KIRIA na mama mtoto wambwagia MBUNGE MTOTO MLEMAVU KIKAONI...MWANDISHI WA MWANANCHI APOKEA KICHAPO

Kwenye picha kubwa ndiyo Abdalha Sheria Mh Mbunge wa Zanzibar jimbo la Dimani


                           
Mwandishi wa gazeti la Mwananchi amepata kipigo na kutaka kupokonywa kamera kwenye tukio hili la Mbunge kutelekeza familia yake hasa mtoto wake mwenye ulemavu, amepingwa na mbunge wa Blandes Gosbert mbunge wa Karangwe, Kagera.





Kiria akiwa polisi

0 comments: