David Moyes Azungumzia Ushindi dhidi Ya Barcelona Na Jina Alilopewa Baada.

moyes
David Moyes ambaye kwa sasa ni kocha wa klabu ya Real Sociedad amesema “Kushinda dhidi ya Barcelona ni jambo ambalo aliwaza kwa muda mrefu bila kujua atalifanikisha vipi na hatakama itawezekana
Kwenye mechi yake ya kwanza dhidi ya Barcelona, Moyes ambaye alikuwa manager wa Manchester United alifanikiwa kushinda kwa bao moja bila.
Moyes alisema “Ushindi huu umemkumbusha wakati alivyokuwa manager wa Everton, wakati anashinda dhidi ya timu kubwa kama Arsenal, Liverpool na Man United ” yMoes alifukuzwa man utd baada ya miezi kumi kwenye nafasi ya Sir Alex Ferguson.
Mtangazaji maarufu wa soka kutoka Span amembatiza David Moyes jina la ‘Braveheart‘.

0 comments: