AUAWA KWA KUCHOMWA MOTO BAADA YA KUIBA VIATU MKOANI SHINYANGA

Inaelezwa kuwa aliyeuawa alikuwa na tabia za wizi na mara kwa mara alikuwa anapigwa kwa tabia zake na leo zimetimia za mwizi 40
Wakazi wa Shinyanga wakiangalia mwili wa marehemu
Askari wa jeshi la polisi mkoa wa Shinyanga akishirikiana na msamaria mwema kusitiri mwili wa marehemu
Mwili wa marehemu baada ya kusitiriwa-Picha na 
Gari la polisi likiwasili eneo la tukio kuchukua mwili wa marehemu
Mamia ya wakazi wa Shinyanga wakiwa eneo la tukio
Askari wa jeshi la polisi wakichukua mwili wa marehemu
Askari polisi wakiondoka eneo la tukio
Wakazi wa Shinyanga mjini wakiondoka eneo la tukio

0 comments: