HII NDIYO AJALI ILIYOTOKEA KIKATITI JIJINI ARUSHA JANA

Mwili wa mwanamke anayedaiwa kuwa mke wa mmiliki wa hoteli na klabu ya AQ baada ya ajali.

Basi la Mrindoko Trans baada ya ajali hiyo.

Gari dogo lililogongana na basi.

Mwanamke aliyepoteza maisha katika ajali hiyo enzi za uhai wake.

AJALI mbaya iliyolihusisha basi la Mrindoko Trans na gari dogo lililokuwa linaendeshwa na mwanamke anayedaiwa kuwa mke wa mmiliki wa Hoteli na Klabu ya AQ iliyopo jirani na stendi ya mabasi jijini Arusha ilitokea jana jioni maeneo ya Kikatiti mkoani Arusha.
Katika ajali hiyo, mwanamke huyo alifariki dunia papo hapo.

0 comments: