ANGALIA UNYAMA ALIOFANYIWA YULE MTOTO ALIBINO ALIYEIBWA

 
Mwili wa mtoto (Albino) Yohana Bahati aliyeporwa juzi Geita umekutwa umekatwa miguu na mikono na kufukiwa kwenye msitu wa Biharamulo.Mtoto
Yohana S/O Bahati Mwenye Umri wa mwaka 1 aliyetekwa huko Chato,Geita akutwa amekatwa mikono na miguu ktk Pori la Biharamulo.Ukatili huu umezidi hata ule wa Shetani R.I.P Yohana 

0 comments: