Ni Amber Rose Tena Leo Ndo Kaamua Kuweka Picha Zake za Utupu WATOTO HAWARUHUSIWI HAPA ZIPO HAPA PICHA ZOTE

0 comments

Mwanamitindo aliyekuwa mke wa rapa Wiz Khalifa Amber Rose ’31’ amerudia tena mtindo wake wa ku BreakTheInternet kwa kuweka picha zake akiwa kwenye pozi tofauti.

Mara ya kwanza Amber kufanya hivi ilikuwa August 2014 wakati album ya mume wake Wiz Khalifa ‘Blacc Hollywood’ ilivyoshika namba moja kwenye chati za Billboard hot 200.
amber 1 amber 2 amber 3 amber 4 amber 5 amber 6

Read More »

Izi Hapa Picha, Good tyme ya V Money na Jux baada ya show yao Zanzibar.

0 comments

Bongo fleva ilitawala Zanzibar ‘Ngome Kongwe’ 17 Jan kwenye usiku wa show kali Jux, Vanessa Mdee, Navy Kenzo ‘Nahreel na Aika’ ambayo ilifunguliwa na Baby J na Mirrro.

Baada ya show Aika, Jux, V Money na Shadee wa clouds fm walikula good tyme kabla ya kuondoka Zanzibar.
jux 1 jux 2 
 jux 3 jux 4

Read More »

Ile video ya ‘Sisikii’ ya Jux imetoka tayari, Vanessa Mdee yumo ndani! Chukua Dakika zako tatu kuitazama hapa

0 comments
Jux & vEE 
Hii ni video iliyokuwa inazungumziwa sana baada ya kusambaa kwa picha ambazo zilikuwa behind the scene zikimuonyesha Vanessa Mdee na Jux ambao kumekuwa na story kwamba wana uhusiano wa kimapenzi.
Imetoka na imeongozwa na director Zed Benson, karibu uitazame hapa mtu wangu.
Bonyeza play kutazama.

Read More »

Watoto Hawaruhusiwi AMBER ROSE ATUPIA PICHA ZAKE ZA UTUPU KATIKA MTANDAO WA INSTAGRAM

0 comments

MREMBO kutoka nchini Marekani, Amber Rose ameamua kutupia picha zake zinazoonyesha maungo yake akiwa katika vazi la bikini nyeusi.
Amber mwenye miaka 31, mama wa mtoto mmoja, ametupia picha hizo jana katika ukurasa wake wa Instagram na mpaka sasa zimesambaa kila kona kwenye mitandao ya jamii. 
Pichani ni pozi tofauti za staa huyo alizoachia jana Instagram.

Read More »

Hii Ijawai Kutokea Baba na binti yake kwenye uhusiano miaka 12! walichokiamua sasa ndio Stori…

0 comments

ringgg


Imezoeleka kuona uhusiano wa karibu kati ya mzazi na mtoto wake lakini si uhusiano wa mapenzi kama ambavyo binti huyu wa miaka 18 ameamua kufanya kwa kuwa na uhusiano na baba yake mzazi na sasa ametangaza kutaka kufunga nae ndoa.

Msichana huyo anayeishi katika mji wa New Jersey ambaye alifanya mahojiano na jarida la New York alieleza kuwa amekua katika mahusiano na baba yake huyo kwa miaka 12 sasa mara baada ya mama yake kufariki na sasa wamemua kuvunja ukimya kwa kufunga ndoa.

Ndugu wa familia yetu kwa upande wa mama walijua tupo na ukaribu kama baba na mtoto wake lakini kwa upande wa ndugu wa baba walijua sisi ni wapenzi na walikua wakituchukulia kama wapenzi wengine,”alisema binti huyo ambaye jina lake halikuweza kuwekwa hadharani.

Alisema baada ya kufunga harusi wamepanga kuhama katika mji wa New Jersey ambapo watu wengi wamekua wkaipinga mahusiano yao na kwenda kuishi sehemu nyingine.

Read More »

HII SASA LAANA PICHA ZA UCHI ZA RAFIKI YAKE WEMA SEPETU ZIPO HAPA WAKUBWA TU WATOTO HAWARUHUSIWI KABISA

0 comments

http://maujanjayamjini.blogspot.com/



<<BONYEZA HAPA KUONA PICHA IZO>>

Read More »

HAYA WALE WAPENZI NA WAPENDANAO HIZI HAPA MESSAGE 80 ZA MAPENZI AMBAZO UNAWEZA UKAMTUMIA MPENZI WAKO,

0 comments




I wonder if you know how special you are; I wonder if you know how precious you are; I wonder if you know how lucky I am to have you in my life; I love you so much.

I love you not as something private and personal, which is my own, but as something universal and worthy of love which I have found.

I love you because I know you're always there, there to catch me when I fall, there to listen when I need you, there when I feel alone.

It feels nice to miss you, so I’m missing you. It feels nice to think about you. So I’m thinking about you. It feels nice to disturb you, so I’m disturbing you; it feels nice to love you, so love you dear.

Between the thousand yesterdays and a million tomorrows, there's only one today and I wouldn't let this day pass without saying this to you – I love you.

You are the reason that I am smart, you are the person who stole my heart, my life is short and you are the part, I love you, I love you with true heart!

There are lots of birds murmuring only about you. You should at least once listen to the birds; only then you’ll come to know how much I love you.

You are like the sunshine so warm, you are like sugar, so sweet, you are like you and that is the reason why I love you!

Don't wait until it's too late to tell someone how much you love, how much you care.
Because when they're gone, no matter how loud you shout and cry, they won't hear you anymore.

You walked lightly into my life
Captivating and lovely to my mind,
At first, I never cared who you were
Now I don't know who I am without you.

Love is what I see in, your smile everyday.
Love is what I really feel in, every touch you give .
Love is what I hear in, every word you say.
Love is what we share, each and everyday we live.

Here is my heart, it’s yours so take it,
Treat it gently, please do not break it.
Its full of love that’s great and true,
So please keep it always close to you.

Life is for you, death is for me, being happy is for you, being sad is for me, being together is for you, being lonely is for me, everything for you but you are for me.

If you are asking if I need you, the answer is forever.
If you are asking if I’ll leave you, the answer is never.
If you are asking what I value, the answer is you.
If you are asking if I love you, the answer is I do.

When we want to talk
More than usual to our dearest
Sometimes, we can’t even say a single word,
Just the silence says,
‘I love you’….

When I look at you,
I cannot deny there is God,
Cause only God could have created someone
As wonderful and beautiful as you.

God has sent you for me, For he wanted to reward my best deeds..

I just wish I can be pure and loyal to you and in your love succeed...

Love for me was a myth until you came and filled me with love. Today I can proudly say that I am not in love, love is in me.

Every moment I wait for the moment to see you, for seeing you is what brings me back to life.

The first time you kissed me was the moment when my heart missed a beat just to tell me that you are the one for me.

When I met you for the first time, I felt my soul kissing your soul. It felt as if we already knew each other and were meant to be together till eternity. And today, I am happy that reality is exactly what I had felt at that time.

These days I'm not charging my cellphone. Because, the more we talk, my cellphone loses its senses as it also gets mesmerized when it hears your voice.

Seeing you after a long time gave me the same feeling which I got when I first opened my eyes and saw my mother, though I don't remember it well, but I still remember that warmth.

The reason why I love you like crazy is because you instigate me to break from the the boring daily routine and follow my dreams.

I just want to thank you for encouraging me and making me believe that life isn't a race but the most beautiful journey with a companion like you.

You are my pillar of strength who has always guided me through the best and the worst. You are the one who stopped me from pulling down the blinds when the windows of the best opportunities opened. Thanks for being a part of my like. It could not have been better than this.

You may not be perfect but you certainly are the perfect one for me. Thanks for saying nothing when I actually just wanted to hear the silence between us. I love you till the moon and stars.

Thanks for being my shadow. I really don't mind any shadows because somewhere in my heart I know that you are shining a light somewhere nearby.

The little gestures of love that you make everyday create a magic in my life. The little things that you do to me are the most special and cherished part of my life. I love you more than words can say.

You are the angel God has sent from above to protect me from sadness and sorrows. Thanks for making my life so colorful and lovable. I love you from the bottom of my heart.

No matter how you treat me, you love me or you hate me, I loved you yesterday, I love still, I always have and I always will.

Having you in my life has given a true meaning to my existence. I am grateful to God that he gave me such a beautiful reward for the best deed of my life.

Love for me was a fear, until you came near. Now please don't go and give me tears, for I want you for all the coming years.

You don't love me as much as I love you, but for the little that you do, I thank you. All I want is you in my life, and let me be your lover, bestfriend, your wife.

Never Say Good Bye To Someone Who Loves You,
Never Say Thanx Who Really Needs You,
Never Blame A Person Who Really Trust You,
Never Forget A Person Who Think You As Life ..!

Life ends when you stop dreaming, hope ends when you stop believing and love ends when you stop caring. So dream hope and love...Makes Life Beautiful

Time will always fly, but our love will never die. Keep in touch and remeber me

When time comes for u to give ur heart to someone, make sure u select someone who will never break ur heart, cuz broken hearts has never spare parts.

I m going to write on all the bricks I MISS U and i wish that one falls on ur head,so that u knows how it hurts when u miss someone special like u.

If 10 people care 4 u, one of them is me, if 1 person cares 4 u that would be me again, if no 1 cares 4 u that means i m not in this world.

I m feeling so happy, do u know why? cuz i m so lucky, do u know how? cuz God loves me.Do u know how? cuz he gave me a gift. Do u know what? its YOU my love.

1st time i saw u i was scared 2 touch u.1st time i touched u i was scared 2 kiss u.1st time i kiss u i was scared to luv u.but now dat i luv u im scared 2 lose u!

If i were a tear in ur eye i wood roll down onto ur lips.But if u were a tear in my eye i wood never cry as i wood be afraid 2 lose u!

I love all the stars in the sky, but they are nothing compared to the ones in your eyes!

If I were asked the only one reason for my existence in this world, I would take your name!

I love you because you have brought sunshine and darkness into my life. The darker moments are there so that we might occasionally see the stars.

You taught me the true meaning of love by forgiving me for all my wrongs and accepting me with all my flaws. Love is all about respecting the differences and loving the similarities.

Your love is that voice in my heart that keeps telling me that all is well, that I am being gaurded and guided and should not feel any fear at all.

When you came into my life, we doubled our joys and halved our grief. We shared and cared for each other like a family because of which today we are a family. Love you for being my soulmate.

My love, thanks for giving me the greatest gift anyone could ever give someone. You gave me a portion of you and today I am complete because of your love and your presence in my life.

Love for me is picking up the telephone call from the other end of this world and feeling the distance melt as soon as I hear your sweet voice.

Why I love you is a question which has no answer just like nobody knows who God is!

Everytime you look at me I get the same feeling that Cindrella got when she met her Prince

Even if you fight with me everyday, I will still love you because I know one day you will fall in love me all over again.

The moments that we create with the magic of our love are the only moments I truly live. For the rest of the time, I merely exist!

You are the one I wanna grow old with. You are the one I wanna die with. And, you are the one I wanna get reborn with. And you are the one I wanna live forever in all my lives.!

When I think of you, I feel my heart sinking with the feeling that is it true that I have been blessed with such an amazing person as my partner?

Your love is the peace that I get whenever I am disturbed. Your love is the medicine that helps me heal whenever I am hurt.

He is the man who made me believe that yes I can love again. And today, I am truly madly deeply in love with him.

Falling is the First step to Success, Crying is the First step to Happiness. And Heart Break is the First step to True Love".. !

Love is a fire. But whether it is going to warm your heart or burn down your house, you can never tell.

Very Very True Message, But, Unspoken....."Love Is On Lips Of Many..But In The Heart Of Few.. !

Sun shines in the day...
Moon shines in the night...!
But you shine in my heart
every day and night...!!

If the road ahead is not so easy, our love will lead the way for us like a guiding star I'll be there for you if you should need me you don't have to change a thing

Words begin with ABC.
Numbers begin with 123.
Music begins with do, re, mi.
And friendship begins with you and me!

What is LOVE?
L for Land of sorrow.
O for Ocean of tears.
V for Velley of death.
E for End of life

Its Not About How Much You Love In The Beginning....Its About How Much You Love Till The End..

Don't Say You Love
Someone And Then Change Your Mind ...
Love Isn't Like Picking
What Movie You Want To Watch

My love for u was so true, U know that I would never forget u, But now my heart is crushed n broken in two I should have never fallen in love with u.

Some people were born with talents. They can do beautiful things with their skills, knowledge and technology. But no one is as talented as you. You just come near, And there is already beauty.

My life means a lot to me.
Not because i lov my life,
but bcoz i lov the people in my life.
the world says they r frinds,but i call them my world..

One Of The Best Love Quote Ever Said:
I Have Written Her Name on My Heart because God Didn't Write Her Name in My Destiny.

Flowers are blooming in the garden make the garden beauty your blooming in my heart every morning afternoon and every night ..

We cannot be together, But we’ll never be apart, For no matter what life brings us, You are always in my heart.

You brighten my day with d sound of your voice, You bring so much laughter and love, You are everything 2 me and I was so blessed when god sent u here for me.

One Lovely quote:

We always love our love cause our love always loves what we love to love nd ur love loves the way you love ur love. so keep loving.

Lovely roses and Lovely you..
and Lovely r the things u do..
but the loveliest is the friendship of the two
one is ME and other is YOU.

A man is Lucky if he is the first Love of a woman and a woman is Lucky if she is the last love of a man. Strange but true.

As I lie awake in my bed. All sorts of thought run through my head, Like why do I love you as much as I do. Then I realise its because u r u!

Read More »

Zari na Diamond kama Beyonce na JayZ, haya matukio yanafanana kila kitu INGIA HAPA KWA HABARI KAMILI

0 comments
Picha,Zari anavyokodolea macho simu ya Diamond kama Beyonce kwa Jay Z.




Wapenzi Diamond na Zari wamekuwa wakifananishwa na couple tofauti za mastaa duniani kwa picha na pozi tofauti. Kupitia instagram yake Zari amejifananisha na Beyonce kwa jinsi anavyofuatilia shughuli za Diamond kwenye simu yake muda wote wanapokuwa pamoja.


Read More »

KIRIA na mama mtoto wambwagia MBUNGE MTOTO MLEMAVU KIKAONI...MWANDISHI WA MWANANCHI APOKEA KICHAPO

0 comments
Kwenye picha kubwa ndiyo Abdalha Sheria Mh Mbunge wa Zanzibar jimbo la Dimani


                           
Mwandishi wa gazeti la Mwananchi amepata kipigo na kutaka kupokonywa kamera kwenye tukio hili la Mbunge kutelekeza familia yake hasa mtoto wake mwenye ulemavu, amepingwa na mbunge wa Blandes Gosbert mbunge wa Karangwe, Kagera.





Kiria akiwa polisi

Read More »

CHADEMA Yalaani Kufukuzwa Chuoni Waziri Mkuu wa Serikali ya Wanafunzi Philipo Mwakibinga

0 comments
            Mwakibinga aliyevalia Kombati Nyeusi ya CHADEMA
Wanafunzi wa UDOM Diploma wakiwa Chini ya Ulinzi

Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA kimelaani vikali uongozi wa Chuo kikuu cha Dodoma kwa kumfukuza chuoni mtetezi mkuu wa wanafunzi ambaye ndiye waziri mkuu wa serikali ya wanafunzi Philipo Mwakibinga.

Taarifa kutoka ndani ya chama hicho kikuu cha upinzani nchini zinasema viongozi wakuu wa chama hicho wanalaani tabia ya kufukuza ovyo viongozi wa serikali za wanafunzi ili kuwaziba mdomo.
Philipo Mwakibinga ni mwanachama machachari wa Chadema na aliwahi kugombea Uenyekiti wa Bavicha Taifa.
Inaaminika Mwakibinga amefukuzwa kwa sababu ya Itikadi yake kisiasa.Na haya ni maelekezo ya uongozi wa CCM mkoa wa Dodoma kwa viongozi wa chuo hicho wakiamini kufanya hivi ni kuwatisha wanavyuo wasijiunge na Chadema.
Taarifa zaidi zinasema Kiongozi wa upinzani bungeni Freeman Mbowe amemeiagiza wizara ya Elimu kipitia Waziri Kivuli Suzane Lyimo kufuatilia kwa ukaribu suala hili ili kulinda haki za wanachuo hawa.

Updates.......
Maneno ya Philipo Mwakibinga aliyosema huku akiwa amezungukwa na polisi zaidi ya 500 ni haya :
""Nitarudi tena kusoma UDOM as soon as possible.Nitawashangaza Ulimwengu kwakuwa Mlacha na Kilua hawanielewi kama habari za Wagalatia.Lakini naamini makaburi yao na vizazi vyao vitakuja kunielewa hata kama miaka 20 ikipita.
Nawapenda wana UDOM Naipenda UDOM.TETEENI HAKI.KIVULI CHANGU KITAISHI TU.By Mwakibinga P.J.""""
Baada ya maneno hayo aliingizwa ndani ya gari ya polisi huku akisindikizwa na msururu wa magari zaidi ya 10 ya polisi na kuondolewa ndani ya eneo la chuo huku yeye akitabasamu na kuwapunguia mkono wanafunzi wenzake.

Read More »

WEMA SEPETU: NAJUTIA MIMBA YA KANUMBA INGIA HAPA KWA HABARI KAMILI

0 comments
Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ akiwa na marehemu Kanumba.
MWANADADA asiyeishiwa habari, Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ anadaiwa kujutia mimba yake aliyopachikwa na aliyekuwa staa mkubwa wa sinema za Kibongo, marehemu Steven Kanumba ‘The Great’ wakati wa mapenzi yao.

Chanzo makini kilicho karibu na Wema kilieleza kwamba, mwanadada huyo kwa sasa yupo kwenye wakati mgumu huku akijutia mimba aliyopewa na Kanumba ambayo ilichoropoka kwa bahati mbaya na huyo ndiye mwanaume pekee aliyewahi kumpa ujauzito.

   
Mwanadada asiyeishiwa habari, Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’.

“Yaani Wema anajutia kweli kwamba kwa nini hakuzaa na Kanumba kwani ndiye mwanaume pekee aliyewahi kumpa ujauzito ambapo kwa sasa anatafuta mtoto lakini hapati, yaani yupo kwenye wakati mgumu sana akikuelezea mwenyewe unaweza kulia kwani ana simulizi ya kusikitisha kuhusu maisha yake na Kanumba.
“Hii yote inatokana na kwamba kwa sasa anatamani kuitwa mama lakini hapati hivyo kujikuta akiukumbuka ule ujauzito wa Kanumba anateseka kweli moyoni,” kilisema chanzo hicho.
Alipoulizwa Wema kuhusu ishu hiyo alikiri na kuonesha namna gani anateseka moyoni.
“Nateseka kweli, tangu ilipotokea kwa Kanumba haijawahi kutokea tena. Hakuna mtu ambaye hapendi kuwa mama, nazidi kumuomba Mungu huenda na mimi itatokea nitapata,” alisema Wema.

Read More »

MATONYA: NAKUTAFUTA POPOTE ULIPO JAYDEE KWA KUNIDHARIRISHA KWA KUSAMBAZA PICHA NIKIWA SIJITAMBUI

0 comments
STAA aliyewahi kukamata vilivyo kwenye anga ya muziki wa Bongo Fleva, Shabani Ramadhani ‘Matonya’ ameibuka na kumvaa mwanadada Judith Wambura ‘Jide au Lady Jaydee’ akidai amemdhalilisha kwa mashabiki wake.
Staa aliyewahi kukamata vilivyo kwenye anga ya muziki wa Bongo Fleva, Shabani Ramadhani ‘Matonya’
Akizungumza na paparazi wetu, Matonya alisema anamtafuta Jide popote alipo ili amuulize kinaga ubaga kwa nini aliamua kuposti picha kwenye mitandao yake ya kijamii ikimuonesha akiwa hajitambui pasipo kumtaarifu.
Mwanadada Judith Wambura ‘Jide au Lady Jaydee’.
“Nimeumizwa sana na Jide kwa kitendo chake cha kuamua kunidhalilisha kwa kiasi hicho tena akijua mimi ni mwanamuziki mwenzake na kama kuna kitu aliona simfurahishi kwenye mwenendo wa maisha yangu basi alikuwa wazi kuniita na kunikalisha chini na siyo kama uamuzi alioutumia wa kunianika kwenye mitandao,” alisema Matonya.
Matonya alifafanua kuwa picha hiyo alipigwa katika video yake mpya lakini Jide akaichukua na kuiweka mitandaoni pasipo kumuuliza.
Matonya akiwa mtungi.
“Ile picha aliyoitumia kunidhalilisha ilikuwa ni ya video yangu ya wimbo mpya unaoitwa Homa ya Jiji ambayo itatoka hivi karibuni, sasa yeye ameweka mitandaoni na kusababisha watu wanidharau kwa kuona nimelewa chakari, asiponiomba radhi nitahakikisha namfikisha mahakamani,” alisema Matonya.
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Jide aliiposti picha ya Matonya akiwa amelala na kusindikiza na ujumbe ulioonesha kama hamjui msanii huyo hali iliyosababisha mashabiki wengi kumsema vibaya Matonya.

Read More »

MATONYA: NAKUTAFUTA POPOTE ULIPO JAYDEE KWA KUNIDHARIRISHA KWA KUSAMBAZA PICHA NIKIWA SIJITAMBUI

0 comments
STAA aliyewahi kukamata vilivyo kwenye anga ya muziki wa Bongo Fleva, Shabani Ramadhani ‘Matonya’ ameibuka na kumvaa mwanadada Judith Wambura ‘Jide au Lady Jaydee’ akidai amemdhalilisha kwa mashabiki wake.
Staa aliyewahi kukamata vilivyo kwenye anga ya muziki wa Bongo Fleva, Shabani Ramadhani ‘Matonya’
Akizungumza na paparazi wetu, Matonya alisema anamtafuta Jide popote alipo ili amuulize kinaga ubaga kwa nini aliamua kuposti picha kwenye mitandao yake ya kijamii ikimuonesha akiwa hajitambui pasipo kumtaarifu.
Mwanadada Judith Wambura ‘Jide au Lady Jaydee’.
“Nimeumizwa sana na Jide kwa kitendo chake cha kuamua kunidhalilisha kwa kiasi hicho tena akijua mimi ni mwanamuziki mwenzake na kama kuna kitu aliona simfurahishi kwenye mwenendo wa maisha yangu basi alikuwa wazi kuniita na kunikalisha chini na siyo kama uamuzi alioutumia wa kunianika kwenye mitandao,” alisema Matonya.
Matonya alifafanua kuwa picha hiyo alipigwa katika video yake mpya lakini Jide akaichukua na kuiweka mitandaoni pasipo kumuuliza.
Matonya akiwa mtungi.
“Ile picha aliyoitumia kunidhalilisha ilikuwa ni ya video yangu ya wimbo mpya unaoitwa Homa ya Jiji ambayo itatoka hivi karibuni, sasa yeye ameweka mitandaoni na kusababisha watu wanidharau kwa kuona nimelewa chakari, asiponiomba radhi nitahakikisha namfikisha mahakamani,” alisema Matonya.
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Jide aliiposti picha ya Matonya akiwa amelala na kusindikiza na ujumbe ulioonesha kama hamjui msanii huyo hali iliyosababisha mashabiki wengi kumsema vibaya Matonya.

Read More »

Saluni ya Ngono Yafumuliwa jijini Dar......Wahudumu wake ni makahaba, mteja hulipa Elfu 60 kwa tendo moja

0 comments
 
Wakati suala la ajira likiwa bado ni kitendawili kikubwa kwa serikali, Jiji la Dar hivi sasa linatisha, baada ya watu kubuni mtindo mpya wa kujipatia fedha kwa kujihusisha na biashara haramu ya ngono katika maeneo yanayotambulika kufanya shughuli nyingine halali.

Uchunguzi wa paparazi huru unaonyesha kuwa zipo saluni nyingi jijini Dar zinazojishughulisha na biashara ya massage (kuchua) lakini ndani yake wahudumu wanajiuza hadi miili ambapo wateja wakubwa ni waume za watu na vigogo serikalini.

Uchunguzi huo unathibitishwa na tukio moja la hivi karibuni lililonaswa  na polisi katika saluni moja ya kuchua iliyopo  eneo la Kinondoni-Morocco, Dar. Polisi hao walikuwa  katika msako  baada  ya  kudokezwa  maovu  yanafanyika  ndani  ya  saluni  hiyo na paparazi wetu.


Ndani ya saluni hiyo, Polisi walishuhudia mhudumu wa mapokezi ambaye baada ya kuonyeshwa vitambulisho vya askari wa Jeshi la Polisi, alinywea na kuwaruhusu kupekua chumba kimoja baada ya kingine, ili kujionea kama kweli nyumba hiyo ilikuwa ikijihusisha na masuala ya saluni ya uchuaji pekee na siyo vinginevyo.

Katika chumba cha kwanza, askari hao walimkuta mwanaume mmoja akiwa uchi wa nyama, lakini mwanamke aliyekuwa naye akiwa amevaa nguo zake, kitu kilichoashiria kuwa tayari ‘mchezo ulishafanyika’.
 

Katika hali isiyotarajiwa, baada ya kupitia vyumba vingine vinne na kuvikuta tupu, kilichofuata, polisi walishuhudia mwanamke mwenye asili ya Kisomali akiwa uchi na mwanaume wake, dalili zote zikionyesha kuwa walikuwa wakijiandaa kufanya uzinzi.

Baada ya kuwakuta katika hali hiyo, kiongozi wa askari hao, aliwauliza kama hiyo ndiyo biashara ya masaji waliyopata kibali cha kuifanya, lakini wakabakia kujiumauma pasipo kutoa jibu la kueleweka.
 
Binti huyo wa Kisomali, ghafla aliibuka na kuanza kuomba msamaha kwa kitendo hicho, akidai maisha magumu wanayoishi, ndiyo yanayosababisha waifanye biashara hiyo.

Lakini la kushangaza zaidi, ni pale mwanamke huyo alipodai kuwa nyumbani alikotoka, ambako ameolewa, pia alimuacha mwanaye mwenye umri wa miezi minne.
 
Mwanaume aliyekutwa naye, alipoulizwa biashara hiyo inafanyika kwa bei gani, alisema makubaliano yake na mwanamke huyo, ni kutoa kiasi cha shilingi elfu sitini kwa tendo moja!

Read More »

WEMA NA BOB JUNIOR LIVE, WATUMIA DAKIKA 10 KUONYESHANA MAHABA

0 comments
Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ akizidi kupozi kimahaba na ‘Bob Junior'.

LICHA ya Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ kuwahi kufikishwa kortini na Mbongo Fleva, Raheem Rummy Nanji ‘Bob Junior, wamebambwa ‘live’ wakioneshana mahaba niue.
Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ akiwa mapajani mwa Mbongo Fleva, Raheem Rummy Nanji ‘Bob Junior'.

TUJIUNGE TEGETA, DAR
Ishu hiyo iliyopigwa chabo na paparazi wetu hivi karibuni lilijiri ndani ya Ukumbi wa Club 71 uliyopo Tegeta jijini Dar es Salaam ambapo Wema siku hiyo alimtambulisha msanii wake mpya anayesimamiwa na kampuni yake ya Endless Fame anayeitwa Ally Luna.

WAKUTANA
Katika tukio hilo, Wema ndiye aliyeanza kufika ukumbini humo akifuatana na timu yake, akiwemo Petit Man (kama kawa).
Muda mfupi baadaye, Bob Junior naye alifika ambapo alipokutana na Wema walianza kupeana mahaba huku wakigandana kwa zaidi ya dakika kumi.

Mbali na Bob Junior, Wema alialika wasanii kibao kwa ajili ya kumsapoti ambao hata wao walipigwa butwaa baada ya kushuhudia tukio hilo.
Wakiwa katika chumba cha VIP, Wema aliendelea kuwa ‘veri klozi’ na Bob Junior hivyo kusababisha minong’ono ya hapa na pale.

MAPOZI
Katika tukio hilo, kilichowashangaza mashuhuda zaidi ni kitendo cha Wema kukaa mapajani kwa Mbongo Fleva huyo bila kujalia macho ya watu.
Wema Sepetu na ‘Bob Junior' wakiteta jambo.

SALAMU KWA DIAMOND NA ZARI?
Baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo walikwenda mbali zaidi na kuanza kuhisi tabia hiyo ya Wema na Bob Junior ni salamu kwa aliyekuwa mwandani wake na kumwagana Nasibu Abdul ‘Diamond’ na ‘bebi’ wake wa sasa, Zarinah Hassan ‘Zari’.
“Hapa naona kama sielewielewi maana ni mara ya kwanza kumwona Wema na Bob Junior wakigandana kiasi hiki tangu walipopelekana mahakamani kipindi kile na ukizingatia Sharobaro (Bob Junior) alikuwa hasimu wa Diamond aliyekuwa mpenzi wa Wema kipindi hicho,” alisema mmoja wa mastaa wakubwa (jina linahifadhiwa). Akaongeza:
Wema Sepetu akimchumu ‘Bob Junior.

“Nakuhakikishia hizi ni salamu kwa Diamond na yule Zari wake. Hapa Wema anajua kabisa salamu zitawafikia.”
Baadhi ya mastaa hao walionekana kulaani tukio hilo na kujaribu kumtahadharisha Wema juu ya ukaribu huo kwani kama Diamond atagundua atajua ni ishu za kulipizana visasi.
“Kwa vyovyote Diamond akigundua jambo hili litamfanya ukaribu wake na Wema kuzidi kuwa mgumu na kuurejesha ni ndoto kama wana mpango wa kurudiana.”

WENYEWE WANASEMAJE?
Paparazi wetu alipojaribu kuwadodosa wawili hao juu ya uhusiano wao, kila mmoja aliishia kucheka tu bila kutoa majibu ya kueleweka.

DAKTARI AMUONYA WEMA
Wakati huohuo, mmoja wa madaktari wa mastaa Bongo (jina lipo) amemuonya Wema kuhusu masuala ya mapenzi kwamba, kama ni kweli ameanzisha uhusiano mwingine si vizuri kwani bado akili yake haijatulia tangu amwagane na Diamond hivyo anahitaji muda ili kutuliza akili.
“Wema hatakiwi kuanzisha uhusiano wa kimapenzi kwa haraka, wala si vizuri kulipiza kisasi kwani anaweza kujikuta pabaya zaidi, haya mambo ya mapenzi yanatesa sana mastaa wengi na nimekuwa nikiwapa huduma za kisaikolojia,” alisema dokta huyo kwa sharti la kutotajwa mtandaoni.

TUJIKUMBUSHE
Mwaka 2011, Mahakama ya Mwanzo Kinondoni jijini Dar ilimhukumu Wema kwenda jela miezi sita au faini ya shilingi elfu 40 baada ya kupatikana na hatia ya kumtukana matusi ya nguoni Bob Junior ambapo alilipa faini na kuachiwa huru jambo lililoibua uhasama mkubwa kati yao.

Hivyo, tukio la kuonekana pamoja na kugandana kimahaba ni ishara njema kuwa sasa wapo vizuri na ule uhasama haupo tena!!

Read More »

Dogo Aslay Ndani ya Penzi Zito na Naima, Naima Ajichora Tatuu ya Jina la Aslay INGIA HAPA

0 comments


Jamani Mahaba Kitu Kingine , Mwanzo tulijua Nuhu Mziwanda pekeake ndio mwenye ujasiri huu wa kujichora tattoo ya mpenzi wake ..lakini sasa list imeongezeka , Mrembo Naima nae avunja Ukimya , Ajichora Tattoo ya mpenzi wake Dogo Aslay .

Naima ni yule binti aliyekuwaga kwenye beef na Wema Sepetu wakimgombania CK..



Read More »
0 comments

Mr Dannis akiwa na Msouth kato baada ya kumtembelea kijana ambaye ni mwanafunzi wa Udom aliyepata majanga ya kuvunjika mguu baada ya kuruka kwenye gari na kutaka kuwakwepa Polisi waliokuwa wanahakikisha usalama unapatikana katika chuo hicho cha Udom kutokana na baadhi ya wanafunzi kuwashawishi wanzao kufanya maandamano yasiyokuwa ya Maani kutokana na kile kinachodaiwa kutopata Mkopo kwa muda unaostahili


Kijana ambaye ni mwanafunzi wa Udom anayefahamika kwa jina la Iddy aliyepata masaibu baada ya kuvunjika mguu katika vurugu za mgomo uliyofanywa na wanafunzi wa Udom wa college ya social science.. Kijana Iddy ambaye amelazwa katika hospitali ya General Dodoma leo hii amepatiwa msaada Mh Shabiby wa fedha za 
matibabu pamoja na while chair baada ya kuzuiliwa kutoka hospitali hapo nkutokana na deni kubwa la matibabu aliyokuwa anadaiwa hospitalini hapo.. Paparazi alifanikiwa kupata nafasi ya kuongea na mzazi wa mwanafunzi huyo na kudai kuwa aliambiwa atapata msaada kutoka chuoni hapo lakini cha kushangza mpaka muda huu wa jioni hatujapa msaada wowote kutoka chuo hicho zaidi ya kupigwa chenga na kutupiana mpira.. Baba wa kijana huyo ametoa shukrani za pekee kwa Mh Shabiby baada ya kuguswa kiubinadamu na kumsaidia kijana wake... Kijana Iddy kwa sasa anaendelea vizuri

Read More »

Bei za Petroli na Dizeli Kushuka zaidi March Mwaka huu

0 comments



Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imebainisha kuwa hadi kufikia Machi mwaka huu, bei ya mafuta nchini itaendelea kushuka kulingana na kushuka kwa bei ya mafuta katika soko la dunia.

Hata hivyo, mamlaka hiyo imeonya kuwa bei hiyo ya mafuta nchini haitaweza kupungua kwa kiasi kikubwa, kutokana na kushuka kwa thamani ya Shilingi dhidi ya dola ya Marekani pamoja na kutokubadilika kwa ushuru mbalimbali wa ndani wa mafuta.
 
Pamoja na hayo, Kampuni ya Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja (PICL) imeiomba Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Nishati na Madini kuingilia kati na kuihamasisha Serikali iongeze ulinzi katika mabomba na matangi ya mafuta Kurasini, ambayo kwa sasa hayako salama na ni hatari kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam.
 
Akiwasilisha taarifa ya ukokotoaji wa mafuta kwa kamati hiyo Dar es Salaam jana, Mtaalamu kutoka EWURA, Lorivii Long’idu, alikiri kuwa ni kweli kwa sasa bei ya mafuta katika soko la dunia imekuwa ikishuka kwa kasi ikilinganishwa na kipindi cha nyuma.
 
“Bei hizi zimeshuka kutoka dola 100 hadi kufikia dola 60 kwa pipa ambayo ni sawa na asilimia 40 kutokana na kudorora kwa uchumi wa bara la Ulaya katika kipindi hiki na kuwepo kwa tofauti za mitazamo ya kisiasa hasa katika nchi za Marekani na Urusi,” alisema Long’idu.
 
Hata hivyo, alisema pamoja na bei hizo kushuka tangu Julai hadi Desemba mwaka jana, kwa kawaida kwa Tanzania huchukua takribani miezi miwili bei hiyo kuweza kufikia soko la ndani.
 
Alisema bei zote za mafuta katika soko la ndani, zimekuwa zikishuka kuanzia robo ya mwisho wa mwaka jana sambamba na kushuka katika soko la dunia na kwamba bei hizo hukokotolewa na Ewura kwa kutumia kanuni maalum, inayotumia gharama halisi za uagizaji mafuta nchini, zinazotokana na meli za mafuta yaliyopokelewa mwezi husika yaliyonunuliwa mwezi wa nyuma yake.
 
Alisema uhusiano wa bei za soko la dunia na soko la ndani, unapishana kwa miezi miwili na kwamba mafuta yanayotumika mwezi huu, Ewura ilikokotoa bei zake tangu Novemba kulingana na bei ya mafuta yaliyonunuliwa katika soko la dunia mwezi huo.
 
Long’idu alisema kwa hali ilivyo sasa bei za mafuta ghafi katika soko la dunia, zitaendelea kushuka kama hakutakuwa na tukio lisilo la kawaida duniani, hali itakayochangia kushuka kwa bei ya bidhaa hiyo katika soko la ndani japo si kwa kiwango sawia.
 
Alisema pamoja na bei kushuka katika soko la dunia kwa kiwango chochote kile, bei ya ndani itashuka kulingana na thamani ya Shilingi dhidi ya dola ya Marekani lakini pia ushuru uliopo ambao katika petroli unatozwa Sh 878, dizeli Sh 754 na mafuta ya taa Sh 701 kwa lita ambao wenyewe haubadiliki.
 
Kwa upande wa Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo ya Nishati na Madini, Jerome Bwanausi, aliagiza Ewura na PICL wanapokokotoa bei za mafuta kuhakikisha wanatoa ufafanuzi wa hali halisi ya bei za soko la dunia na utaratibu mzima wa uingizaji wa mafuta nchini ili kuondoa habari potofu zinazosambazwa juu ya bei hizo za mafuta.
 
Aidha, aliagiza Wizara ya Nishati na Madini kuchukua hatua za haraka na kushughulikia suala la ulinzi katika mabomba na matangi ya mafuta ili kudhibiti hali ya hatari ya kulipuliwa kwa matangi hayo na kuhatarisha usalama wa wakazi wa jiji la Dar es Salaam.
 
“Hii ni hatari sana kwa namna yale mabomba yalivyo hayana ulinzi, watu wanatoboa mabomba na kuiba mafuta na kuweka maboya, endapo mtu yeyote akitupa moto pale Dar es Salaam nzima itakuwa haipo, hatua za haraka zichukuliwe, na kamati ipatiwe taarifa za ulinzi wa sasa katika eneo hilo,” alisisitiza.
 
Aidha, alisema kutokana na hali ya hatari ya usafirishaji wa mafuta iliyopo sasa kupitia malori hasa katika vijiji malori hayo yanakopita na kulala, ni vyema Serikali ikaanza mchakato wa kuchimba mabomba ya kusafirishia mafuta na kufufua reli ili kudhibiti usalama wa wananchi

Read More »

INGIA HAPA KUSOMA MADHARA YA KUFANYA MAPENZI OFISINI WATOTO AWARUHUSIWI WAKUBWA TU

0 comments

Yatambue madhara ya kufanya mapenzi ofisini

Kula nanasi kunahitaji nafasi, wengi wamekuwa wakishawishika kufanya mapenzi katika eneo la kazi kutokana na kupendana ama vishawishi mbali mbali kutoka kwa kinadada hususani katika mavazi. Sina maana mbaya ninaposema kina dada kwasababu wengi wao ndio wanaoacha sehemu zao nyeti wazi, kwamfano kuvaa nguo fupi sana na kuvaa vitop vinavyoonyesha sehemu kubwa ya maziwa wazi.

Kwa asilimia miamoja watu wengi wanaofanya mapenzi kwa kuiba katika maeneo kama ya ofisini huwa hawakumbuki kuvaa kinga kutokana na mihemumko mikali na ya haraka kuliko kawaida wanayokuwa nayo kwa wakati huo. Ni vyema kujihadhali ma mihemuko hii kwani madhara yake ni makubwa.

Mihemuko hii huwakumba watu wote hata ambao wako katika ndoa, kutokana na vishawishi vya mwenzake basi anajikuta amezama katika saa za kazi. Tabia hii ikifanyika mara tatu huanza kuwa kama sehemu ya majukumu ya wezi hawa wa mapenzi. Kinadada wanaovaa nguo fupi katika makazi ya watu huenda wakawa wanafanya hivyo kwasababu ya fasheni, wengine kutafuta mvuto kwa wafanyakazi wenzie, lakini kwa wanaume huwa ni kishawishi kimoja kikubwa sana.

Kumbuka unapaswa kuishinda faragha yako na kujitambua kuwa hupaswi kufanya mapenzi na mke wa mtu au mume wa mtu. Unapoona vishawishi kama hivi jaribu kuwa bize na kazi, chukulia poa tu japokuwa wadada wengi huwa na njia mbali mbali za kukufanya ukanasa kirahisi kwa mfano kama mnakumbuka skendo ya Monica Lewinsky na aliyekuwa rais wa Marekani wakati huo walichokifanya ofisini na baadae kuja kuwa ni skendo kubwa sana.

Hasara ya mapenzi hayo ya kiwizi wizi katika masaa ya kazi ni kupata maambukizi ya Ukimwi bila kufahamu kwani utakuwa umemzoea mfanyakazi mwenzio kwa jinsi alivyo smati katika kazi, hivyo hutafikilia kama anawatu wengine nje ya kazi. Pia kuna maambukizi ya magonjwa ya zinaa, ambayo kwa wanawake hujificha kwa muda kabla ya kuonekana haraka kama wanaume.

Read More »