ALICHOKIANDIKA TUNDU LISU KABLA YA WALE VIJANA WATATU KUTOKA GEITA KUKAMATWA NA POLISI



  

Kuna vijana watatu kutoka mkoani Geita,
wanakuja kwa mguu kuja kuonana na rais
Kikwete ikulu, ili kueleza kero zao kuhusu nchi
yao, je? watakaribishwa ikulu? au wataitwa
wahuni na wavuta bangi? nakumbuka rais
amewahi kuwakaribisha watu wengi ikulu kama
Ray c, Diamond, mzee yusufu, n.k, ambao ni
waimbaji majukwaani, wala sio watetezi wa
wanyonge, wengine ni wala madawa ya kulevya
tu, mh. Rais wanakuja hao vijana watatu kutoka
Geita nakushauri uwapokee, otherwise
utaonekana una upendeleo kwa kuwakaribisha
watu unaowataka wakati ikulu sio mali yako. 

0 comments: