Balaaa!!! La Sikukuu: Changudoa Atopeza Fahamu Baada Ya Kuzidisha Wanaume Ingia Hapa Kuona Picha Zote Za Tukio Zima

0 comments
Mwanamke(Jenipher ) ayeanayedaiwa kujiuza akiwa hoi hajitambui.
MSICHANA mmoja aliyetambulika kwa jina moja la Jenipher, anayedaiwa kujiuza katika maeneo ya Shivaz na Kaloleni jijini hapa, amekutwa akiwa amepoteza fahamu kando ya barabara, katika harakati za kujipatia chochote kipindi hiki cha sikukuu ya Krismasi na mwaka mpya.
Akiwa pembeni ya barabara, Jenipher anayeelezwa kuwa maarufu mjini hapa, anadaiwa kuwa siku hiyo alizidisha idadi ya wanaume aliotoka nao, kwa ajili ya kujipatia kipato cha kutosha ili aweze kuburudika vizuri wakati wa sikukuu ya Krismasi.
Baadhi ya mashuhuda wanaomfahamu msichana huyo walisema kwamba katika kipindi cha wiki nzima iliyopita, alikuwa akisaka wanaume kwa bidii na kwamba alikuwa tayari kwa ajili ya kutoa huduma hiyo mahali popote.
“Unajua hapa kila mtu na mambo yake, huyu Jenipher siku zote tupo naye ila wao huwa hawaendi kulipia gesti, ila wanafanya ngono popote hata mtaroni, kwenye ukuta ilimradi huyo mwanaume yupo tayari, ila usiku alizidiwa na wanaume na hakuwa amekula,’’ alisema mmoja wa dada poa aliyekataa kutaja jina lake.
Mmoja wa wamiliki wa baa iliyo maeneo hayo, aliyeomba hifadhi ya jina lake, alisema wasichana wengi wanaojihusisha na biashara hiyo wamekuwa na tamaa kiasi cha kushindwa kujali afya zao, kwani baadhi yao huacha hata kula chakula, badala yake, hunywa pombe aina ya viroba.
Hadi paparazi inaondoka eneo hilo, bado binti huyo alikuwa yupo eneo hilo akiwa hajitambui.

Read More »

MTOTO WA ANNA TIBAIJUKA AWATUKANA WATANZANIA HUKU AKIMTETEA MAMA YAKE KWA KUCHOTA PESA ZA ESCROW

0 comments
Kagem Tibaijuka.
WAKATI Rais Jakaya Kikwete akiwa amemuwajibisha Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Anna Tibaijuka kufuatia kumegewa mgawo wa fedha za Tegeta Escrow, binti anayedaiwa kuwa mwanaye, amejikuta akipata wakati mgumu baada ya kumtetea mama yake kupitia mitandao ya kijamii.

Katika Mtandao wa Twitter, binti huyo aliyejitambulisha kwa jina la Kagem Tibaijuka, alimtetea mama yake akisema fedha zilizowekwa kwenye akaunti yake zilikuwa ni safi na halali na kwamba ziliwekwa kwa nia njema ya kuwasaidia kielimu watoto wa kike
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Anna Tibaijuka.
“My mum did nothing wrong except wanting to help young girls get an education. A school built with my late father. Accepted a donation,” (Mama yangu hakufanya kosa lolote isipokuwa alitaka kuwasaidia wasichana kupata elimu. Shule ilijengwa na marehemu baba yangu. Mchango ukakubaliwa)yalikuwa  ni moja ya maneno yake katika mtandao huo wa Twitter.
Aidha, aliwashambulia wanawake walioonekana kushangilia wakati Rais Kikwete alipotangaza kumuwajibisha mama yake, akiwaambia kuwa anawashangaa kushangilia anguko la mwanamke mwenzao na kwamba hata wao iko siku yatawakuta ya kuwakuta.
Rais Jakaya Kikwete.
Lakini katika mitandao mingine ya kijamii, ikiwemo Facebook na Jamii Forum inayotembelewa na watanzania wengi, walimshambulia binti huyo kwa kumwelezea kama mtu aliyelewa fedha na kwamba mama yake alistahili kuondolewa kwenye nafasi yake, ikiwa ni pamoja na kushtakiwa.
Wachangiaji walioonekana kuchukizwa na utetezi wa binti huyo kwa mama yake, walisema licha ya Profesa Tibaijuka kuondolewa, pia watu wote waliotajwa, wakiwemo Waziri Sospeter Muhongo na Katibu Mkuu, Eliakim Maswi nao walistahili kuondolewa katika nafasi zao.
Mtandao huu ulimtafuta mama Tibaijuka kupitia simu zake mbili za mkononi, ili kuzungumzia maoni yake baada ya kukutwa na ajali hiyo ya kisiasa pamoja na kumuuliza kama Kagem ni bintiye, lakini moja iliyopatikana, iliita kwa muda mrefu bila kupokelewa. Hata hivyo baadaye simu hiyo ilipopigwa, ilionekana imezimwa.
Aidha Kagem mwenyewe, ambaye ofisi zake zinadaiwa kuwa eneo la Kijitonyama jijini Dar es Salaam, naye hakupokea simu yake ya mkononi aliyopigiwa na hata alipotumiwa ujumbe mfupi wa maneno, hakujibu.
Jumatatu iliyopita, Rais Kikwete alizungumzia suala hilo la fedha zilizodaiwa na Bunge kuwa ni za umma, kuchukuliwa isivyo halali katika akaunti iliyofunguliwa Benki Kuu ya Tanzania. Wakati Mwanasheria Mkuu, Jaji Frederick Werema alijiuzulu mwenyewe na mama Tibaijuka kuwajibishwa, viongozi wengine waliodaiwa kuhusika na fedha hizo wanaendelea kuchunguzwa na hatua stahiki dhidi yao zitachukuliwa.


Read More »

TAMASHA LA WAFALME: DIAMOND, MZEE YUSUF WAWEKA HISTORIA DAR LIVE

0 comments
Diamond Platnumz akisema na mashabiki wake waliofurika Dar Live usiku wa kuamkia leo.
Diamond akiwachombeza mashabiki.
Nyomi ya kufa mtu ndani ya Dar Live.
Diamond akiwa kwenye jukwaa la kupanda na kushuka.
Mfalme Mzee Yusuf on da stage.
Mfalme akiwapa 5 mashabiki wake waliofurika Dar Live.
Mzee Yusuf akiwadatisha mashabiki kwa ngoma zake kali.
Nyomi ikiwa imedata na shoo kali kutoka kwa Mzee Yusuf.
Mzee Yusuf akicharaza gitaa.
Diamond akicheza sebene ndani ya Dar Live.
Platnumz akizidi kufanya yake stejini.
Diamond akimtambulisha kwa mashabiki mshindi wa zaidi ya milioni 500 za Big Brother Hotshots, Idris Sultan.
Diamond na Idris wakifanya yao stejini.
Idris Sultan akimtambulisha kwa mashabiki wa Dar Live mshikaji wake aliyekuwa naye kwenye mjengo wa BBA, Samantha wa Afrika Kusini.
Diamond akichana mistari ya wimbo wa Muziki Gani na mshikaji aliyepanda stejini kumwakilisha Nay wa Mitego.
Baada ya mshikaji huyo kufanya makamuzi ya hatari, Diamond aliamua kumpatia shilingi 50,000.
Diamond akizidi kuwapa raha mashabiki wake wa Dar Live.
Nyomi ya kutisha ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live.
Diamond akifanya makamuzi na dansa wake.
Dansa wa Diamond akionyesha umahiri wake stejini.
...Sebene time.
Diamond akilitawala jukwaa kwa sarakasi.
NIMEMALIZA: Diamond baada ya kuwakonga nyoyo mashabiki wake waliofurika Dar Live na wao kuridhika aliamua kupozi nao kwa picha hii.
Ijumaa Sexiest Bachelor anayemaliza muda wake, Yusuf Mlela akiwasalimia mashabiki.
Diamond akisalimia na msanii wa filamu, Yusuf Mlela baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa shindano la Ijumaa Sexiest Bachelor. Taji hilo alikuwa nalo Mlela.
Diamond akipokea tuzo ya Ijumaa Sexiest Bachelor kutoka kwa Mkurugenzi wa Kijumosi Traders Ltd, Mohammed Mustapha.
Mhariri wa Gazeti la Ijumaa waandaaji wa shindano hilo, Amran Kaima akimkabidhi Ijumaa Sexiest Bachelor 2014/15, Diamond Platnumz cheti.
Ijumaa Sexiest Bachelor 2014/15, Diamond Platnumz akipozi na tuzo yake pamoja na cheti.
Mzee Yusuf akikandamiza kinanda wakati wa shoo yake Dar Live.
Mzee Yusuf na vijana wake wakifanya yao stejini.
Mzee Yusuf akionyesha ujuzi wa kucharaza gitaa chini kwa chini.
Mashabiki baada ya kupagawa na shoo ya Mzee Yusuf.
MFALME wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' usiku wa Krismasi amewadhihirishia mashabiki wake kuwa ni mfalme baada ya kufanya makamuzi ya hatari katika Ukumbi wa Dar Live, Mbagala-Zakhem, jijini Dar kwenye Tamasha la Wafalmelililodhaminiwa na VODACOM pamoja na COCACOLA.
Staa huyo aligonga ngoma zake zote na kuzikonga vilivyo nyoyo za mashabiki waliofurika katika uwanja huo wa burudani.
Mbali na Diamond, Mfalme wa Taarab nchini, Mzee Yusuf naye alifanya shoo kali na kuwapagawisha mashabiki waliofika kwa wingi kuliko siku zote katika ukumbi huo wa kisasa wa Dar Live.

Read More »

Shindano la Miss Tanzania limefungiwa. Taarifa kamili ipo hapa. INGIA HAPA KUPATA HABARI KAMILI

0 comments
Update_810_500_55_s_c1
Tangu atangazwe aliyekuwa Miss Tanzania 2014 Sitti Mtemvu mengi yameongelewa kuhusiana na tetesi za udanganyifu wa umri na vitu vingine kadhaa vinavyomhusu mrembo huyo ikiwemo suala la umri wake na kiwango cha elimu yake ambapo yeye mwenyewe alikanusha taarifa hizo.

Story ikaendelea Novemba 8, 2014 siku ambayo Kamati ya Miss Tanzania ilikutana na waandishi wa habari Dar es salaam na kutangaza kwamba Sitti Mtemvu ameandika barua kwa hiari yake yeye mwenyewe, kwamba amelivua taji hilo hivyo kamati hiyo ikamtangaza Lilian Kamazima aliyekuwa mshindi wa pili kushikilia taji hilo.

Leo December 25 kuna taarifa kwamba Serikali imelifungia shindano la Miss Tanzania kwa miaka miwili kutokana na sababu mbalimbali na ukiukwaji wa taratibu walizojiwekea, ikiwemo udanganyifu mkubwa unaojitokeza kila mwaka kwenye shidano hilo.

Maamuzi hayo yamechukuliwa na BASATA, ambapo Kaimu Mtendaji wa Baraza hilo Godfrey Mngereza amesema maamuzi hayo yalifikiwa baada ya kukaa kikao cha tathmini ambapo Kamati ya Miss Tanzania ilishindwa kujibu hoja za msingi za wadau na kukiri kuwepo udhaifu katika uendeshaji wa shindano hilo.

Baada ya kupitia maelezo yote na taarifa ya tathmini ya shindano hilo ni vyema tulisimamishe kwa muda ili mwandaaji ajipange upya, atakaporejea arejee kwa nguvu na kuandaa shindano lenye hadhi kubwa kuliko ilivyo hivi sasa…“– Mngereza.

Shindano hilo limekumbwa na kashfa mbalimbali tangu mwaka 2006 ikiwemo ya kuvisha mataji warembo wasiokidhi vigezo.

Chanzo cha Habari: Gazeti la Mtanzania, December 25.

Read More »

Picha,Tattoo nyingine mpya kwenye sura ya Lil Wayne.

0 comments
wezzy
Wakati pakiwa na mvutano kati yake na mmiliki wa Cash Money ‘Birdman’ rappa Lil Wayne anaendelea na maisha yake kama kawaida, wiki iliypita alikutana na mchora tattoo maarufu kama ‘Spider’ na kuongeza mbili zingine usoni.
Weezy kachora jicho chini ya kidevu na kuandika maneno “Mama’s Boy” kwa lugha ya Arabic kwenye jicho lake la kushoto.
Album ya Tha Carter V itachelewa zaidi na kwa sasa itatoka mixtape ya Sorry 4 the wait 2.
lil-wayne-face-tattoo-1 lil-wayne-face-tattoo-2

Read More »

JAMAA WAFUMANIWA WAKINGONOKA VICHAKANI NA MKE WA MTU INGIA HAPA UJIONEE

0 comments




                  >>BOFYA HAPA CHINI UJIONEE<<

Read More »

SHIA WATUMA SALAM ZA KRISMASI, MWAKA MPYA KWA WAKRISTO

0 comments
Imam wa Msikiti wa Kigogo Post uliopo Kigogo, Dar, Hemed Jalala,  akizungumza na waandishi wa habari katika tukio hilo.Bango la kuwatakia Wakristo heri ya Krismasi na Mwaka Mpya kutoka kwa Waislam.Baadhi ya watu waliodhuhuria hafla hiyo wakimsikiliza Imam Jalala (hayupo pichani).Waandishi wa habari wakiwa kazini.
WAISLAM wa madhehebu ya Shia nchini wamewatumia Wakristo nchini salam za Krismasi na Mwaka Mpya katika moyo wa kupendana kiimani.
Ujumbe huo ulitumwa na Imam wa Msikiti wa Kigogo Post, jijini Dar es Salaam,  Hemed Jalala, akisisitiza mshikamano na upendo kwa walimwengu wote bila kujali imani zao.

Read More »