Uganda In Burundi Out ndani ya Simba Sc. Soma Hapa Kwa Habari Kamili

0 comments
simba okwi


Ni kama vile klabu ya Simba ina mapenzi na taifa la Uganda baada ya klabu hiyo kukamilisha jumla ya wachezaji watano raia wa kigeni ambao wanatoka kwenye taifa hilo la Afrika Mashariki .

Simba imetangaza na kuthibitisha kuwa wachezaji wake watano wa kigeni kwa msimu huu ni Emmanuel Okwi, Daniel Serunkumma, Simon Serunkumma, Joseph Owino na Juko Mursheed.
Emmanuel Okwi na Joseph Owino ni wawili kati ya wachezaji watano raia wa Uganda walioko Simba.
Emmanuel Okwi na Joseph Owino ni wawili kati ya wachezaji watano raia wa Uganda walioko Simba.
Wachezaji wawili kati ya hao (Okwi na Owino ) na watatu wengine (Serunkumma Simon, Dany na Juko) wamesajiliwa katika kipindi hiki ambapo dirisha dogo la usajili liko wazi.
Nafasi za wachezaji watatu hao raia wa Uganda zimekuja kujaza nafasi za wachezaji wawili toka Burundi ambao ni Amisi Tambwe na Pierre Kwizera pamoja na Mkenya Paul Mungai Kiongera .
Dnny Sserunkumma ni raia mwingine wa Uganda aliyeko Simba.
Danny Sserunkumma ni raia mwingine wa Uganda aliyeko Simba.
Kiongera bado ataendelea kuwa mchezaji wa Simba hadi atakapopona jeraha lake la goti ambapo amekwenda kufanyiwa upasuaji nchini India huku Tambwe na Kwizera wakiwa wameachwa moja kwa moja .
Mrundi  Perre Kwizera ameachwa baada uongozi wa Simba kutoridhishwa na kiwango chake.
Mrundi Perre Kwizera ameachwa baada uongozi wa Simba kutoridhishwa na kiwango chake.

Mkenya Paul Kiongera ameachwa japo Simba itamtumia msimu ujao.
Mkenya Paul Kiongera ameachwa japo Simba itamtumia msimu ujao.
Mrundi mwingine aliyeachwa ni mfungaji bora wa msimu uliopita Amisi Tambwe.
Mrundi mwingine aliyeachwa ni mfungaji bora wa msimu uliopita Amisi Tambwe.


Read More »

Simba yaongeza nguvu kwa kusajili beki, unajua anatoka timu gani? Soma Hapa

0 comments
simba_logo_med_hr


Katika usiku ambao umekuwa na movement nyingi za wachezaji na makocha , klabu ya Simba imekamilisha usajili wa beki wa pembeni toka timu ya Mtibwa Sugar, Hassan Kessy.

Beki huyo ambaye ametokea kuwa mmoja kati ya wachezaji wa kutumainiwa kwenye klabu hiyo ya wakata miwa wa huko Manungu Turiani mkoani Morogoro, anaungana na wachezaji wapya waliosajiliwa katika kipindi hiki cha dirisha dogo ambao ni Simon Sserunkuma, Danny Sserunkuma, na Juko Murshid wote kutoka Uganda.
Kessy ambaye ametajwa kuwa moja kati ya wachezaji wanaokaribia kuwa mmoja ya wachezaji wa Timu ya Taifa Stars alichezea Mtibwa kwa mara ya mwisho katika mchezo wa kirafiki ambao ilifungwa na Azam Fc 3-1.
hassan kessy
Beki huyu anasajiliwa baada ya mazungumzo ya muda mrefu yaliyofanyika chini ya usimamizi wa viongozi wa Simba wakiongozwa na Geoffrey Nyange Kaburu na Kiongozi wa Mtibwa, Jamal Bayser.
Tetesi zaidi zinasema kuwa Simba imemsajili beki huyo kwa thamani ya shilingi milioni 30.

Read More »

Maamuzi ya Timu ya Yanga juu ya Mbrazil Emerson…

0 comments
Moja ya vichwa vya habari vilivyokuwa vimepambwa na habari kumhusu Emerson.
Taarifa za usajili na kuachwa wachezaji zinazidi kuingia na safari hii inasemekana kuwa kiungo Mbrazil Emerson amekuwa mhanga wa kwanza wa kuondoka kwa kocha Mbrazil Marcio Maximo baada ya mchezaji huyo kuachwa na Yanga.
Mbrazil huyo anaondoka Yanga baada ya kucheza mechi moja pekee dhidi ya Simba ambako Yanga ilifungwa 2-0.
Emerson alishindwa kuwaridhisha mashabiki wa Yanga ambao wengi walionyesha kukerwa na uwezo mdogo wa kiungo huyo katika dakika 45 alizocheza kwenye mechi dhidi ya Simba.
Emerson alikuja nchini siku chache zilizopita ambapo alipaswa kuziba nafasi iliyoachwa wazi na mshambuliaji Genilson Santos Santana Jaja ambaye hakurudi baada ya kuondoka nchini kufuatia kusimama kwa ligi.
emerson

Read More »

Simba yamsajili beki wa Mtibwa. Ingia Hapa Kwa Habari Kamili

0 comments

hassan kessy

Katika usiku ambao umekuwa na movement nyingi za wachezaji na makocha , klabu ya Simba imekamilisha usajili wa beki wa pembeni toka timu ya Mtibwa Sugar Hassan Kessy .
Beki huyo ambaye ametokea kuwa moja kati ya wachezaji wa kutmainiwa kwenye klabu hiyo ya wakata miwa wa huko Manungu Turiani mkoani Morogoro anaungana na wachezaji wapya waliosajiliwa katika kipindi hiki cha dirisha dogo ambao ni Simon Sserunkuma , Danny Sserunkuma , na Juko Murshid wote toka Uganda .
Kessy ambaye ametajwa kuwa moja kati ya wachezaji wanaokaribia kutiwa kwenye timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars aliicheza Mtibwa kwa mara ya mwisho katika mchezo wa kirafiki ambao ilifungwa na Azam Fc 3-1 .
Beki huyu anasajiliwa baada ya mazungumzo ya muda mrefu yaliyofanyika chini ya usimamizi wa viongozi wa Simba wakiongozwa na Geoffrey Nyange Kaburu na Kiongozi wa Mtibwa Jamal Bayser .
Tetesi zaidi zinasema kuwa Simba imemsajili beki huyo kwa thamani ya shilingi milioni 30 .

Read More »

Breaking News Rasmi…Marcio Maximo aondoka Yanga. Ingia Hapa Kwa Habari Kamili

0 comments


maximo+manji+leo.tif
Habari rasmi toka ndani ya klabu ya Yanga zinasema kuwa kocha Mbrazil Marcio Maximo ameondoka ndani ya klabu hiyo .
Habari hizi zinakuja dakika chache baada ya Maujanjayamjini kuripoti tetesi zinazohusu mustakabali wa kocha huyo Mbrazil.
Maximo anaondoka Yanga baada ya uongozi wa klabu hiyo kukubaliana naye kuvunja mkataba wake baada ya kushindwa kuelewana juu ya jinsi ya kuiendesha klabu hiyo kwenye masuala ya ufundi .
Yanga ilishikilia msimamo wa kumuajiri mkurugenzi wa ufundi ambaye alipangwa kuwa Charles Boniface Mkwasa jambo ambalo Maximo hakukubaliana nalo.
Nafasi ya Maximo sas aitachukuliwa na Mholanzi Hans Van Der Pluijm ambaye aliifundisha timu hiyo kwa nusu msimu baada ya kufukuzwa kwa Mholanzi mwenzie Ernst Brandts .
Tukio hili linaendeleza historia ya Yanga kufukuza makocha baada ya kufungwa na Simba kwenye mechi ya Nani Mtani Jembe baada ya kufukuzwa kwa Ernst Brandts msimu uliopita kufuatia kipigo cha 3-1 mbele ya Simba iliyokuwa inaongozwa na Dravko logarusic.

Read More »

Breaking News , Yanga yamsajili Amisi Tambwe toka Simba. Soma Hapa Kwa Habari Kamili

0 comments



tambwe yanga
Taarifa zilizoingia kwenye mtandao huu dakika chache zilizopita ni kwamba Dar-es-salaam Young Africans imemsajili mshambuliaji wa Simba aliyeachwa Amisi Tambwe .
Yanga imemsajili Tambwe dakika chache zilizopita ambapo anakuja kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Hamis Kiiza ambaye amejiunga na URA ya Uganda .
Tambwe amesajiliwa na Yanga baada ya kuachwa na Simba.
Tambwe amesajiliwa na Yanga baada ya kuachwa na Simba.
Tambwe alikuwa mfungaji bora wa ligi msimu uliopita ambapo alifunga mabao 19 kwenye ligi lakini alishindwa kuwika msimu huu baada ya kutopewa nafasi ya kutosha chini ya Patrick Phiri.
Simba imemuacha Tambwe baada ya kumsajili Danny Serunkuma toka Gor Mahia ya nchini Kenya .
Yanga imekamilisha usjaili huu saa chache kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa kama ilivyopangwa na Tff .

Read More »

HAUSIGELI ALIYEMTESA MTOTO UGANDA AHUKUMIWA MIAKA 4 JELA

0 comments

 Jolly Tumuhirwe (22).

HAUSIGELI aliyenaswa kwenye video akimtesa mtoto nchini Uganda, amehukumiwa kwenda jela miaka minne katika mahakama moja nchini humo.


Jolly Tumuhirwe wakati akimtesa mtoto Arnella mwenye miezi 18.

Mfanyakazi huyo Jolly Tumuhirwe (22) aliiambia mahakama kuwa anajutia kile alichokifanya na anaomba msamaha kwa familia na jamii nzima.
Amehukumiwa kwa kosa la kumtesa mtoto Arnella mwenye miezi 18.

Read More »

ROLENE STRAUSS WA AFRIKA KUSINI ASHINDA TAJI LA MISS WORLD 2014

0 comments


Miss World 2014, Rolene Strauss wa Afrika Kusini.
Rolene Strauss wa Afrika Kusini ameshinda taji la Miss World 2014 jijini London usiku huu, Edina Kulcsar wa Hungary akishika nafasi ya pili na Elizabeth Safrit wa Marekani akichukua nafasi ya tatu.

Read More »

Hii Sasa Kali Check Video ya Mfanyakazi wa hoteli alivyonaswa akipekua vitu vya mteja chumbani Ingia Hapa Kwa Habari Kamili

0 comments
Screen Shot 2014-11-12 at 8.46.26 PM
Ni jinsi mfanyakazi wa hoteli alivyorekodiwa na camera ya Laptop ya mteja alieiacha kwenye chumba cha hoteli na kuacha funguo reception, baada aliporudi akajionea jinsi mfanya usafi huyo alivyopekua na kugusagusa vitu vyake.

     VIDEO IPO HAPO CHINI CLICK KUITAZAMA


Read More »

Ni Happiness Watimanywa… Tanzania kwenye rekodi nyingine kubwa Miss World 2014 Soma Hapai Kwa Habari Kamili

0 comments

Happyz iiiWatanzania wameamua kwamba tukiamua tunaweza, good news kutoka London Uingereza, ambako yanafanyika mashindano ya Miss World mwaka 2014.
Happiness Watimanywa, mwakilishi wa Tanzania kwenye mashindano hayo ameshare na sisi taarifa nyingine nzuri kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Happiness kaandika hivi; Hey guys. Siwezi amini kuwa tumefika namba 2. Tuongeze bidii maana nchi nyingine pia wako bize na kura. Lets do this Tanzania!!!! Naamini pamoja tutafika. #votevotevote #PigaKuraSasa#DownloadTheApp#HuuNiMwakaWetu“– @happinesswatimanywa
Happyz

Happyz II Happyz IIii

Zoezi la upigaji wa Kura litasitishwa leo December 14, jioni ambapo Fainali hizo zitakuwa zinafanyika London, Uingereza.
Unaweza kuendelea kumpigia kura mshiriki huyo ili arudi na Taji la Miss World 2014.

Read More »

Jamani Jamani Hivi ndivyo Whatsapp imevunja ndoa ya wawili hawa…

0 comments

whatsapp2 
Wiki chache baada ya WhatsApp kutambulisha mfumo mpya ambapo iwapo unamtumia message mtu inakuonyesha alama ya tick mbili za kijani na pia inaonyesha muda ambao mtu uliyemtumia message hiyo ameisoma, tayari kuna ndoa ambayo imeingia matatizoni kutokana na hilo.
Mwanaume mmoja Saudi Arabia ametoa talaka kwa mkewe kutokana na kitendo cha mwanamke huyo kutokujibu message aliyomtumia WhatsApp.
Mwanaume huyo amesema kitendo kilichomkasirisha zaidi ni pale aliporudi nyumbani na kumkuta mke wake akiwa busy anachat na marafiki zake kupitia mtandao huo wakati message aliyomtumia yeye hakuijibu.
dreamstime_s_36639295-600x399
Jamaa huyo ameona kama kitendo hicho ni dharau kubwa na hakuwa tayari kuendelea na ndoa hiyo ambayo imedumu kwa miaka miwili tangu ifungwe.

Read More »

Mke afumaniwa, amgeuzia kibao mme wake Polisi… Unajua kilichomfanya amsaliti?

0 comments
Black-Couple-in-Bed-PFJamaa mmoja alisababisha kizaazaa baada ya kuvamia chumbani ambako mtu na mkewe walikuwa wamelala.
Fununu zinasema jamaa huyo baada ya tukio hilo alimhoji mkewe kwamba huyo aliyeingia bila hodi chumbani kwao wakiwa wamelala ni nani?
Baada ya jamaa huyo, Calvin Murapata kutoridhishwa na majibu ya mke wake Nomagugu Ncube alimpiga na kumchania nguo, ambapo mwanamke huyo alifungua mashtaka kituo cha Polisi, Zimbabwe.
Mwanamke huyo aliwahi kushinda taji la mitindo katika nchi hiyo, amekiri kuwa na uhusiano na jamaa huyo aliyevamia chumbani humo kutokana na mume wake kuwa busy.
Ncube amefungua mashtaka kudai fidia ya nguo alizochaniwa.

Read More »

List kamili ya Walioshinda Tuzo za TASWA 2013/2014 iko hapa, yupo aliyechukua Jumla ya Tuzo tatu

0 comments
gold-star-award-375x250Siku ya jana December 12 kulikuwa na Sherehe za Utoaji wa Tuzo za Wanamichezo Bora Tanzania mwaka 2013/2014, zilizotolewa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) ambazo zilifanyika katika Ukumbi wa Diamond Jubilee, ambapo Mgeni Rasmi katika Sherehe hizo alikuwa Rais Wa Zanzibar, Dr. Ali Mohamed Shein
Tuzo kubwa ya kwanza iliyotolewa usiku wa jana ni Tuzo ya Heshima ambayo ilitolewa kwa Hayati Sheikh Abeid Aman Karume na kupokelewa na Mama Fatma Karume.
Sheridah Boniface alivunja Rekodi kwenye sherehe hizo baada ya kutoka na jumla ya Tuzo tatu, Tuzo ya Jumla ya Mwanamichezo Bora 2013/ 2014, tuzo ya Mwanamichezo Bora Chipukizi na Tuzo ya Mchezaji Bora wa Soka Wanawake.
Wachezaji wa Azam, Erasto Nyoni na Kipre Cheche baada ya kupokea tuzo zao.
Wachezaji wa Azam, Erasto Nyoni na Kipre Cheche baada ya kupokea tuzo zao.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Gofu Wanawake imechukuliwa na Madina Iddy.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Gofu imechukuliwa na Nuru Mollel.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Gofu Wanawake imechukuliwa na Madina Iddy.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Gofu ya Kulipwa imechukuliwa na Hassan Kadio.
Tuzo ya Mchezaji Bora Mpira wa Kikapu Wanaume imechukuliwa na Lusajo Samweli.
Tuzo ya Mchezaji Bora Mpira wa Kikapu wanawake imechukuliwa na Sajda Ahmed Lyaimaga.
Tuzo ya Mchezaji Bora Mpira wa Wavu Wanaume imechukuliwa na Kelvin Peter Severino.
Tuzo ya Mchezaji Bora Mpira wa Wavu Wanawake imechukuliwa na Teddy Abwao.
Tuzo ya Mchezaji Bora Mpira wa Magongo Wanaume imechukuliwa na Yohana Wilson.
Tuzo ya Mchezaji Bora Mpira wa Magongo Wanawake imechukuliwa na Kidawa Seremala.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Soka Wanaume imechukuliwa na Erasto Nyoni.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Tenisi Walemavu imechukuliwa na Novatus Emmanuel Temba kwa upande wa Wanaume.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Tenisi Walemavu imechukuliwa na Rehema Selemani Saidi kwa upande wa Wanawake.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Olimpiki Maalum imechukuliwa na Blandina Blasi kwa upande wa Wanawake.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Olimpiki Maalum imechukuliwa na Raphael Kalukula kwa upande wa Wanaume.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Nje anayechezea Tanzania imechukuliwa na Kipre Cheche.
Tuzo ya Mchezaji Bora Mtanzania anayechezea nje imechukuliwa na Mbwana Samatta.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mpira wa Mikono Wanaume imechukuliwa na Hemed Saleh.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mpira wa Mikono Wanawake imechukuliwa na Veronica Mapunda.
Tuzo ya Mwendeshaji Bora wa Baiskeli imechukuliwa na Richard Laizer kwa upande wa wanaume.
Tuzo ya Mwendeshaji Bora wa Baiskeli imechukuliwa na Sophia Adson kwa upande wa wanawake.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Ngumi za Ridhaa imechukuliwa na Bondia Suleiman Kidunda.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa ngumi za Kulipwa imechukuliwa na Bondia Francis Cheka.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Tenisi Wanaume imechukuliwa na Omary Sulle.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Tenisi Wanawake imechukuliwa na Rehema Athumani.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Kike mchezo wa Judo imechukuliwa na Grace Alfonce Mhanga.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Kiume mchezo wa Judo imechukuliwa na Geofrey Edward Mtawa.
Tuzo ya Mwanariadha Bora wa Kike imechukuliwa na Zakia Mrisho.
Tuzo ya Mwanariadha Bora wa Kiume imechukuliwa na Alfonce Felix.
Tuzo ya Muogeleaji Bora wa Kike imechukuliwa na Catherine Maswa.

Read More »

Matokeo ya Simba vs Yanga – picha na idadi ya watu waliozimia uwanjani vipo hapa

0 comments
Screen Shot 2014-12-13 at 7.09.29 PMTimu ya Simba imeibuka na ushindi baada ya kuichapa timu ya Yanga 2-0 huku timu ya Yanga wakiambulia kuondoka na maumivu ya kushindwa kufurukuta kwa bao hata moja.
Wafungaji wa magoli kutoka timu ya Simba ni Awadh Juma na Elias Maguri ambapo mabao yote yamefungwa katika kipindi cha kwanza.
Kwa mara ya pili tena timu ya SIMBA wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa Nani Mtani Jembe baada ya kutwaa ubingwa huo mwaka jana walipoichapa Yanga bao 3 -1.
Kwa upande wa zawadi Simba wamefanikiwa kutwaa milioni 92 huku Yanga wakiondoka milioni 7.
 Wachezaji wa timu ya Simba wakishangilia bao la pili lililofungwa na Elias Maguli katika dakika ya 40 ya kipindi cha kwanza. Mabao yote ya Simba yamefungwa katika kipindi cha kwanza huku bao la kwanza likifungwa na Awadh Juma katika dakika ya 30.
 Mashabiki wa Simba wakishangilia moja ya mabao yaliyofungwa na timu yao.
 Andreu Coutihno, akimiliki mpira katikati ya mabeki wa Simba…
Mchezaji mpya wa Yanga, kutoka nchini Liberia, Kpah Sherman. akisomba kijiji cha mabeki wa Simba…. Hadi mpira unaisha jumla ya mashabiki wasiopungua wanne wa Yanga walikuwa wameshazimia uwanjani. 
Mashabiki wa Simba waliojaza kwenye dimba la uwanja wa taifa – PICHA ZOTE KWA NIABA YA SUFIAN MAFOTO
                                     Umati wa wana jangwani leo taifa

Read More »

PICHA: WEMA SEPETU NA VAN VICKER WAFANYA MOVIE GHANA, INAITWA ‘DAY AFTER DEATH’ INGIA HAPA

0 comments

Wema Sepetu amesafiri hadi jijini Accra, Ghana kwenda kushoot filamu mpya na msanii mashuhuri nchini humo, Van Vicker.

Filamu hiyo inaitwa ‘Day After Death’, na inaongozwa na  Vicker mwenyewe. Pia mtoto wa kike wa msanii huyo ataigiza kwenye filamu hiyo ambayo Vicker anaiita kitu chake kikubwa kijacho.

Kupitia Instagram, muigizaji huyo wa Ghana amemsifia Wema kwa jinsi anavyojituma kwenye filamu hiyo na anafurahi kufanya naye kazi.
 
“#MyNextBigThing I am excited abt our Ghana Tanzania collaboration. You finally landed. Today was day 1. Good stuff. I love the way you are passionate abt what you want and u get it done. Enjoy workin with you. watch for Day After Death (D.A.D) #DayAfterDeath starring Wema @wemasepetu and me van vicker. I am directing again ya’ll and acting. It’s challenging but I love the challenge. Hey it’s my daughter’s j’dyl debut in films as an actor,” ameandika Van Vicker.
  

“Watch out for #DayAfterDeath (D.A.D) starring @wemasepetu and myself..#DirectorMode Tanzania and Ghana goin on the map for this award winning thriller,” ameongeza kwenye picha nyingine.

Read More »

Dunia na maajabu yake… Hii ni ya gari kutembea kwa tairi mbili tu! Itazame HAPA VIDEO

0 comments
6fc
Huenda wewe ukawa mmoja ya watu ambao wanaogopa michezo ya hatari.
Ipo michezo ambayo hata ukiona mtu anaifanya nafsi yako inakiri kwamba kamwe hauwezi kuifanya.
Hii nmeikuta Youtube, jamaa wa Saudi Arabia wanaendesha gari kwa kutumia tairi mbili peke yake, na kali zaidi ni kwamba wengine wanajiamini na hata kubadilisha tairi za gari wakati ikiwa inatembea.
Video nimekuwekea hapa halafu nitafurahi kuona comment yako mtu wangu.

Read More »

ZARI SEXTAPE: MY EX LOVER LEAKED IT

0 comments

Zari has today morning  blamed her ex lover for leaking the sextape.


zaris
“Life goes exs gotta stay exs and stop doing things for renege,” Zari tweeted shortly after The Red Pepper published pictures of her sextape.
For exclusive pictures and a clear description of how Zari moans in bed, Please hurry and Grab Red Pepper copies of Friday and Saturday from the nearest vendor.

READ MORE ON: ugandaonline.net

Read More »

WATU 2 WAPIGWA NA KUVULIWA NGUO NA KUBAKI UCHI NYUMBANI KWA WEMA, NI MAFUNDI WAKE WALIODAIWA KUIBA...MZIKI WAPANDISHWA MPAKA MWISHO KUMBE KICHAPO KINATEMBEZWA NDANI ILI MAJIRANI WASISIKIE!!

0 comments
Nyumba ya wema 1
Wema akiwa ndani kwake

Nyumbani kwa Miss Tanzania 2006 na muigizaji wa filamu, Wema Sepetu, kumetokea tukio la kushangaza la watu wawili wanaodaiwa kuwa mafundi, kupigwa na kudhalilishwa kwa kuachwa uchi wakidaiwa kuhusika na wizi.

Akizungumza na paparazi jana, jirani wa Wema aliyetambulika kwa jina la Mama Steve, alisema tukio hilo lilitokea Ijumaa majira ya saa 5 asubuhi mpaka saa 9 jioni.
“Waliopigwa na kulazwa chini uchi wa mnyama ni mafundi ambao wanakujaga kila siku kumtengenezea Wema nyumba yake,” amesema mama huyo. “Sasa baada ya kumaliza kazi yao wakaondoka, baada ya kuondoka wakaitwa tena na kuambiwa kuna simu imeibiwa ndani, ndo mtiti ukaanza.”
“Petit akatumwa akachukue mabaunsa 7 na baada ya kufika wakapandisha muziki mpaka mwisho ili sisi tusisikie nini kinaendelea huko ndani. Sasa kuna mtu alikuwa anapita hapa kwenye geti lao akasikia mtu analia sana ikambidi akachungulie ndo akamkuta fundi watu wawili wamelazwa chini uchi wa mnyama wanapigwa na hawana nguvu kabisa! Ndo yule jamaa kwakuwa alikuwa anamjua yule fundi akaita watu wakaanza kugonga geti ili wafungue lakini hawajafungua geti. Tukawa tunasikia sauti ya Wema ikisema ‘jamani waacheni hao mtawaua’ lakini anasema hivyo wakati yeye inaonyesha ndo alikuwa kinara wa matukio hayo.

Wema ana roho ya kikatili sana. Amefanya matukio mengi lakini hivyo hapana! Yaani kama anataka usalama wake anatakiwa ahame vinginevyo vijana watamfanyika tukio la kinyama sana,” ameongeza mama huyo.
“Baada ya watu kuwa wengi sana pale nje ndo geti likafunguliwa watu wakaingia na kuwachukua wale vijana wakiwa hawajitambui na wapo uchi ndo wakapelekwa hospitali. Sasa baada ya kupelekwa hospitali polisi wa kituo cha Mabatini na wao wakagonga geti wakawa hawataki kulifungua polisi wakapindukia na kuingia ndo wakawakamata baadhi ya watu na kuondoka nao. Hilo ndo tukio alilolifanya mwanadada wenu ambaye anadai alikuwa Miss Tanzania,” alisema Mama Steve.

Pia shuhuda mwingine aliyejitambulisha kwa jina la Mama Samira, alisema amesikitishwa na tukio hilo la kinyama. “Hii ni tabia yake, hata wafanyakazi wake wa ndani anao kaa nao saa zingine anawapiga makofi! Kwakuwa ni ndani kwa ndani sisi majirani hatufuatilii, lakini kwa hilo na sauti yake tumeisikia japo watu wake wanadai hakuwepo,” alisema.
Baada ya taarifa hiyo, paparazi ilimtafuta mjumbe wa nyumba kumi, Mwarami ambaye alithibitisha kutokea kwa tukio hilo huku akidai hataki kuliongelea sana kwakuwa limeshafika katika kituo cha polisi Mabatini. Pia paparazi ilifika katika kituo cha polisi Mabatini ili kujua nini kinaendelea katika tuhuma hizo lakini iliambiwa kumuona mkuu wa kituo ambaye hata hivyo hakuwepo kwa muda huo.
Mtu wa karibu wa Wema, Petit Man aliyetajwa kuhusika kwenye tukio hilo, ameiambia paparazi kuwa watu hao walipigwa lakini hawakuvuliwa nguo. “Yeah kuna tukio limetokea,lakini hakuna mtu aliyevuliwa nguo,” alisema Petit na baada ya hapo alikata simu.
Unaweza kumsikiliza Mama Samira hapo chini.

Read More »

BEAUTY WITH DRYNESS: DESCRIBING ZARI’S SKYPE SEXTAPE

0 comments

Zari was thumped by her hubby Ivan


Zari was thumped by her hubby Ivan

Ugandans now have a reason to believe that not all that glitters is gold after watching Zari’s Skype sextape.

Red Pepper online understands that Zari’s Skype sextape was recorded last year.
In the Skype sextape, Zari is seen satisfying herself with a Dildo.
She was heard hissing and moaning whenever she inserts the dildo in her unshaven eclipse.
Oh, oh, yeah! Moaning is a way for people to communicate or express excitement and pleasure; Zari must have had total pleasure during the Skype sex session.
Women moan as a signal to let their partner know that the sensation feels good.
Zari uttered hissing sounds and made her body move freely as if she lost control and allowed herself to be part of the sexual and satisfying experience.
The worst turnoff in the Skype sextape, Zari tops the list of the driest babes on the planet.
As she slowly inserted her dildo in the bearded eclipse, we expected to see El NiƱo flowing uncontrollably from her eclipse. Zari is a walking combination of Kalahari and Sahara deserts.
Her dryness confirmed that she has low libido or she was not sexually aroused.
The other turnoff was her bushy eclipse that could be mistaken as Mabira forest.

Read More »

Tuzo nyingine aliyoshinda Diamond Platnumz Nigeria. Na soma davido alichokiandika Kuhusiana na Tuzo Hii Aliyoshinda Diamond

0 comments


tuzoDiamond Platnumz ameshinda tuzo nyingine ambayo hizi zilikua zikitolewa Lagos nchini Nigeria ambazo hizi hazikuwa na utaratibu kama wa tuzo zingine kwa kupiga kura.
Baada ya kushinda tuzo hiyo ambayo ilienda kupokelewa na Meneja wake Salaam,Diamond alipost maneno haya>>’Thanks God,we have cheated another one on the future Awards Africa in Lagos Nigeria…#samenight Thank you Allah’
Tuzo hizi zinaitwa The Future Awards Prize in Entertainment ambapo kipengele alichokuwa akiwania Diamond alikuwa na wakali mbalimbali akiwemo Panshack au Ice Prince jina lake la zamani wa Nigeria na Michael Kwesi wa Ghana.
dngria

Read More »

Historia nyingine kubwa ya Tanzania imeandikwa fainali ya #BBAHotshots 2014

0 comments
IdrisLeo ni siku ya 63 tangu yaanze mashindano ya Big Brother Africa, ndiyo siku ambayo imefanyika fainali ya #BBAHotshots kwa mwaka huu 2014.
Labda nikukumbushe kwamba Tanzania ndiyo nchi pekee iliyokuwa imebakiwa na mshiriki wake ndani ya Jumba la BBA katika ukanda wa Afrika Mashariki na tuliona namna ambavyo mastaa wengi wakitoa support kubwa kwa mshiriki huyo ambaye ni Idris.
Hatimaye usiku huu wa Desemba 07 historia nyingine imeandikwa Afrika, ambapo mwakilishi huyo kafanikiwa kuibuka mshindi.

Read More »