BAADA YA KUPONDWA NA DIAMOND KUWA "HATA ALI SIMUONI" ALIKIBA AMEKWENDA KUSHOOT VIDEO YA WIMBO WAKE ‘MWANA’ AFRIKA KUSINI.. ILI ALE SAHANI MOJA NA DIAMOND

10809648_391264047706717_1301671596_n

Alikiba amesafiri hadi jijini Cape Town, Afrika Kusini kwenda kushoot video mpya.

Inavyoonekana staa huyo amekwenda kushoot video ya wimbo wake ‘Mwana’ uliotoka miezi kadhaa iliyopita.
10809551_1580625418833092_1220378353_n
Kiba ameshare picha kadhaa kwenye Instagram akiwa location huku moja anaonekana akiwa na dancers wa kike.
10847811_873743942649078_2506836612100726369_n


0 comments: