KUTEULIWA KWA Makonda NA Zelothe KUWA WAKUU WA WILAYA NI MKAKATI WA CCM kutengeneza mazingira ya kuchakachua kura za maoni
18:47 0 comments
SIKU moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kuteua wakuu wa wilaya wapya 27 na wengine 19 kuondolewa, wadau mbalimbali wamejitokeza wakidai huo ni mkakati wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) kutengeneza mazingira ya kuchakachua kura za maoni ili kiweze kushinda kwa urahisi.
Wadau
hao pia wamedai katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu, chama
hicho kimekuwa na utaratibu wa kuteua viongozi hao waweze kutengeneza
mikakati ya ushindi katika maeneo yao.
Hata
hivyo, akizungumza Dar es Salaam jana, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa
CCM, Nape Nnauye, aliwashangaa wapinzani kwa kupinga uteuzi huo huku
akisisitiza kuwa lingekuwa jambo la ajabu kama wanasiasa hao
wangeupongeza.
“Ningeshangaa
kama wanasiasa wangesifia uteuzi huo…kwa sababu ndiyo uwezo wao wa
kufikiri uliopoishia, ninaomba Watanzania kuwasamehe bure,” alisema Nape
kwa kifupi.
Wakizungumzia
uteuzi huo mpya, baadhi ya wanasiasa akiwamo Mwenyekiti wa Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa Chama
cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, walisema hawaoni umuhimu wa
nafasi hizo wakidai uteuzi huo umelenga kuandaa timu ya uchakachuaji wa
kura katika uchaguzi mkuu na kura ya maoni ili kupitisha Katiba
Inayopendekezwa.
Walidai
uteuzi huo ni maandalizi ya CCM kuelekea uchaguzi mkuu kwa sababu
nafasi hizo hazina umuhimu kwa taifa na kwamba hatua hiyo inaongeza
mzigo wa gharama kwa wananchi.
WASOMI
Baadhi ya wasomi kutoka vyuo vikuu mbalimbali nchini waliuita uteuzi huo kuwa ni wa siasa na umelenga kuhakikisha Katiba mpya inapita.
“Uteuzi huo ni wa siasa zaidi kuhakikisha CCM inashinda kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani,” alisema Profesa Gaudence Mpangala wa Chuo Kikuu cha Ruaha Iringa.
Baadhi ya wasomi kutoka vyuo vikuu mbalimbali nchini waliuita uteuzi huo kuwa ni wa siasa na umelenga kuhakikisha Katiba mpya inapita.
“Uteuzi huo ni wa siasa zaidi kuhakikisha CCM inashinda kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani,” alisema Profesa Gaudence Mpangala wa Chuo Kikuu cha Ruaha Iringa.
Profesa
Mpangala pia alitoa tahadhari kwa mteule wa Kinondoni ambaye pia
aliwahi kuwa mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Paul Makonda, akisema
kiongozi huyo ameteuliwa kimkakati ili kuhakikisha anasimamia
upitishwaji wa Katiba mpya katika eneo lake.
“Uteuzi
wa Paul Makonda umekuja kimkakati, lengo ni kuhakikisha Katiba
Inayopendekezwa inapita kwenye kura za maoni si vinginevyo.
“Ndiyo
maana Rais Kikwete amefanya mabadiliko hayo kwa sababu anajua kuwa
kinachofuata ni uchaguzi mkuu, lazima aangalie watu watakaoweza kutetea
maslahi ya chama chake,” alisema.
Alisema kutokana na hali hiyo, idadi kubwa ya waliochaguliwa wanafanya kazi kwa kufuata matakwa ya viongozi wao jambo ambalo linaweza kuwasaidia kupata ushindi.
Alisema kutokana na hali hiyo, idadi kubwa ya waliochaguliwa wanafanya kazi kwa kufuata matakwa ya viongozi wao jambo ambalo linaweza kuwasaidia kupata ushindi.
Mhadhiri
wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Hajji Semboja, alisema nafasi
ya ukuu wa wilaya ni ya siasa zaidi kwa vile haiangalii sifa ya mtu
anayeteuliwa kushika nafasi hiyo.
“Hizi
nafasi za U-DC na RC ni za wanasiasa zaidi ndiyo maana wanachaguliwa
bila kuangalia sifa ya mtu… hali ambayo imesababisha kuwapo malalamiko
mengi kutoka kwa wananchi.
“Yaani
kila nilipopita nasikia Makonda, Makonda…, nikajiuliza ni mtu wa aina
gani? Kumbe wanamtuhumu kwenye tukio la Jaji Joseph Warioba, nikajiuliza
kwanini aliteuliwa…ila nikapata jibu kwa sababu nafasi zenyewe zimetoka
kisiasa zaidi,” alisema Profesa Semboja.
Alisema
ili kupata viongozi bora, Serikali inapaswa kuwapa elimu ya uongozi ili
wakichaguliwa waweze kujua wajibu kwa wananchi na jinsi ya kujiheshimu.
WANAHARAKATI
Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk. Helen Kijo-Bisimba, alisema hakuna kificho, pangua pangua na uteuzi huo wa ma-DC wapya una sababu maalumu.
Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk. Helen Kijo-Bisimba, alisema hakuna kificho, pangua pangua na uteuzi huo wa ma-DC wapya una sababu maalumu.
Alisema
ni wazi wakuu hao wa wilaya wamechaguliwa kwa ajili ya kwenda
kushughulikia uchaguzi mkuu ujao utakaofanyia Oktoba, mwaka huu.
Sioni
sababu hasa iliyomfanya rais apangue wakuu wa wilaya katika kipindi
hiki ambacho tumebakiza miezi minane tufanye Uchaguzi Mkuu wa Rais,
Wabunge na Madiwani,” alisema Dk. Bisimba.
Mkurugenzi
wa shirika lisilo la kiserikali la SIKIKA, Irene Kiria, alisema hatua
hiyo ni gharama ambayo inahitaji fedha wakati katika huduma nyingine za
jamii Serikali imekuwa ikisema haina fedha.
“Gharama
zinakuja kwa kuwa ma-DC hao watahitaji kuhamishwa kwa wale
waliohamishiwa vituo vipya na wale wapya pia wana mahitaji yao zaidi.
“Kupangua wakuu hao ni kupoteza fedha za umma bure wakati kuna sekta zinazohitaji fedha kwa ajili ya mahitaji muhimu.
“Hili
suala la wakuu wa wilaya tumeshalizungumza mara nyingi, hata kwenye
rasimu ya pili ya Katiba iliyosimamiwa na Jaji Joseph Warioba ilitaka
watu hao wasiwepo, lakini tunandelea kuona fedha zinatumika kwa ajili
yao bila sababu ya msingi,” alisema.
MNYIKA
Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (Chadema), alisema kuhamishwa vituo kwa wakuu wengi wa wilaya miezi michache kabla ya kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa ni mkakati wa wakuu hao ambao ni makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwenda kupiga kampeni za ndiyo kwa Katiba haramu.
Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (Chadema), alisema kuhamishwa vituo kwa wakuu wengi wa wilaya miezi michache kabla ya kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa ni mkakati wa wakuu hao ambao ni makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwenda kupiga kampeni za ndiyo kwa Katiba haramu.
“Wakuu
wote ni wajumbe wa kamati za siasa za CCM, hivyo huu ni mkakati kwenda
kupiga kampeni za ndiyo kwa Katiba haramu iliyopitishwa kiharamia katika
Bunge Maalumu na baadaye kuhujumu upinzani kuelekea uchaguzi mkuu
kuliko ufanisi wa utendaji wa Serikali,” alisema Mnyika.
Akizungumzia
uteuzi wa aliyewahi kuwa Kamanda wa Polisi katika mikoa kadhaa, Zelothe
Steven, alisema utachochea wakuu wengine wa polisi kuhujumu upinzani.
“Uteuzi
wa Zelothe utaendelea kuchochea wakuu wengine wa polisi kuhujumu
upinzani katika kipindi cha utumishi wao kwa kujipendekeza kwa rais
ambaye pia ni amiri jeshi mkuu ili wakistaafu utumishi wao waendelee
kupata fadhila kupitia nafasi kama za ukuu wa wilaya,” alisema Mnyika.
Read More »

SHIRIKA la Ndege la Precision linatarajia kuuza baadhi ya ndege zake na kubakiza ndege sita kupunguza mzigo wa madeni yanayoikabili Kampuni hiyo kwa sasa.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa shirika hilo, Michael Shirima alisema Dar es Salaam jana kuwa hatua hiyo imefikiwa kutokana na uchakavu wa ndege hizo na hali ya uchumi wa kampuni.
“Kampuni iko katika mazungumzo na mwekezaji ili kukamilisha makubaliano ya kununua ndege zenye madeni na kisha kuzikodisha kwa kampuni nyingine… makubaliano haya yanatarajiwa kufikiwa mwishoni mwa robo ya kwanza ya mwaka huu,” alisema Shirima.
Alisema pamoja na kufikia hatua hiyo kampuni haijakata tamaa kwa kuweka jitihada ya kutafuta mtaji mkubwa kupitia kwa wanahisa wa sasa au wawekezaji wasio wanahisa.
Awali akiitoa taarifa katika mkutano mkuu wa mwaka wa Tatu wa wanahisa, Shirima alisema mazingira ya biashara yalikuwa na ushindani huku kukiwa na hofu juu ya usalama duniani kote.
Pia alisema thamani ya fedha za kigeni hususan Dola ya Marekani imeendelea kukua ikilinganisha na shilingi ya Tanzania hivyo kusababisha akiba hafifu ya fedha za kigeni na hasara kwa biashara ambazo matumizi yake mengi yanategemea fedha hizo.
Read More »

Mrembo huyo wa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti.
Mashabiki wake hawakusita kumchana.
“Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed.
“Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme.
WAKUBWA TU...BOFYA PICHA HAPA CHINI AKIWA AMEPANUA MAPAJA
Read More »
Mwanamke Amuua Mwanamke Mwenzake kwa Kummwagia Mafuta ya taa na Kumchoma Moto baada ya Kumfumania na Mumewe
18:43 0 commentsMkazi wa kijiji cha Ibosa, kata ya Nyakato, Bukoba Vijijini, Amelia Richard (50) anatuhumiwa kumuua mwanamke mwenzake kwa kummwagia mafuta ya taa na kumchoma moto baada ya kumfumania na mumewe.
Kamanda
wa Polisi wa Mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe alitaja tukio hilo ni
la Februari 15, mwaka huu saa 3 usiku katika kijiji cha Ibosa kata ya
Nyakata Bukoba vijijini.
Alimtaja
aliyeuawa ni Pelagia Martin (46) aliyeunguzwa mwili mzima. Kamanda
alisema mwanamke huyo alicheleweshwa kufikishwa Hospitali ya Mkoa hadi
kesho yake; Februari 16 baada ya wanafamilia kuomba wayamalize bila
kwenda Polisi.
Makubaliano
ya wanafamilia hao yalitokana na kile kilichoonekana kwamba Amelia
alimfumania Pelagia akiwa na mumewe, Richard Bulebo (57) ndani ya
nyumba yao.
Kwa
mujibu wa Kamanda, Februari 16 walipoona hali ya majeruhi inazidi kuwa
mbaya, ndipo walifika katika Kituo cha Polisi mjini Kati wakiomba
msaada.
Polisi
walimpeleka majeruhi huyo Hospitali ya Mkoa lakini alifariki kabla ya
kupatiwa matibabu. Polisi inamshikilia Amelia na Bulebo kwa tuhuma za
kuhusika na mauaji hayo.
Read More »


Kwa mujibu wa mmoja wa wanafamilia wa ukoo huo, hali ya bibi huyo bado ni mbaya na wanajitahidi kwa hali na mali kuokoa maisha yake katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Ruvuma alikolazwa.
“Bado hali ni mbaya, bibi bado analalamika maumivu, tunaendelea na matibabu huku tukisubiri madaktari watatueleza nini kuhusu maendeleo yake, ikishindikana hapa tutamhamisha hospitali, afadhali kidogo Maurus,” alisema mwanafamilia huyo aliyeomba hifadhi ya jina lake.

Msikhela alisema kuwa tukio hilo lilitokea majira ya saa moja asubuhi baada ya baba mzazi wa mtoto huyo, Ambros Mselewa akiwa pamoja na watu wengine walipoanza kuwashambulia watu hao wakimtaka kijana wao aliyepotea kimauzauza tangu Februari 3, mwaka hu
Read More »
HUYU NDIO MSANII WA NIGERIA ALIYEFANYA MAPENZI NA MBWA NA KUWEKA VIDEO MTANDAONI...CHEKI HAPA
02:40 0 comments
Anaitwa Cossy Orjiakor, ni msanii wa Nigeria aishie nchini Italy, amekuwa akijulikana sana kwa kutokua na haya na kufanya mambo ya ajabu na ya kikubwa hadharani. Sasa hv kaamua kutoa video akiwa anafanya mapenzi na mbwa. Inasikitisha sana kwani wanaume wapo wengi tena hawana wanawake halafu mtu anaamua kufanya mapenzi na mbwa
ANGALIZO HIZI PICHA NA VIDEO NI CHAFU SANA KWAHIYO WATOTO AWATAKIWI KUANGALIA
BOFYA HAPO CHINI KUANGALIA PICHA NA VIDEO ZA HUYU MDADA
BOFYA HAPA PICHA YA KWANZA
Read More »
Wakubwa tu WATOTO MWIKO HAPA : PICHA ZA UCHI ZAVUJISHWA.. tizama hapa live!! ONYO WAKUBWA TU
02:35 0 comments
MSICHANA HUYO AMBAYE JINA LAKE TUNALO AMEFANYA KITU KIBAYA SANA KWARAFIKI YAKE, TAARIFA KAMILI NI KWAMBA MSICHANA HUYU AMENYANG'ANYWA MPENZI WAKE NA RAFIKI YAKE TENA WAKARIBU.
SABABU HALISI NI KWANINI AMEMUACHA MSICHANA HUYU NA KUANZA MAHUSIANO NA RAFIKI YAKE, LABDA RAFIKI YAKE HUYU MSICHANA NI MZURI ZAIDI AU MSICHANA HUYU ALIKUWA ANAMPA
ori rafiki yake juu ya mambo ya chumbani anayofanyiwa msichana huyu kama wengine wafanyavyo.
Kwa hiyo dawa aliona ni kuexpose picha za rafiki yake. Hebu zione mwenyewe ndiyo utajua kama ni mzuri zaidi au laa!
WAKUBWA TU KUONA PICHA HIZI....NI AIBU TENA LAANA. HII INAITWA WEKA MBALI NA WATOTO.

Read More »
Picha,majibu ya video Queen Tunda kuhusu picha za utupu na mchekeshaji Stan Bakora.
01:53 0 comments
Tunda anasema hajaona picha zozote, hajaziona na ila akiziona ndio ataongelea hilo jambo hilo.
Je kuhusu Jose Chameleone? Tunda akasema Chameleone alikuwa Boy Friend wake, hakujua kama Chameleona ana mke na hataki kuongelea mambo hayo.
Je Jose Chameleone, akiona Picha ? Tunda akasema Siwezi kusema lolote sababu picha sijaziona.
Read More »
Picha, Range Rover anayotembelea Msanii Ay na comments za mashabiki kuhusu usiri wa mali.
01:47 0 comments


Read More »

Mwimbaji
mahiri wa muziki wa Taarab nchini ambaye pia ni mkurugenzi wa kundi la
Jahazi Modern Taarabu,Mzee Yusuph anatarajia kuoa tena mke wa tatu hivi
karibuni huku wake zake wawili wakiwa kwenye bifu zito wakitupiana
vijembe mtandaoni. 
Akipiga stori na paparazi alisema kuwa anatarajia kuoa mke huyo ambaye anaishi huko visiwani Pemba,na kwamba mipango ikiwa tayari kila kitu kitakuwa hadharani.
Hivi karibuni wake zake wawili ambao ni Malkia Leila Rashid ambaye pia ni mwimbaji wa kundi hilo na mke wake mdogo aitwaye Chiku wamekuwa wakirushiana vijembe kwenye mtandao wa kijamii wa ‘WathsAAp’ kwa kuandikiana ‘Status’ za vijembe.
Mzee Yusuph akiwa na mke wake pili,Chiku.
Habari zinasema kuwa wake hao wamekuwa kama chui na paka na mzee Yusuph hana mpango wa kuwapatanisha kwa kuwa hakuna hata mmoja aliyeonyesha chuki kwa mwenzake akiwa na nao.

‘’Waache tu warushiane vijembe tena ndiyo vizuri na dawa yao nawaletea mke wa tatu na wala sina mpango wa kuwapatanisha,’alisema Mzee Yusuph.

Akipiga stori na paparazi alisema kuwa anatarajia kuoa mke huyo ambaye anaishi huko visiwani Pemba,na kwamba mipango ikiwa tayari kila kitu kitakuwa hadharani.

Hivi karibuni wake zake wawili ambao ni Malkia Leila Rashid ambaye pia ni mwimbaji wa kundi hilo na mke wake mdogo aitwaye Chiku wamekuwa wakirushiana vijembe kwenye mtandao wa kijamii wa ‘WathsAAp’ kwa kuandikiana ‘Status’ za vijembe.

Habari zinasema kuwa wake hao wamekuwa kama chui na paka na mzee Yusuph hana mpango wa kuwapatanisha kwa kuwa hakuna hata mmoja aliyeonyesha chuki kwa mwenzake akiwa na nao.

‘’Waache tu warushiane vijembe tena ndiyo vizuri na dawa yao nawaletea mke wa tatu na wala sina mpango wa kuwapatanisha,’alisema Mzee Yusuph.
Read More »
MAMA KANUMBA AGEUKA MBOGO..NI BAADA YA KUULIZWA HATMA YA KAMPUNI YA Kanumba The Great KUFUNGWA
01:34 0 comments
Mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba, 'Kanumba The Great', Flora Mtegoa.
KUFUATIA kufungwa
kwa ofisi ya aliyekuwa msanii nyota wa filamu marehemu Steven Kanumba
ya Kanumba The Great, mama mzazi Flora Mtegoa amegeuka mbogo baada ya
kuulizwa kuhusu hatima ya kikazi ya taasisi hiyo.

“Muonekana wa Ofisi ya Kanumba The Great wakati ikiwa inafanya kazi.
Watu
wamezidi kunifuatilia mambo yangu, sitaki kabisa nimechoka, hii kampuni
haimhusu mtu yeyote, hili ni jambo langu siyo lazima niliweke wazi,
kama kampuni imekufa au itaendelea haiwahusu, wanaoamini imekufa waamini
hivyo, maana hata Yesu walisema atarudi hadi leo mbona hajarudi?”
aliuliza kwa hasira mama huyo.
Ofisi
ya mkali huyo wa filamu za Kibongo, aliyefariki ghafla miaka mitatu
iliyopita, ilikuwa eneo la Sinza Mori na ilifungwa wiki mbili
zilizopita, baada ya mama huyo kudaiwa kushindwa kumudu kodi mpya ya
pango ambayo ilipandishwa.
Read More »

Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge.
Asema ni yule mwenye makengeza, Asisitiza kuwa ni mtafuta fedha
Mbunge
wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge, ‘amefunguka’ kuhusu kashfa
inayomkabili ya kupata mgawo wa Sh. bilioni 1.6 kutoka kwenye fedha
zilizochotwa kifisadi katika akaunti ya Tegeta Escrow, iliyokuwa Benki
Kuu ya Tanzania (BoT), akisema hastahili kuitwa mwizi, bali anapaswa
kuitwa ‘nyoka wa makengeza’.
Amesema
anapaswa kuitwa ‘nyoka wa makengeza’ kwa kuwa yeye ni mjanja wa
kutafuta fedha kwa ajili ya wananchi wa jimbo lake, ambao wanapaswa
kupuuza madai ya wizi yanayoelekezwa kwake, badala yake wamwamini zaidi.
Chenge,
ambaye ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) mstaafu, alisema hayo
wakati akihutubia wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika
Kijiji cha Mahaha kata ya Bunamala, Wilaya Bariadi mkoani Simiyu juzi.
Alisema kwa muda mrefu amekuwa kimya, lakini ameshangazwa na kitendo cha kuandamwa kuhusiana na kashfa ya akaunti hiyo.
“Wanasema
Chenge na Escrow…Pale nimeenda kutafuta kwa ajili ya wananchi wa jimbo
langu wala sikwenda kubomoa duka. Bali tunatumia akili kutafuta pesa kwa
ajili yenu,” alisema Chenge.
Chenge
alitoa kauli hiyo wiki chache baada ya kusimama bungeni na kusema
amelazimika kufanya hivyo baada ya kumvumilia Mbunge wa Kawe (Chadema),
Halima Mdee, aliyetaka wabunge wachunguzwe kuhusiana na kashfa ya
akaunti hiyo na wa kwanza kuchunguzwa awe Chenge.
Alisema
kama Mdee ana ushahidi wa tuhuma anazozielekeza kwake, aupeleke bungeni
kama kanuni za Bunge zinavyotaka au tuhuma hizo akaziseme nje ya ukumbi
wa Bunge.
“Mheshimiwa
Mwenyekiti, mimi ningelipenda Bunge hili liendelee kuwa na heshima
yake. Pili, naomba sana hayo wanayoyasema wawe na ujasiri wa kwenda
kuyasema nje ya ukumbi huu wa Bunge, wasijifichie katika immunity
(kinga) ya Bunge,” alisema Chenge.
Alisema
anayo mengi ya kusema, lakini kwa sababu alisimama kuhusu utaratibu,
kumtaja yeye kwa jina moja kwa moja, anaomba aweke ushahidi mezani.
Mdee
alitoa pendekezo hilo wakati akichangia mjadala kuhusu taarifa ya PAC
na ile ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), bungeni, Januari 30, mwaka
huu.
Alisema Chenge amekuwapo katika kashfa mbalimbali za ufisadi, kuanzia ile inayohusu mikataba mibovu.
Kashfa
nyingine za ufisadi ambazo alisema Chenge ameshiriki ni pamoja na
inayohusu kampuni ya kufua umeme ya Independent Tanzania Limited (IPTL).
Nyingine alisema ni ya hivi karibuni ambayo alipata mgawo wa Sh. bilioni 1.6 zilizochotwa kifisadi katika akaunti hiyo.
“Tuanze kuchunguzana wabunge, tuanze na Chenge,” alisema Mdee.
Kauli hiyo ya Mdee ndiyo iliyoonyesha kumkera Chenge na kulazimika kusimama bungeni siku hiyo na kutoa kauli hizo.
Kwa
mujibu wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), fedha
zinazodaiwa kuchotwa kutoka akaunti hiyo, ni zaidi ya Sh. bilioni 300
wakati kwa mujibu wa Rais Jakaya Kikwete, ni Sh. bilioni 202.9.
Chenge
alitajwa kupata mgawo huo kutoka katika fedha hizo na taarifa maalum ya
PAC iliyowasilishwa kwa nyakati tofauti na Mwenyekiti wa Kamati hiyo,
Zitto Kabwe na Makamu wake, Deo Filikunjombe, bungeni Novemba 26, mwaka
huu.
Taarifa
hiyo ya PAC, ilimtaja Chenge kupata mgawo wa Sh. bilioni 1.6 kutoka
kwenye fedha zilizochotwa kutoka katika akaunti hiyo.
Wengine
waliotajwa na taarifa hiyo ya PAC kupata mgawo kutoka katika fedha
hizo, ni pamoja na aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya
Makazi, Prof. Anna Tibaijuka (Sh. bilioni 1.6), Mbunge wa Sengerema
(CCM), William Ngeleja (Sh. milioni 40.4) na Mbunge mstaafu wa
Sumbawanga Mjini (CCM), Paul Kimiti (Sh. milioni 40.4).
Pia
wamo aliyewahi kuwa Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona (Sh.
milioni 40.4); aliyekuwa mjumbe wa Bodi ya Shirika la Umeme Tanzania
(Tanesco), Dk. Enos Bukuku (Sh. milioni 161.7), Jaji Profesa John
Ruhangisa (Sh. milioni 404.25), Jaji Aloysius Mujulizi (Sh. milioni
40.4) pamoja na Mkurugenzi mstaafu wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na
Udhamini (Rita), Philip Saliboko (Sh. milioni 40.4).
Wengine
ni aliyekuwa Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji (TIC), Emmanuel Ole
Naiko (Sh. milioni 40.4), Ofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),
Lucy Appollo (Sh. milioni 80.8); Askofu Msaidizi wa Jimbo Katoliki la
Bukoba, Dk. Methodius Kilaini (Sh. milioni 80.9); Askofu Msaidizi wa
Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Eusebius Nzigilwa (Sh. milioni
40.4) na Padri Alphonce Twimannye Simon (Sh. milioni 40.4).
Kutokana
na taarifa hiyo ya PAC iliyohusu ukaguzi maalum wa malipo yaliyofanyika
katika akaunti hiyo, Novemba 29, mwaka jana, Bunge lilipitisha maazimio
nane dhidi ya wote waliohusika na kashfa hiyo.
Ukaguzi
huo ulifanywa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)
pamoja na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru).
Taarifa
hiyo ya PAC, ilieleza kuwa mmiliki wa kampuni ya Pan African Power
Solutions Ltd (PAP), Harbinder Singh Sethi, mmiliki wa kampuni ya VIP
Engineering & Marketing (VIP), James Rugemalira, walihusika kwa
namna moja au nyingine katika kufanikisha kufanyika miamala haramu ya
fedha katika akaunti hiyo kwenda kwa kampuni hizo.
Wengine
waliotajwa na taarifa hiyo ya PAC kuhusika katika kashfa hiyo ni Katibu
Mkuu Wizara ya Nishati na Madini aliyesimamishwa kazi, Eliakim Maswi na
aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo,
aliyejiuzulu.
Prof.
Muhongo alitajwa na taarifa hiyo ya PAC kuwa alikuwa dalali kati ya
Rugemalira na Sethi kufanikisha uchotwaji wa fedha hizo kutoka katika
akaunti hiyo.
Wengine
waliotajwa na taarifa hiyo ya PAC kuhusika katika kashfa hiyo, ni
pamoja na aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick
Werema na waliokuwa wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme
Tanzania (Tanesco).
Hivyo,
Bunge likaazimia kuwa Jeshi la Polisi na vyombo vingine husika vya
ulinzi na usalama viwachukulie hatua stahiki za kisheria kwa mujibu wa
sheria za nchi watu wote waliotajwa na taarifa hiyo ya PAC kuhusika na
vitendo vyote vya kijinai kuhusiana na miamala ya akaunti hiyo na
wengine watakaogundulika kuhusika katika vitendo hivyo.
Kwa
mujibu wa taarifa hiyo ya PAC, vitendo vilivyofanywa na watu hao
vinaashiria makosa mbalimbali ya jinai, kama vile uzembe, wizi,
ubadhirifu, kutakatisha fedha haramu, matumizi mabaya ya madaraka,
rushwa na kupokea mali ya wizi.
Tayari
Prof. Muhongo na Jaji Werema walikwishajiuzulu nafasi zao serikalini,
huku Maswi, ambaye amesimamishwa kazi akiendelea kuchunguzwa.
Pia
tayari Prof. Tibaijuka ameshatimuliwa kazi na Rais Kikwete kwa kupokea
fedha hizo kupitia akaunti yake binafsi iliyoko benki ya Mkombozi,
kinyume cha maadili.
Pia
kutokana na kashfa hiyo, Chenge, ambaye alikuwa ni Mwenyekiti wa Kamati
ya Bunge ya Bajeti, alijiuzulu nafasi hiyo kutekeleza moja ya maazimio
ya Bunge yaliyotaka yeye na waliokuwa wenyeviti wenzake wa kamati za
Bunge; Ngeleja (Katiba, Sheria na Utawala) na Victor Mwambalaswa
(Nishati na Madini), wavuliwe nyadhifa hizo. Wote walijiuzulu nyadhifa
hizo.
Mbali
na kujiuzulu, Februari 2, mwaka huu, Baraza la Maadili lilitangaza
kuwaita kwa nia ya kuwahoji wabunge hao, akiwamo Prof. Tibaijuka,
Ngeleja, Mwambalaswa na Chenge, kutokana na tuhuma za kashfa ya akaunti
hiyo zinazowakabili.
Wabunge hao watafika mbele ya Baraza hilo, kuanzia Februari 23, mwaka huu.
Ofisa
Habari wa Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Johanither Barongo,
alisema mahojiano hayo yatafanyika kwa wiki tatu na yataongozwa na Jaji
mstaafu, Hamisi Msumi na wajumbe wengine wawili, Hilda Gondwe na Celina
Wambura.
MIRADI MAENDELEO JIMBONI
Akizungumzia
suala la wananchi na miradi ya maendeleo jimboni mwake, Chenge alisema
mtaji wa maendeleo ni kila mwananchi kujituma katika kuchangia miradi
mbalimbali na kushirikiana na viongozi na serikali kwa manufaa yao.
“Ndugu
zangu, ni bora miradi tunayoileta vijijini mwenu mkaitunza ili
tuendelee kuwatumikia kwa muda mrefu…na tufanye kazi ya kuilinda miradi
hiyo na kuisimamia miradi yote iliyo ndani ya kata hii,” alisema Chenge.
Mbunge
huyo alitembelea maabara ya Shule ya Sekondari Sapiwi kuangalia
maendeleo ya ujenzi wake baada ya Mfuko wa Jimbo kutoa mabati 300 kwa
ajili ya kuezekea maabara.
Shilingi milioni 36 zimetumika kugharimia ujenzi huo, huku wananchi wakichangia Sh. milioni 10 na Sh. milioni 74 zikihitajika.
Awali,
Ofisa Mtendaji wa kata ya Sapiwi, Telen Nhandi, alisema zipo changamoto
zinazoikabili kata hiyo ikiwamo upotoshaji wa watu katika michango ya
kuchangia maabara, ukame na kusababisha mazao mengi kuanza kuathirika.
Alisema hali hiyo imesababisha baadhi ya wananchi kushindwa kuchangia katika miradi ya maendeleo.
Read More »
FUNDI SAA APOKEA KICHAPO AKIDAIWA KUMLAWITI MWANAFUNZI WA KIUME WA DARASA LA 3 - ARUSHA
01:30 0 comments
NJEMBA
mmoja ambaye ni fundi saa maeneo ya Stendi Kuu jijini Arusha leo
amepokea kipigo cha mbwa mwizi baada ya kudaiwa kumlawiti mwanafunzi wa
kiume wa darasa la tatu wa shule moja jijini humo.
Read More »

Mwili
wa mtoto (Albino) Yohana Bahati aliyeporwa juzi Geita umekutwa umekatwa
miguu na mikono na kufukiwa kwenye msitu wa Biharamulo.Mtoto
Yohana
S/O Bahati Mwenye Umri wa mwaka 1 aliyetekwa huko Chato,Geita akutwa
amekatwa mikono na miguu ktk Pori la Biharamulo.Ukatili huu umezidi hata
ule wa Shetani R.I.P Yohana
Read More »

Flora Mbasha wakati wa kujifungua.
BAADA
ya utata wa uhalali wa baba wa mtoto wa Mwimba Injili maarufu Bongo,
Flora Mbasha kutawala kwenye magazeti mbalimbali na mitandao ya kijamii,
hatimaye jipu limepasuka baada ya baba mdogo wa Flora,
aliyejitambulisha kwa jina moja la Kisekwa kufunguka kwamba mtoto huyo
ni damu halali ya Mbasha. Kisekwa alifunguka hayo juzikati katika
Mahakama ya Ilala jijini Dar alipokuwa amekwenda kusikiliza kesi ya
aliyekuwa mume wa Flora, Emmanuel Mbasha kudaiwa kumbaka shemeji yake
ambapo alisema anamshangaa Mbasha kushindwa kukiri ukweli ulio wazi
kwamba mtoto ni damu yake wakati moyoni anautambua.
TUJIUNGE NA KISEKWA
“Inakuwaje
Mbasha anashindwa kukubali ukweli kwamba mtoto ni wake wakati anatambua
fika kwamba ujauzito ni mali yake kabla hata ya mgogoro wao? Ndugu wote
tulikuwa tunajua hilo, upande wetu na hata kwao. Mbona hakuikataa tangu
kipindi hicho?
Mgogoro
wao ulikuwa wa mambo ya kawaida ya kifamilia, haukuhusiana hata kidogo
na Flora kuchepuka wala nini, tangu mwanzoni mwa mgogoro wao wakiwa
wanaishi pamoja wameshaitwa mara tatu katika ofisi za Ustawi wa Jamii na
alielezwa kuwa mkewe ni mjamzito, akifahamu ni mali yake na akaonywa
kuwa kitendo cha kuendekeza migogoro ya mara kwa mara kinaweza kumletea
matatizo mkewe na kichanga kilichokuwa tumboni, mbona hakubisha?
Tulikuwa tukijadili matatizo yao na kila mmoja kuweka hoja zake mezani,
hakuna kati yao aliyehusisha mgogoro huo na suala la kuchepuka,” alisema
Kisekwa.
KIAPO CHATAJWA
Kama
hiyo haitoshi, kuonesha ana uhakika na anachokizungumza, Kisekwa
alimtaka Mbasha ajiapize kwa kushika kitabu kitakatifu cha Biblia kama
ana mashaka na ukweli aliouzungumza.
AKERWA NA MADAI YA GWAJIMA
Mzazi
huyo alisema anakerwa zaidi jinsi ambavyo Mbasha amewahi kukaririwa
akimhusisha mkewe kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Mchungaji wa Kanisa
la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kwamba ni baba wa mtoto huyo.
“Anamsingizia
tu baba wa watu (Gwajima) maskini ya Mungu kwa vile hapendi kuona
anavyomsaidia Flora, lakini ukweli Gwajima sisi ni ndugu yetu, mimi G
ananiita baba mdogo kama anavyooniita Flora,” alisema Kisekwa.

MBASHA ANASEMAJE?
Wanahabari
wetu walipomtafuta Mbasha kuhusiana na ukweli kwamba kichanga ni mali
yake, hakutaka kukubali wala kukataa zaidi ya kupinga suala la ujomba wa
Flora na Gwajima.
“Flora
aseme ukweli, ujomba wa yeye na Gwajima umetoka wapi? Hilo tu ndiyo
nataka alifafanue kwa undani maana wajomba zake wote mimi
nilitambulishwa wakati ninamuoa,” alisema Mbasha.
Mwandishi: Kuhusu ukweli kwamba mtoto ni wako unazungumziaje?
Mbasha: Hilo litajulikana tu lakini mimi nataka kujua ujomba wake na Gwajima umetoka wapi? Hapo tu.
TUJIKUMBUSHE
Mbasha
na Flora ambao waliishi kwenye ndoa na kufanikiwa kupata mtoto mmoja,
mwaka jana walifikia hatua ya kutengana na kila mmoja kuishi kivyake
baada ya kushindwa kutatua mgogoro wao wa muda mrefu wa kifamilia.
Read More »
KUELEKEA SIKU YA WAPENDANAO>>>HAWA WENZETU WAMEONESHA MFANO KWA KUTOKA NA KWENDA KWENYE MAPAROMOKA YA MAJI>>>SO LOVELY>
01:52 0 comments
This is very interesting: i thought when a blind person goes to bed they remove the glasses or when the akorinos do such a naughty thing they remove the kilemba for I can assume its against their
Read More »
video: mwanamke adakwa akitaka kuchepuka na mume wa mtu...wamnyoa nywele kisha kukalia chupa
01:51 0 comments
Nimeona hii video nikasikitika sana.... Jamani jamani jamani hii
haikubaliki hata kidogo ni kinyume na Haki za Binadam... Yesu Ruwa...
yaani umkalishe mwanamke mwenzako kwenye chupa???? na nywele zake
umenyoa juu???

Najua uchungu wa Mume na ninajua mchepuko unavyomwaga sumu ndani ya Familia, najua sana na hizo kesi ni nyingi mnooo kwa sasa... nyingi ni wanaume wametelekeza nyumba zao na kuishia kwa michepuko.... unakuta nyumba kama hiyo imegeuka siria kwa vita vya kila aina....PAMOJA NA HAYA YOTE BADO NASEMA ADHABU KAMA HII HAIKUBALIKI JAMENI....Nchi yetu inaongozwa kwa Taratibu na sheria, tusichukue sheria mkononi kina mama wenzangu jamani... aiseeee....
ninachoweza kusema ni kwamba sisapoti kilichofanyika kwa Mume kumsaliti mke na pia siungi mkono alichofanyiwa huyu dada anaetuhumiwa kukwapua mume....

Ninajaribu kuangalia sisi kama Wanawake, tunachangia vipi kuepusha Ukatili na Udhalilishaji wa sisi kwa sisi????

Naomba kupata mtazamo wako juu ya sakata hili, na zaidi ya hapo tutazame jambo hili kwa jicho la tatu...usikurupuke kwa kweli maana hii ni hatari sana...
Ebu vaa viatu vyao kidunchu... naomba ushauri ungekuwa ni wewe 'unaetoa adhabu' ungefanyaje au ungekuwa ni wewe 'unaepewa adhabu' ungefanyaje kutoka ndani ya moyo wako, ikiwa mume au mke amekusaliti???? na ukamjua anaekuibia

Najua uchungu wa Mume na ninajua mchepuko unavyomwaga sumu ndani ya Familia, najua sana na hizo kesi ni nyingi mnooo kwa sasa... nyingi ni wanaume wametelekeza nyumba zao na kuishia kwa michepuko.... unakuta nyumba kama hiyo imegeuka siria kwa vita vya kila aina....PAMOJA NA HAYA YOTE BADO NASEMA ADHABU KAMA HII HAIKUBALIKI JAMENI....Nchi yetu inaongozwa kwa Taratibu na sheria, tusichukue sheria mkononi kina mama wenzangu jamani... aiseeee....
ninachoweza kusema ni kwamba sisapoti kilichofanyika kwa Mume kumsaliti mke na pia siungi mkono alichofanyiwa huyu dada anaetuhumiwa kukwapua mume....

Ninajaribu kuangalia sisi kama Wanawake, tunachangia vipi kuepusha Ukatili na Udhalilishaji wa sisi kwa sisi????

Naomba kupata mtazamo wako juu ya sakata hili, na zaidi ya hapo tutazame jambo hili kwa jicho la tatu...usikurupuke kwa kweli maana hii ni hatari sana...
Ebu vaa viatu vyao kidunchu... naomba ushauri ungekuwa ni wewe 'unaetoa adhabu' ungefanyaje au ungekuwa ni wewe 'unaepewa adhabu' ungefanyaje kutoka ndani ya moyo wako, ikiwa mume au mke amekusaliti???? na ukamjua anaekuibia
Read More »
MTOTO WA FLORA MBASHA AIBUA MAZITO...GWAJIMA ATAJWA,FLORA ABANWA,ASEMA MUNGU ATAMLEA MWANAYE
01:46 0 comments
Kwa mujibu wa chanzo, Flora alijifungua mtoto wa kike kwa njia ya upasuaji Jumanne iliyopita kwenye hospitali moja iliyopo jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya mitandao ya kijamii ilitundika picha ya Flora akiwa kitandani hospitalini na kichanga chake huku watu wakitupia maneno yenye kuonesha mshtuko, kama vile:
“He! Kwani Flora alikuwa na mimba? Mbona alikuwa kawaida sana?”
“Wanawake wengine wameumbwa hivyo, matumbo yao hayawi makubwa. Nampa hongera kwa kujifungua.”
“He! Jamani! Dada Flora kajifungua kweli au ni igizo? Maana isijekuwa sinema halafu tukampa hongera za bure tu.”

Kama ilivyo kawaida kwa baadhi ya mitandao ya kijamii Bongo. Kusema chochote bila kusikia kauli ya mhusika, baadhi ya mitandao ikaanza kupitisha mitazamo kwamba, mtoto huyo amefanana na Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima.

Kigezo walichotumia watu hao ni ule mgogoro kati ya Flora Mbasha na mumewe, Emmanuel Mbasha miezi saba iliyopita ambapo Flora aliondoka kwa mumewe, Tabata na kudaiwa kuishi kwa Gwajima.
MPAKA PICHA
Baadhi ya mitandao ilipitiliza kwa kutundika picha ya Gwajima akiwa ameshika kipaza sauti sanjari na ya mtoto huyo akiwa ndani ya ‘bebi shoo’.
Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Uzima na Ufufuo la jijini Dar, Josephat Gwajima.IJUMAA LAZUNGUMZA NA FLORA
Baada ya kutokea kwa hali hiyo ndani ya mitandao, Ijumaa lilimsaka Flora kwa njia ya simu ili kujua ukweli wa yeye kujifungua mtoto na pia kumtaja baba wa mtoto.
Ijumaa: “Mambo Flora? Hongera kwa kujifungua.”
Flora: “Asante sana.”
Ijumaa: “Kumbe umejifungua bwana!”
Flora: ”Mbona umechelewa kujua!”
Ijumaa: “Mtoto gani?”
Flora: “Wa kike.”

MBASHA APIGA CHENGA
Ijumaa liliamua kumuuliza Flora kama mumewe, Mbasha ameshafika kumuona mtoto huyo.
Ijumaa: “Oke! Mungu amtunze na kumsimamia katika afya njema. Vipi baba yake (Emmanuel) ameshakuja kumuona?”
Flora: “Hajaja. Lakini it’s ok! Maana Mungu mwenyewe atamlea.”
MADAI ETI NI WA GWAJIMA
Ijumaa: “Sasa baadhi ya watu wameanza kusemasema eti ni mtoto wa Gwajima. Watu bwana!”
Flora: “Acha tu waseme lakini uzuri mtoto kamfanana baba yake (Emmanuel) kwa kila kitu. Wanaosema kuhusu Gwajima wana lao jambo na hawajui walisemalo.”
Ijumaa: “Nashukuru sana Flora.”
Flora: “Asante na wewe, lakini narudia tena, wanaosema ni mtoto wa Gwajima Mungu na awabariki tu maana mimi sitishwi na maneno ya wakosaji. Namwangalia Mungu tu aliyeniumba na kunifanya niwe hivi nilivyo leo.
“Isitoshe picha walizoeneza mitandaoni si za mwanangu, so hata sipati shida. Biblia inasema pande zote twadhikika bali hatusongwi, twaona shaka bali hatukati tamaa, twaudhiwa bali hatuachwi, twatupwa chini bali hatuangamizwi.
“Kwa hiyo hatulegei bali ijapokuwa utu wetu wa nje umechakaa lakini ndani wafanywa upya siku kwa siku.”
KUMBE PICHA SI ZA MTOTO WAKE
Flora alisema anachomshukuru Mungu picha zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikimwonesha mtoto kama wa siku kumi si za mtoto wake.
Flora: “Kwanza hiyo picha iliyosambaa kwenye mitandao namshukuru Mungu si ya mtoto wangu. Mimi nimeshawasamehe wote walio kinyume na mimi na wale wasioujua ukweli lakini wanasambaza taarifa.”
Ijumaa: “Asante sana Flora.”
Flora: “Nashukuru sana.”
MBASHA HAPOKEI SIMU, SI KAWAIDA YAKE
Baada ya kumaliza kuwasiliana na Flora, Ijumaa lilimpigia simu Emmanuel Mbasha ili kumsikia anasemaje kuhusu ujio wa mtoto huyo hasa ikizingatiwa kwamba, mkewe aliondoka nyumbani kwa muda mrefu.
Simu ya Mbasha iliita bila kupokelewa hata ilipopigwa mara kadhaa jambo ambalo si kawaida yake. Hata pale alipotumiwa ujumbe mfupi wa maneno, Mbasha hakujibu kitu!
GWAJIMA KAMA MBASHA TU
Baada ya ukimya wa Mbasha, Ijumaa lilimtafuta Gwajima kwa njia ya simu yake ya mkononi, naye iliita kwa mara kadhaa bila kupokelewa. Lengo la kumtafuta Gwajina ni kutaka kumsikia anasemaje juu ya madai ya watu mtandaoni kudai mtoto ni wake na nini kauli yake dhidi ya watu hao.
Read More »
Subscribe to:
Posts (Atom)