Unaweza kumiliki vigari vidogodogo kama Toyota IST na nyingine lakini zisifanane na hizi.

0 comments
IST 3 


IST 2 

Ni miaka kadhaa imepita ndipo nilipoamini gari ni mtu mwenyewe, yani wewe mmiliki ndio mwenye maamuzi kama utapenda gari lako liwe na swagg au muonekano wa kuvutia zaidi.
Mara nyingi huwa tunayaacha magari yetu kama tulivyoyanunua na yanabaki yakawaida tu lakini kuna ambao hujiongeza alafu magari yao yanatofautiana na ya kwetu wakati aina ni ileile.


Toyota IST ambazo zinatolewa na Airtel kupitia Yatosha Bundle ni gari nzuri kiukweli kuanzia kwenye mafuta, nafasi yake ndani ni kubwa pia na kwenye mishemishe zetu sisi tusio na kipato kikubwa kihivyo zinatuondolea gharama kubwa.

IST 6

Muonekano wa gari lako unaweza kubadilika na kuvutia kwa kuongeza vitu vidogovidogo tu kama kubadilisha Matairi na kuweka manene kiasi, rims kali, taa, tinted na vitu vingine kama muonekano wa mbele na wa nyuma.

IST 8

Magari makali yaliyokua pimped na yenye mvuto yapo Tanzania pia, ni vitu ambavyo vinawezekana hata ukiwa Dar es salaam kuna wachache wameweza kuyatengeneza kwa viwango vyao.

IST 9 

Kama mapenzi yako yako kwenye vigari vidogovidogo kama hivi, kipi kimekuvutia hapa ?

IST 10

Magari yote hapo juu yanao muonekano tofauti na hili hapa chini ambalo halijafanyiwa mabadiliko yoyote toka kiwandani.

IST 122

Read More »

Picha, Kim Kardashian mtupu kwenye photoshoot nyingine na ushirikiano aliopewana Kanye West.

0 comments

Screen Shot 2015-03-16 at 3.47.49 PM Screen Shot 2015-03-16 at 3.47.59 PM Screen Shot 2015-03-16 at 3.48.16 PM Screen Shot 2015-03-16 at 4.07.27 PM

Read More »

Picha,Sheta anajitayarisha kutoa kitu kingine kikubwa Afrika.

0 comments

shetta
Sheta anajitayarisha kutoa video mpya hivi karibuni, kufuatia single yake ya Kerewa ft Diamond Platnumz iliyofanya vizuri Afrika kwa kuwa na video bora, Sheta ameonekana kuwa karibu na msanii Kcee huku pakiwa na uvumi kuwa anafanya naye kazi mpya inayotoka muda wowote sasa.
Hizi ni baadhi ya picha kuhusu hii kazi mpya.
sheta na kcee
Sheta na Kcee
shetta 2
Sheta na phyno
shetta na godfathe na kcee
Sheta, GodFather na Kcee

Read More »

THAMAHANI KWA PICHA IZI ZA AJALI YA IRINGA LEO: BASI LAUA ZAIDI YA ABIRIA 40 BAADA YA KUANGUKIWA NA KONTENA

0 comments
Ajali mbaya yatokea maeneo ya Mafinga Iringa
sehemu kunaitwa Changarawe ambapo gari
aina lori lilokuwa likitokea Dar kwenda Mbeya
ambapo lilikuwa likikwepa shimo kubwa lililopo
katikati ya barabara na kugongana na gari la
abiria la Kampuni ya Majinja lililokuwa likitoka
Mbeya kwenda Dar. Hii ni maelezo ya trafki
aliyepo hapa.
Kontena la lori limelalia kabisa basi, na watu
wengine wamelaliwa na wengine
wameporomokea korongoni, mpaka sasa
hakuna majeruhi ni maiti tu, wala hakuna mtu
ambaye inadhaniwa amepona.




 
 

Read More »

CHADEMA YAMBWAGA ZITTO MAHAKAMANI SOMA HAPA KWA HABARI KAMILI

0 comments



Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe.

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, leo imetupilia mbali shauri lililofunguliwa na Zitto Zubeir Kabwe mwaka jana, akipinga kikao cha Kamati Kuu ya Chadema kumjadili, kujadili uwanachama wake na cheo chake ndani ya Chadema, akikitaka chombo hicho cha sheria kwa kuweka zuio la muda, kusubiri kwanza rufaa yake aliyokuwa amekata katika Baraza Kuu la Chadema.
Mahakama Kuu iliyoketi chini ya Jaji Richard Mziray, ilikubaliana na hoja za mawakili wa Chadema waliosema kuwa ufunguaji wa kesi hiyo ulikosewa baadhi ya vifungu vya sheria na hivyo kumtaka mbunge huyo wa Kigoma Kaskazini kulipa gharama zote za kesi hiyo. Zitto hakufika mahakamani badala yake alituma mawakili wake.
Wakati Zitto akifungua kesi hiyo Januari mwaka jana, tayari Chadema ilikuwa imewafukuza uanachama Dr. Kitilya Mkumbo na Samson Mwigamba ambao pamoja na Zitto, walituhumiwa kupanga njama za kufanya mapinduzi ya uongozi ndani ya chama hicho. Zitto alikuwa akitetewa na wakili Albert Msando wakati Chadema iliwakilishwa na Tundu Lissu, Peter Kibatala na John Mallya.


Read More »

SOMA HAPA Chanzo cha Usagaji kwa Wanawake Bongo ?

0 comments
Heshima kwenu mabibi na mabwana.

Nimekua nikijiuliza mara kwa mara kuhusiana na suala la usagaji kwa wasichana bila kupata jibu stahiki.

Baadhi ya wasichana wanadai kwamba kuachwa na wapenzi wao mara kwa mara kunachangia kwa kiasi kikubwa wao kujiingiza katika mapenzi ya jinsia moja,

wengine wanadai kwamba shule za boarding zinawasababishia kujiingiza katika mambo haya kwani muda mwingi wanakua wao wenyewe tu bila kujichanganya na wavulana.

Nini maoni yako wewe mwanajamvi,karibuni wakinadada muweze kutupa ukweli wa hili jambo,wavulana pia mnaruhusiwa kuchangia chochote ili tupate mawazo tofauti tofauti.

Asanteni

Read More »

Linah na Recho Wanaswa Wakifanya Mambo ya Aibu Mbele ya Watu

0 comments

Masistaduu wa Bongo Fleva, Estelina Sanga ‘Linah’ na rafiki yake, Winfrida Josephate ‘Recho’, wamefanya mambo ya aibu mbele ya kadamnasi.

 
Tukio hilo la aibu lilijiri hivi karibuni usiku kwenye bwawa la kuogelea (swimming pool) ndani ya Hoteli ya Regency-Mikocheni jijini Dar ambapo kulikuwa na ‘bethidei’ ya Recho.
 
Awali, mastaa hao walianza kwa kulishana keki kwa staili ya njiwa (kwa mdomo), jambo lililoibua minong’ono mahali hapo.

Kama haitoshi, baada ya tukio hilo, wawili hao waliweka mapozi tata wakipiga picha zilizowaonesha nusu utupu huku vinguo walivyovaa vikiacha wazi sehemu kubwa ya maumbile yao nyeti.

Read More »

Wauza madini watatu wauawa kinyama

0 comments


ENEO la Mjohororoni wilayani Hai, mkoa wa Kilimanjaro jirani na uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) kando ya barabara ya Moshi/Arusha, linazidi kuwa na rekodi mbaya ya matukio ya mauaji.

Hapa ndipo aliuawa mfanyabiashara bilionea wa madini aina ya Tanzanite Erasto Msuya (43) kwa kupigwa risasi zaidi ya 10 kifuani mwaka juzi- na sasa miili mitatu ya watu wanaodhaniwa kuwa wachimbaji wa madini hayo mkoani Arusha, imeokotwa ikiwa na michubuko midogo na wengine damu ikitoka Puani.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro, Geofrey Kamwela, amethibitisha tukio lakini akaahidi kutoa taarifa kamili baadaye.
Paparazi limeelezwa kuwa tukio hilo limetokea leo asubuhi  majira ya 2:000 katika eneo hilo maarufu kama kwa Wasomali.
Vijana hao wanaodaiwa kuwa na umri kati ya miaka 28 na 32 walikutwa katika eneo hilo na msamaria mwema ambaye baadaye alitoa  taarifa kituo cha Polisi Bomang’ombe.
Mtoa taarifa wetu, amesema kuwa miili hiyo baada ya kuondolewa eneo hilo na polisi, ilipelekwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa ya Mawenzi kwa ajili ya kuhifadhiwa lakini ilishindikana kutokana na chumba cha kuhifadhia maiti kujaa.

Read More »

Na hili ndio jibu la Fid Q kwa mashabiki waliohisi kapaka lip bum kwenye video yake mpya

0 comments
Fid q 3
Kwanza ni video iliyovunja rekodi kwenye line ya Fid Q kwa kupata views zaidi ya elfu 20 ndani ya saa 24 huku zaidi ya watu 500 wakilike na 20 wakidislike kwenye mtandao wa YouTube.
Kwenye headlines za hii video mpya pia kumekua na maswali ya mashabiki kwa Fid Q ambapo baadhi yao walitaka kujua kama ni kweli Fid kapaka lip bum mdomoni wakati wa kushoot video hiyo.
Jibu la Fid lilikua hili >>> ‘Sijapaka lip bum wala stick.. zile ni lips zangu baada ya kupigwa na effects kwenye editing.. cheki kwenye screen kubwa
Fid Q 1

Read More »

Maelezo ya Wabunge Anna Tibaijuka na Chenge kwenye Baraza la Maadili ya Utumishi…

0 comments
2015-02-26 20.10.08
Baraza la maadili ya utumishi wa umma siku ya February 26 limekaa kikao kujadili ishu ya fedha za Escrow ambapo Mbunge Andrew Chenge alifikishwa kwa mara ya pili mbele ya Baraza hilo kwa ajili ya kuhojiwa.
Baraza hilo lilikwama kumhoji Chenge kutokana na Mbunge huyo kukata rufaa Mahakama Kuu kupinga kuhojiwa ambapo mwenyekiti wa Baraza hilo amesema wanasubiri mwongozo wa Mahakama Kuu kuhusu kumhoji Mbunge huyo.
Ikafika zamu ya Mbunge Anna Tibaijuka, katika kuhojiwa kuhusu ishu ya mgao wa fedha za Escrow aliulizwa kuhusu matumizi ya fedha alizopata.
Katika maelezo yake kuna fedha milioni kumi ambazo alisema kwamba ilikuwa ni hela ya mboga kitu ambacho kiliwachekesha watu waliokuwa ndani ya kikao hicho.
2015-02-26 20.07.55 

2015-02-26 20.08.18 

2015-02-26 20.08.25 

2015-02-26 20.08.35 

2015-02-26 20.10.13

Read More »

‘Nitampata wapi’ yapiga namba 1 kwenye Top10 ya Africa Trace TV.

0 comments

.
.
Kama wewe ni shabiki wa muziki wa Africa unaweza kuwa na hamu ya kufahamu ni single gani ambayo iko juu kwenye chati za muziki huu duniani…. kwa sababu kazi yangu ni kukusogezea zote muhimu, nakusogezea na hii kwamba video ya ‘Nitampata wapi’ ya Diamond Platnumz kupitia kituo cha TraceTV ya Ufaransa imeicheza video hiyo kama namba 1.
.
.
Mbali na video hiyo kuchezwa kama namba 1 kwenye kituo hicho cha Trace TV, Diamond Platnumz ana sababu nyingine ya kufurahi mafanikio ya kuwa msanii wa kwanza wa Tanzania kupitia video yake ‘Nitampata wapi’  kufikisha views milioni 2 tangu iwekwe Nov 20, 2014.
.
.
.
.
.

Read More »

Nuhu mziwanda aomba radhi kwa picha ya Ngono

0 comments

Shilole na Nuhu Mziwanda katika pozi.
Mwanamuziki Nuhu Mziwanda ambae ni mchumba wa mwanamuziki Shilole (Shishi baby) ameomba radhi jana kupitia ukurasa wake wa Intragram baada ya kupost picha ambayo inaonyesha maungo ya ndani ya mpenzi wake huyo walipokuwa wakioga,picha hiyo ilimuonyesha Shilole akiwa kifua wazi.Kwa mujibu wa Nuhu Mziwanda amesema kuwa alipost picha hiyo ili apate Kiki kwa ajiri ya video yake mpya ya Zimataa ambayo bado haijatoka mpaka.

Baada ya juzi usiku Nuhu mziwanda kupost picha hiyo kwenye ukurasa wake mashabiki zake walionyesha kutofurahishwa na kitendo hicho na wengihne kufikia hatua ya kutukana huku wengine wakidai kuwa amemdharirisha mpenzi wake huyo ambae ni mama wa watoto wawili.lakini baada ya hapo Nuhu aliifuta picha hiyo alipogundua hali ya upepo imekuwa tofauti na vile ambavyo yeye alidhania.
Anapenda mwenyewe kuzalilishwa huyo @shilolekiuno kwani ni picha yake ya kwanza???? ... nawapenda lakini wameniuziii toka wapost ule ujinga,na kujisahaulisha kama wee ni mama wa mabinti wakubwa tu sijui wanajifunza nini wakiona hizo picha..."Kapost mpenz wake yuko maziwa wazi yale sio mapenzi unaitwa uzalilishaji Wa wanawake Hao ni baadhi ya mashabiki waliotoa yao ya moyoni baada ya kuiona ile picha ya Nuhu wakiwa pamoja na Shilole.
"Naomba niombe radhi kwa waliochukizwa na picha niliopost usiku wa jana.Lakini naweza sema pia ile ilikuwa ni video yangu mpya ya wimbo wangu wa Zimataa.So ilikuwa ni promotion picture.Ila mwisho wa maneno yangu ni kuomba radhi kwa lililotokea."
Hata baada ya kuomba radhi hali ya mashabiki bado ilikuwa ileile ni watu walionyesha kukerwa na kitendo kile bado waliendelea kutukana na kusababisha hata post ya kuomba radhi pia kuifuta katika Accouny yake hiyo ya Instragram.

Read More »

Shilole na Mchumba Wake Nuh Mziwanda Wachafua Hali ya Hewa Mtandaoni baada ya Kutupia Picha za Uchi

0 comments
Mwigizaji na mwanamziki,  Zuwena Mohammed ‘Shilole’ ambae ni mama wa watoto wawili wa kike , akiwa na mchumba wake Nuh wamechafua hali ya hewa baada ya kutupia picha yaowakiwa uchi.
  
Nuh Mziwanda ndio alioibandika picha hiyo kwenye ukursa wake kwenye mtandao wa instagram na baada ya kuona watu wengi wanamshabulia aliamua kuibandua. 

Wapo walioona kuwa kitendo  alichokifanya Mziwanda labda ni kutokana na umri wake hivyo hayo ni baadhi ya matokeo ya kuwa na mahusiano  na mtu mtoto.
  
 Lakini pia wapo walioona kuwa wawili hawa wanatafuta KIKI tu ili media za hapa Bongo ziwazungumzie kama Zari na Diamond, ila pia wapo amabo wanaona hii iko poa  na haina tatizo.

Read More »

WEMA SEPETU AKIFUNGUKA JUU YA MAHUSIANO YAKE YA KIMAPENZI KWA SASA.

0 comments

Wema Sepetu amechoka uhusiano wa boyfriend na girlfriend. Muigizaji hiyo wa filamu amesema anataka kuolewa.
Wema alisema hayo jana kwenye reality show yake, In My Shoes baada ya meneja wake Martin Kadinda kumuuliza kwanini hana ‘kiki’ kwa sasa.


Miss Tanzania huyo wa mwaka 2006 alisema kuna vitu vingi anataka kuvifanya ikiwemo kuwa na hamu ya kutulia na kuwa mke wa mtu.
Hata hivyo Wema alisita kumweka wazi mwanaume anayetaka kumweka ndani na kumtaka meneja wake kuwa na subira

Read More »

HUYU NDIYE MREMBO ALIYE SHINDA TAJI LA MISS RWANDA 2015 NI BALAAAAA

0 comments

Doriane Kundwa, 19years old and student from the Northern Province of Rwanda, was crowned as the MISS RWANDA 2015 beating 14 other contestants. She was given a Suzuki Swift and will receive a monthly salary of $1000 during her reign. She also became brand ambassador for telecommunications company Airtel. Eish!! Here are the photos of the beautiful young lady
Doriane Kundwa, 19years old and student from the Northern Province of Rwanda, was crowned as the MISS RWANDA 2015 beating 14 other contestants. She was given a Suzuki Swift and will receive a monthly salary of $1000 during her reign. She also became brand ambassador for telecommunications company Airtel.
Eish!! Here are the photos of the beautiful young lady……




Read More »

MZAZI MWENZA WA MBUNGE MAARUFU WA CHADEMA MH. SUGU APOST TENA PICHA YA UTATA INSTAGRAM ONA NA ALICHOSEMA LIVE!!

0 comments



"Napenda kukaa uchi- kabisa yaani # Kama ni tatizo au kilema ninacho - nimekubali#"


Read More »

Unaletwa karibu zaidi na video mpya ya Izzo Bizness Ft Shaa ‘Kidawa’ INGIA HAPA KUITAZA

0 comments
izzo b
Hii video mpya ya Izzo Bizness amefanya wimbo na Shaa, unaitwa ‘Kidawa’ Video imeongozwa na Nick Dizzo wa Focus Films,Tanzania . Audio imetayarishwa na Dupy wa Uprise Music na kuwa Mastered na Master J pale MJ records Dar es Salaam, Tanzania.
BONYEZA HAPA CHINI KUITAZAMA VIDEO

Read More »