Ata baada ya kupewa ushauri,Wasanii wa Rnb bado wanapiga picha vifua wazi,huyu mwingine. WAKUBWA TU

Msanii wa Rnb uliyemsikia kwenye hit zake kama 2 On na Pretend “Tinashe” ameng’arisha jarida la V kwa picha zake akiwa kifua wazi kwenye toleo la mwaka 2015.
Tinashe amezungumzia kufananishwa na Jhene Aiko na kusema ‘ kama kila msanii anatengeneza kazi bora basi wote tuna nafasi yetu kwenye muziki ila tusichanganye mashabiki ‘.
Tinashe-x-V-Magazine 
 Tinashe-x-V-Magazine-2 Tinashe-x-V-Magazine-Music-Issue-700x954

0 comments: