MSANII WA KIZAZI KIPYA MATONYA BAADA YA KULEWA KAVULIWA NGUO


Picha hizi zimezagaa kwenye Mitandao tofauti tofauti ya kijamii ambazo zimeleta utata na kudai kuwa msani Maarafu wa kizazi kipya Matonya baada ya kulewa vijana wa kihuni walimvua nguo na kumfanya kitendo kibaya.... Mtandao huu unajaribu kumtafuta msanii huyu ili kutoa ufafanuzi wa picha hizi ila kwa bahati mbaya hatukufanikiwa kumpata

vijana wa kihuni wakifanya kazi yao

0 comments: