi za Ustawi wa Jamii na alielezwa kuwa mkewe ni mjamzito, akifahamu ni mali yake na akaonywa kuwa kitendo cha kuendekeza migogoro ya mara kwa mara kinaweza kumletea matatizo mkewe na kichanga kilichokuwa tumboni, mbona hakubisha? Tulikuwa tukijadili matatizo yao na kila mmoja kuweka hoja zake mezani, hakuna kati yao aliyehusisha mgogoro huo na suala la kuchepuka,” alisema Kisekwa. 

KIAPO CHATAJWA
Kama hiyo haitoshi, kuonesha ana uhakika na anachokizungumza, Kisekwa alimtaka Mbasha ajiapize kwa kushika kitabu kitakatifu cha Biblia kama ana mashaka na ukweli aliouzungumza. 
AKERWA NA MADAI YA GWAJIMA
Mzazi huyo alisema anakerwa zaidi jinsi ambavyo Mbasha amewahi kukaririwa akimhusisha mkewe kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kwamba ni baba wa mtoto huyo.
“Anamsingizia tu baba wa watu (Gwajima) maskini ya Mungu kwa vile hapendi kuona anavyomsaidia Flora, lakini ukweli Gwajima sisi ni ndugu yetu, mimi G ananiita baba mdogo kama anavyooniita Flora,” alisema Kisekwa. 
Mchungaji Gwajima.
MBASHA ANASEMAJE?
Wanahabari wetu walipomtafuta Mbasha kuhusiana na ukweli kwamba kichanga ni mali yake, hakutaka kukubali wala kukataa zaidi ya kupinga suala la ujomba wa Flora na Gwajima.
“Flora aseme ukweli, ujomba wa yeye na Gwajima umetoka wapi? Hilo tu ndiyo nataka alifafanue kwa undani maana wajomba zake wote mimi nilitambulishwa wakati ninamuoa,” alisema Mbasha.
Mwandishi: Kuhusu ukweli kwamba mtoto ni wako unazungumziaje?
Mbasha: Hilo litajulikana tu lakini mimi nataka kujua ujomba wake na Gwajima umetoka wapi? Hapo tu. 
TUJIKUMBUSHE
Mbasha na Flora ambao waliishi kwenye ndoa na kufanikiwa kupata mtoto mmoja, mwaka jana walifikia hatua ya kutengana na kila mmoja kuishi kivyake baada ya kushindwa kutatua mgogoro wao wa muda mrefu wa kifamilia.

0 comments: