Polisi Mwanza watumia risasi za moto kulinda mkutano wa Machinga

0 comments

Maelfu ya wafanyabiashara ndogondogo mjini Mwanza, wamefanya uchaguzi wa viongozi wa umoja wa machinga jijini Mwanza huku ulinzi mkali wa askari Polisi wenye silaha za moto na mabomu ya machozi ukiwa umeimarishwa kwenye uwanja wa CCM kirumba ili kudhibiti vitendo vya uvunjifu wa amani.
Mkutano huo wa uchaguzi ambao ulifunguliwa na katibu tawala wa wilaya ya nyamagana Marcella Mayala, ulitawaliwa na zomeazomea, shangwe na vigelegele wakati wagombea wa nafasi mbalimbali walipokuwa wakijinadi, huku baadhi ya machinga wakihoji zilipo fedha zao zaidi ya shilingi milioni 10 zilizotolewa na rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh.Dk. Jakaya Kikwete kwa ajili ya kuwasaidia machinga kukopeshana ili kuinua biashara zao.
 
Baadhi ya wagombea wa nafasi ya uenyekiti waliokuwa wakishangiliwa wakati wakijieleza kuomba kura ni pamoja na Said Tembo, Richard Mushi na Kabaila Liberatus. 
 
Kila mgombea aliwahakikishia machinga kupata maeneo mazuri ya kufanyia biashara pamoja na kumaliza kilio cha muda mrefu cha kukamatiwa mali zao na askari mgambo wa jiji.
 
Uchaguzi wa umoja wa machinga jijini mwanza unafanyika kufuatia machinga kukosa viongozi kwa muda mrefu na hadi paparazi wetu anaondoka katika uwanja huo wa CCM kirumba, zoezi la upigaji kura lilikuwa limekamilika katika nafasi zote zinazowaniwa.
 
Na habari zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa Said Tembo amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa muda wa umoja wa machinga jijini mwanza.

Read More »

Ni kutoka kwa Zitto Kabwe kuhusu ishu ya kurudi CHADEMA… SOMA HAPA KWA HABARI KAMILI

0 comments


Zitto-Kabwe 

Zitto Kabwe ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini, mwanzoni mwa 2014 kulikuwa na story ya mgogoro kati yake na Chama cha CHADEMA.
Magazeti yaliyotoka siku chache zilizopita yaliripoti taarifa ya Mbunge Zitto Kabwe kurudi tena CHADEMA, Zitto Kabwe, kazungumzia Ishu hiyo.
Kuhusu kurudi CHADEMA; “Hapana nadhani hizo ni tetesi kwa sababu sijatoa kauli yoyote kuhusiana na hilo na moja mimi bado mwanachama wa Chadema kwa sababu nina kesi mahakamani na kesi hiyo haijaamuliwa,bado inaendeleaZitto Kabwe.
Sijawahi kutoka kwenye uanachama wa CHADEMA, mtu anaposema nataka kurudi Chadema hayuko sahihi, inafahamika nilikuwa na matatizo na chama hatujaweza kuyatatua, hakuna mazungumzo yoyote ambayo yamefanyika lakini kuna baadhi ya watu wameanza kuleta hayo mazungumzo“– Zitto Kabwe.

Read More »

Kuwa Staa Raha Sana: Diamond Katumiwa Video ya Nusu Uchi na Mrembo wa Kenya akimtaka Amchukukue yeye bila Malipo Tuesday, January 20, 2015

0 comments

Unaukumbuka  Wimbo  wa  Diamond Platnumz  alioimba "Ntampata wapi ??""...Unaambiwa  mabinti  kibao  wameanza  kujigonga  kwake  kutokana  na  wimbo  huo.

Mrembo na Mwanamitindo anayeitwa Tiara , Mwenye Umri wa Miaka 23  toka  nchini Kenya amemtaka Diamond aende  nchini  Kenya kumchukua  tena  bila  malipo  yoyote....
Tiara amedai yeye ana vigezo vyote anavyovitaka  Diamond Platnumz. Kama ni Sura ya mtaratibu , Macho ya Aibu na umbo Mahabibu anavyoooo...!!!!!
  
Angalia Video hapo chini ujionee Mambo Matamu aliyotumiwa Diamond Platnumz na Tiara Kutoka Kenya..Zari Upo ?  Ongeza  Utundu  mama.
 
CLICK HAPA CHINI KUTAZAMA VIDEO


Read More »

Kama Seif hataki Serikali mbili Ajiuzulu - Nape SOMA HAPA

0 comments

Katibu wa NEC itikadi na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi CCM,Ndugu Nape Nnauye.
Watanzania wametahadharishwa kutowasikiliza wanasiasa wenye nia ya kuvunja muungano wa Tanganyika na Zanzibar, kwani katika kipindi cha miaka 51 ya Muungano huo, kumekuwa na mafanikio kwa pande zote mbili

kauli hiyo imetolewa na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Magharibi Unguja, bwana Yusufu Mohamedi Yusufu, wakati akiwakaribisha kuhutubia mkutano wa hadhara, viongozi wa juu wa chama hicho, wanaoendelea na ziara katika visiwa vya unguja na pemba, ambapo amewatahadharisha watanzania kutokubali hadaa za wanasiasa wenye nia ya kuvunja muungano kwa maslahi yao binafsi,.
Akizungumza katika mkutano huo Katibu wa CCM itikadi na uenezi wa CCM Nape Nnauye amemtaka Makamu wa kwanza wa Rais ambaye pia ni katibu Mkuu wa CUF taifa Maalim Seif Sharif Hamad ajiuzulu nafasi hiyo kama hataki Muungano wa Serikali mbili.
Nape amepinga kauli ya katibu mkuu wa chama cha wananchi CUF aliyodai haina mashiko kufuatia chama cha CUF kudai kuchukua majimbo 18 ya uwakilishi na ubunge katika uchaguzi ujao na kudai kuwa wamejipanga kushinda kwa kishindo katika uchaguzi huo, kauli inayoungwa mkono na katibu mkuu wa chama hicho komredi Abdulrahman Kinana.
Wakihutubia wananchi waliofurika katika uwanja wa Tomondo baadhi ya viongozi wa chama hicho walioambatana na katibu mkuu upande wa Zanzibar wakiwemo wabunge wa bunge la jamuhuri ya mungano wa Tanzania na wawakilishi wa baraza la wawakilishi la serikali ya mapinduzi Zanzibar wamesihi wazanzibar kuipigia kura ya ndiyo katiba iliyopendekezwa muda utakapo wadia.

Read More »

MHESHIIMIWA ZITTO KABWE AMWAGA MACHOZI UKUMBINI....usalama wake matatani

0 comments

 Mbunge wa Kigoma Kaskazini kupitia leseni ya Chadema, Zitto Zuber Kabwe akiwa na Christian Bela.
Hakika wikiendi iliyopita ilikuwa ni shangwe tupu, lakini kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini kupitia leseni ya Chadema, Zitto Zuber Kabwe ilikuwa ya machungu pale alipojikuta akimwaga chozi ukumbini.

 Mpango mzima ulioshuhudiwa na paparazi wetu ulijiri kwenye Ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni jijini Dar ambapo Bendi ya Malaika, chini ya Christian Bella ilikuwa ikishusha burudani ya kufa mtu.

Wakati Mbunge wa Jimbo la Sikonge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Said Nkumba alitesa kwenye jukwaa la Msondo Ngoma pale TTC Chang’ombe, Temeke, Zitto alifunika vibaya Mango Garden, Kinondoni, kwani alikuwa zaidi ya shabiki, pedeshee na mwimbaji. 

Katika muda ambao watoto wa mjini husema ni usiku mnene, Zitto ambaye yupo katika mgogoro na chama chake, alipanda jukwaani wakati prezidaa wa Malaika Band, Christian Bella ‘Obama’ akiimba wimbo wake mpya wa ‘Nani Kama Mama’ ambapo mheshimiwa huyo alichotwa na hisia za kibao hicho hadi kujikuta akimwaga machozi kwa kumbukumbu ya msiba wa mama yake mzazi uliotokea mwaka jana (Shida Salum, alifariki Juni 1, 2014 jijini Dar es Salaam).

Mh. Zitto Kabwe akiteta jambo na wanamuziki wa Bendi ya Malaika.
 “Lilikuwa ni tukio la kushangaza kwa mheshimiwa, maana alipanda stejini kisha akajiunga na waimbaji, akachukua gitaa na kuanza kucharaza kana kwamba alifanya nao mazoezi,” alisema shabiki mmoja ukumbini hapo.

Hata hivyo, baadaye mwanasiasa huyo kijana kipenzi cha wengi, aliimarika na kuendelea kuuimba wimbo huo huku akiserebuka kwa kwenda mbele.

Baada ya kuona hivyo, mashabiki walimiminika jukwaani kupiga naye picha kwa muda wa takriban dakika 20, ambapo mbunge huyo alithibitisha kuwa ni mtu wa watu kwani shughuli zote zilisimama kwa muda ukumbini humo. 

Katika hali hiyo, mapedeshee, ambao hung’ara katika kumbi kwa kutunza waimbaji na wanenguaji, walizimwa ngebe zao kwani Zitto alifunika kwa kutoa ‘mshiko’ wa kufa mtu.

Ilifahamika kwamba, Bella peke yake alipokea zaidi ya noti 50 za elfu kumi-kumi za Kitanzania kutoka kwa Zitto huku nyingine zikiwa ni dola za Kimarekani.

Wakipiga picha ya pamoja.
 Hata hivyo, katika hali nyingine, baadhi ya watu walihoji usalama wa Zitto kuwa ni sawa na sifuri katika kipindi hiki ambacho bado sakata la kashfa ya uchotwaji wa mabilioni kwenye Akaunti ya Escrow ya Tegeta linaendelea kushika kasi na vigogo kufikishwa mahakamani. 

Watu hao walisema kwa namna Zitto alivyoingia ukumbini hapo na kujichanganya na mashabiki, ni rahisi kwa mtu mwenye nia mbaya kuweza kumdhuru, hasa watu wa Escrow ambao wana mapesa yanayoweza kuwashawishi kumfanya lolote. 

“Watu wanatetemeshwa na hili skendo, leo wakimuona Zitto hapa kajiachia namna hii, watakumbuka jinsi alivyosimama kidete bungeni kutaka waliohusika wawajibishwe na fedha zirudishwe, unadhani nani hajui utamu wa fedha,” alisikika shabiki mmoja akisema.
 Zitto alitafutwa kupitia simu yake ya mkononi ili kupata maoni yake juu ya usalama wake, lakini iliita bila kupokelewa.

Read More »

Mh. John Mnyika awasilisha udhaifu wa mchakato wa mabadiliko ya katiba kwa katibu wa bunge

0 comments

Mbunge wa jimbo la Ubungo Mh John Mnyika amewasilisha kwa katibu wa bunge taarifa ya hoja binafsi kuhusu kile alichodai kuwa ni udhaifu wa mchakato wa mabadiliko ya katiba ili bunge lijadili udhaifu wa ukiukwaji wa sheria katika mchakato huo ili lipitishe azimio la kuahirisha mchakato huo mpaka madhaifu ya msingi yatakaposhughulikiwa.
Akizungumzana na mtandao huu katika ofisi za bunge Mh Mnyika pia amemtaka rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kuheshimu makubaliano ya viongozi wa vyama vya siasa kwa kuwa kuendelea na mchakato huo si tu kukiuka makubaliano ya TCD bali pia ni kukiuka sheria zilizouanzisha mchakato huo.

Read More »

ESCROW: KIGOGO AMBAYE NI MENEJA Misamaha ya Kodi TRA MUTABINGWA APATA DHAMANA

0 comments


MENEJA Misamaha ya Kodi TRA, Kyabukoba Leonard Mutabingwa anayekabiliwa na kesi ya kuomba na kupokea rushwa ya zaidi ya Sh 1.6 bilioni kutoka akaunti ya Tegeta Escrow katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ameachiwa huru baada ya kukamilisha masharti ya dhamana.

Hakimu Mkazi, Frank Moshi jana alimuachia huru Mutabingwa baada ya kukamilisha masharti ya dhamana ya kuwasilisha fedha taslimu Sh 1bilioni ama hati ya mali isiyohamishika yenye thamani ya kiasi hicho cha fedha.

Mutabingwa aliachiwa huru kwa dhamana baada ya kuwasilisha hati tano za nyumba za watu mbalimbali zenye thamani ya Sh 1.332 bilioni, wadhamini watatu ambao kati yao wawili walikuwa wafanyakazi wa TRA na mmoja mjasiliamari.

Kila mdhamini kati ya wadhamini hao, kila mmoja alisaini hati ya dhamana ya maneno yenye thamani ya Sh340 milioni na mshtakiwa huyo aruhusiwi kutoka nje ya jiji la Dar es Salaam bila ya kuwa na kibali cha mahakama.

Baada ya kukamilisha masharti hayo ya dhamana, Hakimu Moshi alimuachia huru mshtakiwa huyo na akaiahirisha kesi hadi Januari 29,2015 ambapo mshtakiwa huyo atasomewa maelezo ya awali (PH).

Awali akisomewa hati ya mashtaka inayomkabili mshtakiwa huyo alidaiwa kuwa alitenda makosa ya kuomba na kupokea rushwa kinyume na kifungu cha 15 (1)(a) cha sheria ya kupambana na rushwa namba 11 ya mwaka 2007.

Mwendesha Mashtaka wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Leonard Swai akimsomea mashtaka hayo yanayomkabili mbele ya Hakimu Mkazi, Janeth Kaluyenda kuwa Januari 27, 2014 katika Benki ya Mkombozi wilaya ya Ilala , alipokea Sh1.6 bilioni kupitia akaunti namba 00110202613801.

Swai alidai kuwa mshtakiwa huyo akiwa katika Benki ya Mkombozi alijipatia kiasi hicho cha fedha ambacho ni sehemu ya fedha za Akaunti ya Tegeta Escrow na kwamba alizipokea kutoka kwa James Burchard Rugemalira ambaye ni Mshauri huru wa Kitaalam, Mkurugenzi wa VIP Engineering na Mkurugenzi wa zamani wa IPTL kama tuzo kwa kuiwakilisha kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits ambayo ni mali ya Rugemalira mahakamani kitu ambacho ni kinyume cha sheria

Read More »

HIVI WAKINA DADA SIKU HIZI UNA NINI HEBU WACHEKI HAWA WANAVYOFANYANA ETI WANA PATI

0 comments






Read More »

ZARI HAWEZI KUZAA NA DIAMOND, MUME AANIKA SIRI NZITO!

0 comments




Oohoo! Wakati staa mkubwa wa muziki wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akichekelea kitendo cha mpenzi wake wa sasa, Zarinah Hassan ‘Zari’ au ‘The Boss Lady’ kunasa mimba yake, habari ya mjini huko Kampala, Uganda ni juu ya aliyekuwa mume wa mwanamama huyo,
Ivan Ssemwanga kufunguka na kusema: “Naapa Zari hawezi kuzaa na Diamond.”HABARI YA MJINI
Wikiendi iliyopita, vyombo vya habari na mitandao nchini Uganda ambako kuna makazi mengine ya Zari mbali na Afrika Kusini, kulipambwa na habari hizo baada ya mwanaume huyo aliyezaa na mwanamama huyo watoto watatu kuanika siri nzito juu ya ishu hiyo.
‘Ubuyu’ huo ulidadavua kwamba, kwanza jamaa huyo mwenye utajiri wa kutupwa alianza kwa kuelezea namna alivyoshtuka aliposikia Zari ni mjamzito.
Alisema kwamba alishangaa kusikia Zari ni mjamzito wakati ana umri wa karibia miaka 40 na watoto watatu ambao amekuwa akiwapuuza na kuendelea kuzurura na mpenzi wake mpya, Diamond sehemu mbalimbali ndani na nje ya Bara la Afrika.

Read More »

Diva ajifananisha na rihana huko instagram!!! ingia hapa kutazama picha zake

0 comments
 
switchin off the tv then white sands i see ya ina min... .... jaman kwan mie Nina Tofauti gani na Rihanna? yeye akivaa nguo kiuno wazi sawa mie kelele... ndio natembea kiuno wazi sasa #die and nah nat edited hunie... i got this! pima na app zenu . niko Bouraaah and sijikondeshi sasa.. ntabaki hivi hivi. gym nendeni nyie mnaotaka U model..

Read More »

INASIKITISHA BINTI HUYU KUFANYA BIASHARA YA JUJIUZA KWA KUTUMIA WHATSAP

0 comments

 

 

Its shocking to know that a y0ung lady can trade her body,which is all that she got as a  symbol of dignity to anyone who would be interested at a maximum of Kshs 150/= . Her name is Angeline Angels, the description of her products include selling her nak3d photos at Kshs 50/=  and her s3x tapes at Kshs 150/=. Sometimes, we may think and ask ourselves, what was this young lady thinking

The truth is that most of this situations or cases that we term as moral decay are a result of the thirst for money…This can be a long discussion for us but let me leave you with one proverb that says,” Money is good, but it can also be the route of all evil” lets take care of what we do to get the money we want and also choose wisely on what we do with the money we get…
Back to my story; This is what the young lady posted online…read on>>
Get My randy photos now for only 50/= nazipiga live as you request any style any posture you will request for. Get my randy videos for only 100 bob you will request how you will want it to be, i can even say your name in the video if you will wish!!
I also have kenyan homemade s*xt@p£$ that go for only 150 shillings..you will hear me moan in swahili in the sex tape.. if intrested text/ WhatsApp me on
0701108347 ALL ARE WELCOME..

Read More »

Soma habari inayomuhusu Wema Sepetu kuhusu mahusiano yake mapya baada ya kuachana na DIAMOND

0 comments
WEMA222 
Nimekuwekea hapa U Heard ya leo January 20, story ya leo ni kuhusu tetesi kuwa mwigizaji Wema Sepetu baada ya kuachana na Diamond Platnumz kwa sasa ana uhusiano na mwanamitindo Mtanzania anayefanya kazi zake Afrika Kusini,  Ally Daxx.
 
Mwanamitindo Ally Dax.
Mwanamitindo Ally Dax.
Gossip Cop alimtafuta Wema na kumuuliza kuhusu story hiyo kama kuna ukweli wowote,Wema amekataa kuwa na uhusiano na mwanamitindo huyo.

Read More »

WAFUMANIWA WAKIFANYA MAPENZI YA JINSIA MOJA...KELELE ZA MAHABA ZAWAKERA MAJIRANI..POLISI WAVAMIA WAKUTA MAMBO YA AJABU CHUMBANI

0 comments



DUNIA imekwisha! Wasichana wawili warembo, Maua Sadick (24), mkazi wa Stakishari, Ukonga wilayani Ilala na Lucy Fred (23), mkazi wa Karakata jijini Dar es Salaam, wanashikiliwa katika Kituo cha Polisi Stakishari, Ukonga, Dar kwa kesi yenye jalada STK/RB/463/2015  wakidaiwa kufanya mapenzi ya jinsia moja.
Warembo, Maua Sadick (mwenye shati la draft) na Lucy Fred wakipozi kimahaba.
Warembo hao walikamatwa Januari 12, mwaka huu saa sita mchana, nyumbani kwa Maua wakidaiwa kufanya ngono kinyume cha sheria ya kujamiiana ambapo watu wa jinsia moja ni makosa kukutana kimwili.
NDUGU, MAJIRANI WAKERWA
Kwa mujibu wa habari za kipolisi, kukamatwa kwa Maua kulitokana na taarifa za baadhi ya ndugu na majirani zilizopelekwa polisi kwamba, wasichana hao wanapokuwa kwenye tendo la ndoa wamekuwa wakipiga kelele za udhalilishaji kwa familia zao.
Wasichana hao wakiwa maeneo tofauti.
WALISHAONYWA, HAWAKUSIKIA
Vyanzo makini kutoka jirani na makazi ya Maua vinadai kuwa, kutokana na hali hiyo, baadhi ya watu walijitolea kuwaonya wasichana hao kuwa na staha wawapo kwenye faragha yao lakini pia wao ni wanawake haiwezekani wacheze mchezo huo wenyewe kwa wenyewe lakini hawakutaka kusikia.
MAJIRANI WAFUNGULIA REDIO SAUTI YA JUU
“Ilifika mahali wakiingia chumbani kuanza mambo yao sisi majirani tunazidisha sauti za redio ili watoto wasisikie lakini na wao sauti zao zinakuwa juu kushinda za redio,” alisema jirani mmoja akiomba jina lake lifichwe ili kukwepa uhasama.
Alisema kutokana na hali hiyo waliamua kufikisha habari hizo polisi kwani ni kinyume cha sheria watu wa jinsia mmoja kukutana kimapenzi.
Mrembo Lucy Fred ambaye ni mpenzi wa Maua Sadick.
HISTORIA YA LUCY
Wakizidi kuzungumza na paparazi, majirani hao walisema, Lucy ambaye ndiye anaitwa mke na Maua amekuwa akitoka nyumbani kwa wazazi wake Karakata kwa lengo la kumfuata Maua.
SIKU YA TUKIO
Ilisemekana kuwa, siku ya tukio, majirani walipoanza kusikia ‘zile sauti zao’, waliwapa polisi namba ya simu ya mtu wa jirani na Maua kwa lengo la kusaidia kufika nyumbani hapo.
“Polisi walipofika waligonga mlango kwa muda mrefu bila kufunguliwa na kelele za mahaba zilizidi kusikika.  Baadaye, nadhani wakati wanapumzika sasa, Maua alifungua mlango mkubwa na kukutana na macho ya polisi, wakambana na kumtaka waende wote alipo Lucy, wakaenda chumbani na kumkuta.
“Pia polisi walikuta kidude ambacho huwashwa kwa betri kilichodaiwa pia hutumika wakati wa tendo,” kilisema chanzo.
Warembo hao kama wanavyoonekana kwenye picha zao za instagram.
HISTORIA YA MAUA
Maua ni binti ambaye ni yatima, amekuwa akiishi mwenyewe kwenye nyumba hiyo kubwa ya familia  hivyo kumwita Lucy mara kwa mara kwa madai ya kufanya ufuska huo kwa vile wana uhuru.
Inasemekana kuwa, Maua siku zote amekuwa akivaa mavazi ya kiume licha ya kwamba, ni mwanamke kamili.
POLISI WASHANGAA
Taarifa kutoka vyanzo vya ndani ya jeshi la polisi zinadai kwamba, hata wakiwa mahabusu ya kituo hicho, wawili  hao wamekuwa wakioneshana mapenzi baina yao kitendo kilichowashangaza mahabusu wengine na polisi pia.
Paparazi kama kawaida yake ilifika nyumbani kwa Maua na kukutana na mdogo wake aitwaye Aziz ambaye alikiri kukamatwa kwa Maua na kwamba tangu akamatwe hajarudi na wala hajui kinachoendelea huku akisema asingependa kuzungumzia suala hilo kwa sababu ya kutupiwa lawama na wanandugu kwamba yeye ndiye aliyepeleka taarifa polisi.
Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Ilala, SACP Mary Nzuki.
“Mimi sikai hapa, nimefika hivi karibuni nikitokea mkoani. Ndugu wananituhumu mimi kuita polisi, sijui mtu aliyewapa askari namba yangu wakanipigia kama  wageni wanaokuja nyumbani, nikawapa ramani na walipofika ndipo nikagundua ni askari,” alisema Aziz.
Mwenyekiti wa  Serikali ya Mtaa, George Mtambalike alipohojiwa na paparazi ofisini kwake alithibitisha kukamatwa kwa wasichana hao kwa madai ya kufanya mapenzi ya jinsia moja na aliwatembelea Kituo cha Polisi cha Stakishari.
Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Ilala, SACP Mary Nzuki alikiri kukamatwa kwao na akasema uchunguzi unaendelea.

Read More »

Ni Amber Rose Tena Leo Ndo Kaamua Kuweka Picha Zake za Utupu WATOTO HAWARUHUSIWI HAPA ZIPO HAPA PICHA ZOTE

0 comments

Mwanamitindo aliyekuwa mke wa rapa Wiz Khalifa Amber Rose ’31’ amerudia tena mtindo wake wa ku BreakTheInternet kwa kuweka picha zake akiwa kwenye pozi tofauti.

Mara ya kwanza Amber kufanya hivi ilikuwa August 2014 wakati album ya mume wake Wiz Khalifa ‘Blacc Hollywood’ ilivyoshika namba moja kwenye chati za Billboard hot 200.
amber 1 amber 2 amber 3 amber 4 amber 5 amber 6

Read More »

Izi Hapa Picha, Good tyme ya V Money na Jux baada ya show yao Zanzibar.

0 comments

Bongo fleva ilitawala Zanzibar ‘Ngome Kongwe’ 17 Jan kwenye usiku wa show kali Jux, Vanessa Mdee, Navy Kenzo ‘Nahreel na Aika’ ambayo ilifunguliwa na Baby J na Mirrro.

Baada ya show Aika, Jux, V Money na Shadee wa clouds fm walikula good tyme kabla ya kuondoka Zanzibar.
jux 1 jux 2 
 jux 3 jux 4

Read More »

Ile video ya ‘Sisikii’ ya Jux imetoka tayari, Vanessa Mdee yumo ndani! Chukua Dakika zako tatu kuitazama hapa

0 comments
Jux & vEE 
Hii ni video iliyokuwa inazungumziwa sana baada ya kusambaa kwa picha ambazo zilikuwa behind the scene zikimuonyesha Vanessa Mdee na Jux ambao kumekuwa na story kwamba wana uhusiano wa kimapenzi.
Imetoka na imeongozwa na director Zed Benson, karibu uitazame hapa mtu wangu.
Bonyeza play kutazama.

Read More »

Watoto Hawaruhusiwi AMBER ROSE ATUPIA PICHA ZAKE ZA UTUPU KATIKA MTANDAO WA INSTAGRAM

0 comments

MREMBO kutoka nchini Marekani, Amber Rose ameamua kutupia picha zake zinazoonyesha maungo yake akiwa katika vazi la bikini nyeusi.
Amber mwenye miaka 31, mama wa mtoto mmoja, ametupia picha hizo jana katika ukurasa wake wa Instagram na mpaka sasa zimesambaa kila kona kwenye mitandao ya jamii. 
Pichani ni pozi tofauti za staa huyo alizoachia jana Instagram.

Read More »

Hii Ijawai Kutokea Baba na binti yake kwenye uhusiano miaka 12! walichokiamua sasa ndio Stori…

0 comments

ringgg


Imezoeleka kuona uhusiano wa karibu kati ya mzazi na mtoto wake lakini si uhusiano wa mapenzi kama ambavyo binti huyu wa miaka 18 ameamua kufanya kwa kuwa na uhusiano na baba yake mzazi na sasa ametangaza kutaka kufunga nae ndoa.

Msichana huyo anayeishi katika mji wa New Jersey ambaye alifanya mahojiano na jarida la New York alieleza kuwa amekua katika mahusiano na baba yake huyo kwa miaka 12 sasa mara baada ya mama yake kufariki na sasa wamemua kuvunja ukimya kwa kufunga ndoa.

Ndugu wa familia yetu kwa upande wa mama walijua tupo na ukaribu kama baba na mtoto wake lakini kwa upande wa ndugu wa baba walijua sisi ni wapenzi na walikua wakituchukulia kama wapenzi wengine,”alisema binti huyo ambaye jina lake halikuweza kuwekwa hadharani.

Alisema baada ya kufunga harusi wamepanga kuhama katika mji wa New Jersey ambapo watu wengi wamekua wkaipinga mahusiano yao na kwenda kuishi sehemu nyingine.

Read More »

HII SASA LAANA PICHA ZA UCHI ZA RAFIKI YAKE WEMA SEPETU ZIPO HAPA WAKUBWA TU WATOTO HAWARUHUSIWI KABISA

0 comments

http://maujanjayamjini.blogspot.com/



<<BONYEZA HAPA KUONA PICHA IZO>>

Read More »

HAYA WALE WAPENZI NA WAPENDANAO HIZI HAPA MESSAGE 80 ZA MAPENZI AMBAZO UNAWEZA UKAMTUMIA MPENZI WAKO,

0 comments




I wonder if you know how special you are; I wonder if you know how precious you are; I wonder if you know how lucky I am to have you in my life; I love you so much.

I love you not as something private and personal, which is my own, but as something universal and worthy of love which I have found.

I love you because I know you're always there, there to catch me when I fall, there to listen when I need you, there when I feel alone.

It feels nice to miss you, so I’m missing you. It feels nice to think about you. So I’m thinking about you. It feels nice to disturb you, so I’m disturbing you; it feels nice to love you, so love you dear.

Between the thousand yesterdays and a million tomorrows, there's only one today and I wouldn't let this day pass without saying this to you – I love you.

You are the reason that I am smart, you are the person who stole my heart, my life is short and you are the part, I love you, I love you with true heart!

There are lots of birds murmuring only about you. You should at least once listen to the birds; only then you’ll come to know how much I love you.

You are like the sunshine so warm, you are like sugar, so sweet, you are like you and that is the reason why I love you!

Don't wait until it's too late to tell someone how much you love, how much you care.
Because when they're gone, no matter how loud you shout and cry, they won't hear you anymore.

You walked lightly into my life
Captivating and lovely to my mind,
At first, I never cared who you were
Now I don't know who I am without you.

Love is what I see in, your smile everyday.
Love is what I really feel in, every touch you give .
Love is what I hear in, every word you say.
Love is what we share, each and everyday we live.

Here is my heart, it’s yours so take it,
Treat it gently, please do not break it.
Its full of love that’s great and true,
So please keep it always close to you.

Life is for you, death is for me, being happy is for you, being sad is for me, being together is for you, being lonely is for me, everything for you but you are for me.

If you are asking if I need you, the answer is forever.
If you are asking if I’ll leave you, the answer is never.
If you are asking what I value, the answer is you.
If you are asking if I love you, the answer is I do.

When we want to talk
More than usual to our dearest
Sometimes, we can’t even say a single word,
Just the silence says,
‘I love you’….

When I look at you,
I cannot deny there is God,
Cause only God could have created someone
As wonderful and beautiful as you.

God has sent you for me, For he wanted to reward my best deeds..

I just wish I can be pure and loyal to you and in your love succeed...

Love for me was a myth until you came and filled me with love. Today I can proudly say that I am not in love, love is in me.

Every moment I wait for the moment to see you, for seeing you is what brings me back to life.

The first time you kissed me was the moment when my heart missed a beat just to tell me that you are the one for me.

When I met you for the first time, I felt my soul kissing your soul. It felt as if we already knew each other and were meant to be together till eternity. And today, I am happy that reality is exactly what I had felt at that time.

These days I'm not charging my cellphone. Because, the more we talk, my cellphone loses its senses as it also gets mesmerized when it hears your voice.

Seeing you after a long time gave me the same feeling which I got when I first opened my eyes and saw my mother, though I don't remember it well, but I still remember that warmth.

The reason why I love you like crazy is because you instigate me to break from the the boring daily routine and follow my dreams.

I just want to thank you for encouraging me and making me believe that life isn't a race but the most beautiful journey with a companion like you.

You are my pillar of strength who has always guided me through the best and the worst. You are the one who stopped me from pulling down the blinds when the windows of the best opportunities opened. Thanks for being a part of my like. It could not have been better than this.

You may not be perfect but you certainly are the perfect one for me. Thanks for saying nothing when I actually just wanted to hear the silence between us. I love you till the moon and stars.

Thanks for being my shadow. I really don't mind any shadows because somewhere in my heart I know that you are shining a light somewhere nearby.

The little gestures of love that you make everyday create a magic in my life. The little things that you do to me are the most special and cherished part of my life. I love you more than words can say.

You are the angel God has sent from above to protect me from sadness and sorrows. Thanks for making my life so colorful and lovable. I love you from the bottom of my heart.

No matter how you treat me, you love me or you hate me, I loved you yesterday, I love still, I always have and I always will.

Having you in my life has given a true meaning to my existence. I am grateful to God that he gave me such a beautiful reward for the best deed of my life.

Love for me was a fear, until you came near. Now please don't go and give me tears, for I want you for all the coming years.

You don't love me as much as I love you, but for the little that you do, I thank you. All I want is you in my life, and let me be your lover, bestfriend, your wife.

Never Say Good Bye To Someone Who Loves You,
Never Say Thanx Who Really Needs You,
Never Blame A Person Who Really Trust You,
Never Forget A Person Who Think You As Life ..!

Life ends when you stop dreaming, hope ends when you stop believing and love ends when you stop caring. So dream hope and love...Makes Life Beautiful

Time will always fly, but our love will never die. Keep in touch and remeber me

When time comes for u to give ur heart to someone, make sure u select someone who will never break ur heart, cuz broken hearts has never spare parts.

I m going to write on all the bricks I MISS U and i wish that one falls on ur head,so that u knows how it hurts when u miss someone special like u.

If 10 people care 4 u, one of them is me, if 1 person cares 4 u that would be me again, if no 1 cares 4 u that means i m not in this world.

I m feeling so happy, do u know why? cuz i m so lucky, do u know how? cuz God loves me.Do u know how? cuz he gave me a gift. Do u know what? its YOU my love.

1st time i saw u i was scared 2 touch u.1st time i touched u i was scared 2 kiss u.1st time i kiss u i was scared to luv u.but now dat i luv u im scared 2 lose u!

If i were a tear in ur eye i wood roll down onto ur lips.But if u were a tear in my eye i wood never cry as i wood be afraid 2 lose u!

I love all the stars in the sky, but they are nothing compared to the ones in your eyes!

If I were asked the only one reason for my existence in this world, I would take your name!

I love you because you have brought sunshine and darkness into my life. The darker moments are there so that we might occasionally see the stars.

You taught me the true meaning of love by forgiving me for all my wrongs and accepting me with all my flaws. Love is all about respecting the differences and loving the similarities.

Your love is that voice in my heart that keeps telling me that all is well, that I am being gaurded and guided and should not feel any fear at all.

When you came into my life, we doubled our joys and halved our grief. We shared and cared for each other like a family because of which today we are a family. Love you for being my soulmate.

My love, thanks for giving me the greatest gift anyone could ever give someone. You gave me a portion of you and today I am complete because of your love and your presence in my life.

Love for me is picking up the telephone call from the other end of this world and feeling the distance melt as soon as I hear your sweet voice.

Why I love you is a question which has no answer just like nobody knows who God is!

Everytime you look at me I get the same feeling that Cindrella got when she met her Prince

Even if you fight with me everyday, I will still love you because I know one day you will fall in love me all over again.

The moments that we create with the magic of our love are the only moments I truly live. For the rest of the time, I merely exist!

You are the one I wanna grow old with. You are the one I wanna die with. And, you are the one I wanna get reborn with. And you are the one I wanna live forever in all my lives.!

When I think of you, I feel my heart sinking with the feeling that is it true that I have been blessed with such an amazing person as my partner?

Your love is the peace that I get whenever I am disturbed. Your love is the medicine that helps me heal whenever I am hurt.

He is the man who made me believe that yes I can love again. And today, I am truly madly deeply in love with him.

Falling is the First step to Success, Crying is the First step to Happiness. And Heart Break is the First step to True Love".. !

Love is a fire. But whether it is going to warm your heart or burn down your house, you can never tell.

Very Very True Message, But, Unspoken....."Love Is On Lips Of Many..But In The Heart Of Few.. !

Sun shines in the day...
Moon shines in the night...!
But you shine in my heart
every day and night...!!

If the road ahead is not so easy, our love will lead the way for us like a guiding star I'll be there for you if you should need me you don't have to change a thing

Words begin with ABC.
Numbers begin with 123.
Music begins with do, re, mi.
And friendship begins with you and me!

What is LOVE?
L for Land of sorrow.
O for Ocean of tears.
V for Velley of death.
E for End of life

Its Not About How Much You Love In The Beginning....Its About How Much You Love Till The End..

Don't Say You Love
Someone And Then Change Your Mind ...
Love Isn't Like Picking
What Movie You Want To Watch

My love for u was so true, U know that I would never forget u, But now my heart is crushed n broken in two I should have never fallen in love with u.

Some people were born with talents. They can do beautiful things with their skills, knowledge and technology. But no one is as talented as you. You just come near, And there is already beauty.

My life means a lot to me.
Not because i lov my life,
but bcoz i lov the people in my life.
the world says they r frinds,but i call them my world..

One Of The Best Love Quote Ever Said:
I Have Written Her Name on My Heart because God Didn't Write Her Name in My Destiny.

Flowers are blooming in the garden make the garden beauty your blooming in my heart every morning afternoon and every night ..

We cannot be together, But we’ll never be apart, For no matter what life brings us, You are always in my heart.

You brighten my day with d sound of your voice, You bring so much laughter and love, You are everything 2 me and I was so blessed when god sent u here for me.

One Lovely quote:

We always love our love cause our love always loves what we love to love nd ur love loves the way you love ur love. so keep loving.

Lovely roses and Lovely you..
and Lovely r the things u do..
but the loveliest is the friendship of the two
one is ME and other is YOU.

A man is Lucky if he is the first Love of a woman and a woman is Lucky if she is the last love of a man. Strange but true.

As I lie awake in my bed. All sorts of thought run through my head, Like why do I love you as much as I do. Then I realise its because u r u!

Read More »

Zari na Diamond kama Beyonce na JayZ, haya matukio yanafanana kila kitu INGIA HAPA KWA HABARI KAMILI

0 comments
Picha,Zari anavyokodolea macho simu ya Diamond kama Beyonce kwa Jay Z.




Wapenzi Diamond na Zari wamekuwa wakifananishwa na couple tofauti za mastaa duniani kwa picha na pozi tofauti. Kupitia instagram yake Zari amejifananisha na Beyonce kwa jinsi anavyofuatilia shughuli za Diamond kwenye simu yake muda wote wanapokuwa pamoja.


Read More »

KIRIA na mama mtoto wambwagia MBUNGE MTOTO MLEMAVU KIKAONI...MWANDISHI WA MWANANCHI APOKEA KICHAPO

0 comments
Kwenye picha kubwa ndiyo Abdalha Sheria Mh Mbunge wa Zanzibar jimbo la Dimani


                           
Mwandishi wa gazeti la Mwananchi amepata kipigo na kutaka kupokonywa kamera kwenye tukio hili la Mbunge kutelekeza familia yake hasa mtoto wake mwenye ulemavu, amepingwa na mbunge wa Blandes Gosbert mbunge wa Karangwe, Kagera.





Kiria akiwa polisi

Read More »

CHADEMA Yalaani Kufukuzwa Chuoni Waziri Mkuu wa Serikali ya Wanafunzi Philipo Mwakibinga

0 comments
            Mwakibinga aliyevalia Kombati Nyeusi ya CHADEMA
Wanafunzi wa UDOM Diploma wakiwa Chini ya Ulinzi

Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA kimelaani vikali uongozi wa Chuo kikuu cha Dodoma kwa kumfukuza chuoni mtetezi mkuu wa wanafunzi ambaye ndiye waziri mkuu wa serikali ya wanafunzi Philipo Mwakibinga.

Taarifa kutoka ndani ya chama hicho kikuu cha upinzani nchini zinasema viongozi wakuu wa chama hicho wanalaani tabia ya kufukuza ovyo viongozi wa serikali za wanafunzi ili kuwaziba mdomo.
Philipo Mwakibinga ni mwanachama machachari wa Chadema na aliwahi kugombea Uenyekiti wa Bavicha Taifa.
Inaaminika Mwakibinga amefukuzwa kwa sababu ya Itikadi yake kisiasa.Na haya ni maelekezo ya uongozi wa CCM mkoa wa Dodoma kwa viongozi wa chuo hicho wakiamini kufanya hivi ni kuwatisha wanavyuo wasijiunge na Chadema.
Taarifa zaidi zinasema Kiongozi wa upinzani bungeni Freeman Mbowe amemeiagiza wizara ya Elimu kipitia Waziri Kivuli Suzane Lyimo kufuatilia kwa ukaribu suala hili ili kulinda haki za wanachuo hawa.

Updates.......
Maneno ya Philipo Mwakibinga aliyosema huku akiwa amezungukwa na polisi zaidi ya 500 ni haya :
""Nitarudi tena kusoma UDOM as soon as possible.Nitawashangaza Ulimwengu kwakuwa Mlacha na Kilua hawanielewi kama habari za Wagalatia.Lakini naamini makaburi yao na vizazi vyao vitakuja kunielewa hata kama miaka 20 ikipita.
Nawapenda wana UDOM Naipenda UDOM.TETEENI HAKI.KIVULI CHANGU KITAISHI TU.By Mwakibinga P.J.""""
Baada ya maneno hayo aliingizwa ndani ya gari ya polisi huku akisindikizwa na msururu wa magari zaidi ya 10 ya polisi na kuondolewa ndani ya eneo la chuo huku yeye akitabasamu na kuwapunguia mkono wanafunzi wenzake.

Read More »